Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Yaaani ni kama vile hakuwahi kuwakoJuzi nilikuwa nimekaa sehemu kimya, nikakumbuka kifo cha Magufuli. Nikajiuliza hivi kafa lini? Nikagundua ni miezi 3 tu iliyopita. Nikashtuka, ashaanza kupotea kwenye kumbukumbu zangu zaidi hata ya Nyerere aliyefariki miaka 22 iliyopita.