zimmerman
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 1,644
- 3,176
Post yako hii inadhihirisha jinsi ilivyo ngumu kumsahau JPM, umeshindwa kuvumilia kivuli chake hadi umepost humu!Juzi nilikuwa nimekaa sehemu kimya, nikakumbuka kifo cha Magufuli. Nikajiuliza hivi kafa lini? Nikagundua ni miezi 3 tu iliyopita. Nikashtuka, ashaanza kupotea kwenye kumbukumbu zangu zaidi hata ya Nyerere aliyefariki miaka 22 iliyopita.
Ni hivi, hata mama hataweza kufuta mwelekeo wa Tanzania mpya iliyoanza kujengwa na JPM, kwa visera vyake vya kufurahisha watu flan flan vinavyojaribu kuirudisha Tanzania misri. Na mioyo yetu ikimkataa atapata tab sana.