Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulitarajia,bado yule wa NHC.Nawashauri watumishi wa umma kuepukana na madili,mtaumia huyu jamaa hatanii.Uongeze bei ya umeme,hela hakuna ,na viagenta vyako vya nyuma ya pazia ,wenzako wamekuruka kruuuuuuu....peke yako kwenye nyavu.
Kwa mujibu wa Waziri.
Hadi jana 31.12.2017 EWURA, kinyume na matakwa ya sheria, haikuwa imepeleka ripoti ya uamuzi wake kwa waziri mwenye dhamana, kujadiliwa na kupitishwa/kuthibitishwa kabla ya kutangazwa kwa pendekezo la bei mpya.
Kwanini iwe kukosoa tu!!?
Tens upande wa Serikali pekee
Upande wa cdm hujawahi kukosoa zaidi ya kuunga mkono hata kama ni ujinga
Nimerekebisha.Hii tarehe bado hatujafika
Deklani Mhaiki ameshafariki na how unashauri Rubani ndio akawe boss wa Tanesco (UMEME)
Mhongo hawezi kuguswa milele, kanda ya ziwa ni untouchable.Bado prof muongo
Kwa hiyo taarifa kwa umma inakaa shagala bala bila mpangilio!!?. Mbona jina limwekwa? Kwanini saini haipo? Taarifa kwa umma bila tarehe. Toa umburura wako hapa. Taarifa za serikali zipo na format zake. Sio taarifa za walevi kwenye bar.Taarifa kwa umma sio barua.
Samahani ,niliwachanganya hawa jamaaAliefariki ni brigedia general mhaiki...kaka yake
Engineer deklan mhaiki bado yupo Tanesco.
Usiue watu kama huna uhakika
Mkuu unaweza kuwa una namba ya JK ya Voda um deep atakupigia mwambie aingie JF.Aliefariki ni brigedia general mhaiki...kaka yake
Engineer deklan mhaiki bado yupo Tanesco.
Usiue watu kama huna uhakika
Tumia akili usibwatebwate hovyo,ni lini EWURA iliweka wazi suala la kupanda gharama za umeme kama sio jana? Tetesi zilikuwepo tangia octoba zilienea sana mitandaoni,je ulitaka serikali ijibu tetesi??? Mahaba ya ukawa uasikukabe uwe mtumwa wa fikra.Hii serikali mbona inafanya watu wote kama hatuna akili. kuhusu kupandisha kwa bei mbona EWURA waliweka kila kitu public?? Kwann serikali isiingilie kati toka wakati ule???. Yan Jan Mos imefika maamuzi ya mlipulipuko yanafanyika as if ndo serikali yote imejua jana kwamba bei ya umeme itapanda. Hapa ndipo serikali ya Mtukufu Rais inapopofanya siasa wakati ndugu zangu wa Upinzani wanapigwa mikwara kila leo. Hiz ni siasa uchwara.[HASHTAG]#SerikaliYaMilipuko[/HASHTAG].
Nilitegemea na wa EWURA angepigwa chiniMhhh utumbuaji huu ila wa ewura naona kapona
Mbona makabila mengi hayapo serikalini mkuu kama sisi Wanyisanzu hata katibu tarafa hatuna achilia mbali waziri.Mkuu bado hujajua, bwana yule hataki kusikia neno Mchagga.
Kuna shida kubwa sana awamu hii ya Kiuongozi nadhani ushauri wa wanaotoa ushauri haukubaliki au wanaogopa kumshauri Rais na Serikali yake.
Tunapata aibu sana kwa viongozi kupishana kwa kauli kila wakati huyu anasema Yes Yule anasema NO...watu wanaruka na kukanyagana, 'Lack of Leadership Management'.
Ni kweli kuwa hakuna Mtz. mwenye akili timamu atakaye kubali gharama za umeme kupanda ila SHIDA NI VIONGOZI KUKOSA KAULI MOJA NA USHIRIKIANO KILA MTU NA KAULI YAKE NA MWISHO NI AIBU TUPU KWA TAIFA NA KIMATAIFA.
HATIMAYE WANAKUJA NA MAAMUZI YAO MARA KUTENGUA AU KUTIMBUA....NADHANI KUNA POLITICAL GAME/COMEDY HAPA INACHEZWA NCHI IMEKUWA IKIONGOZWA NA MATUKIO TU KILA KUKICHA....ANYWAY WASIJE SEMA MIE MCHOCHEZI NGOJA WAFU WAZIKANE WENYEWE SISI YETU MACHO.
NI SAWA GHARAMA ZA UMEME HAZITAKIWI KUPANDA BEI ILA KUNA SHIDAY YA KIUONGOZI HAPA KWA KAULI HIZI ZA VIONGOZI KILA MTU NA YAKE UTADHANI HAWAJENGI NYBA MOJA KILA MTU HUGOMBEA FITO,JE NYUMBA ITAJENGWA KWELI HIVI HUU NI MWAKA WA PILI KWA AWAMU YA 5 HAKUNA JIPYA NA YALIYOTEGEMEWA NI TIFAUTI KABISAA.