Magufuli City yaiva huko Dodoma, wasiompenda kuteseka maisha yao yote


Unasema wasiopenda nani hapendi. Kuna tabia ya kutafuta wachawi😂
 
kiwahili kilitakiwa kianze kwevye ilo tangazo ndiyo kingereza kifuatie hapo angekuwa mwenyewe lazima huyo msomi feki aliye andika mapendekezo ya ilo bango angetumbuliwa ni upumbavu kutanguliza kingereza kisha kiswahili tena kwa jambo linalo muhusu JPM maana yeye aliweka kiswahili mbele
 
Hakuna cha kutanguliza kiswahili, kifupi Jiwe kingereza kilikuwa kinampiga chenga.
 

tuache kupoteza mda kuongelea wafu
 
watu ambao hamjatembea na kuona miji ya wenzetu ilivyojengwa mna matatizo sana kiakili. Kuna kitu gani cha ajabu hapo hata ukukane watu?
 
Vipi chato
 
Kipindi chote cha ujenzi na wakazi wengi wa Dodoma tunapajua kama Mji wa Kiserekali... hii Magufuli City inayotafsiriwa Kama Mji wa Magufuli.. mwandishi ni nani?
 
17 KM

HILI CITY NINAWEZA KUJENGWA NA FEDHA ZA MWANAMKE MMOJA ANAMILIKI BILION 6,789,823 KWENYE BANKI AKAUNTI BADO MWANADAMU ANAFIKIRI KUNA MTU MALI... HUYU MWANAMKE BADO YUPO CRDB BANKI
6bn inajenga kajengo kamoja tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…