Mbowe aliangushwa na konyagi akasingizia wasiojulikana.!Magufuli na vibaraka wake walipokuwa wanakejeli watu waliowaua kama Ben Saaane, na waliowapiga risasi kama kina Lissu walikuwa na gurantee ya immortality? Hilo swali mngekuwa mmemuuliza kipindi hicho pengine leo angekuwa hai. Sisi tulijua na tunajua hatutaishi milele ndiyo maana tunakemea watu kuuawa au kuumizwa na wenye madaraka. Wewe ndiyo unajua leo? Pole sana!
Wewe ni team Samia au Magofool? Kaa kwa kutulia. Boss wako kashaoza. Kiburi chote kimeishia futi 6.Mbowe aliangushwa na konyagi akasingizia wasiojulikana.!
Hamuaminiki nyinyi nyumbu
Kamuulize Bashiru, Polepole, Makonda na yule Sabaya ambaye sasa kaolewa gereza la KisongoSamia = Magufuli
Elewe wewe nyumbu
Kama alivyo mbuzi wa kigodoro mama yako!!Mbuzi wa sherehe ww
His legacy will live forever, who are you, you are just like a fly.Kashaoza
Ni wachache saaana ambao wataikataa historia ya kusisimua ya huyu Mwamba kwamba, alikuwa ni mtu wa aina yake Hapa Duniani, Alifanya mengi makubwa,Mazuri na kwa muda mfupi, Utadhani kulikuwa na nguvu iliyokuwa ikimsukuma kufanya hivyo na kasi, kwa kuwa asingeliweza ishi kwa muda mrefuWamuite tu vyovyote ila uhalisia utabaki ndiye rais aliyekuwa mkatili kuliko marais wote Tanzania.
Aliua alitesa na kupoteza watu
Hata apakwe mafuta vipi atabaki kwenye historia hiyo.
Hata umchole kwenye choo yako ili ukienda kunya uwe unamsalimia historia haitabadilika!!
Ah! Kumbe Jafo aliyekuwa anamlamba nyayo!Huko makao makuu ya nchi jijini Dodoma kulianzishwa mji wa Magufuli uliotangazwa na waziri wa tamisemi wa wakati huo Seleman Jafo ili kuenzi juhudi za rais Magufuli kwa kuahidi na kukamilisha ahadi ya kuhamishia serikali yote Dodoma ndani ya miaka 5 ya utawala wake.
Sasa mji huo umefikia asilimia 70 ya ujenzi wake na huduma zote muhimu kama barabara,maji na umeme zimeshafika.
Bila shaka kukamilika kwa mji huo itakuwa mateso makubwa kwa wasiompenda hayati Magufuli kwani sasa watalazimika kupandia mabasi stendi ya Magufuli, au SGR ya Magufuli au ndege za Magufuli hapa kazi tu na kwenda Magufuli city DodomaView attachment 1820820
Kwani uongo?His legacy will live forever, who are you, you are just like a fly.
Siwezi kuwa na staha kwa shetani.Uzuri kubaki fuvu na wewe unayeandika hapa utabaki fuvu, ndg zako nao hivihivi na inawezekana tayari wengine ni mafuvu wakiwemo watu wako wa karibu kabisa, nao ni mafuvu, hata mimi takuwa hivohivo tu siku moja!
Kuwa na staha ndg!
Where is he now? 🤣 🤣 🤣Hapa Kazi & Kasi Tu!!!
^Nani Kiboko!??? John Pombe kiboko yao!!!
^Nani Kiboko!??? John Pombe kiboko yao!!!
^Amefanya mengi, hata sisi sote tunayaona!!!^ (TOT)
Jamaa wa ufipa wataanzisha kampeni huko twitter kupinga, ha ha ha.Huko makao makuu ya nchi jijini Dodoma kulianzishwa mji wa Magufuli uliotangazwa na waziri wa tamisemi wa wakati huo Seleman Jafo ili kuenzi juhudi za rais Magufuli kwa kuahidi na kukamilisha ahadi ya kuhamishia serikali yote Dodoma ndani ya miaka 5 ya utawala wake.
Sasa mji huo umefikia asilimia 70 ya ujenzi wake na huduma zote muhimu kama barabara,maji na umeme zimeshafika.
Bila shaka kukamilika kwa mji huo itakuwa mateso makubwa kwa wasiompenda hayati Magufuli kwani sasa watalazimika kupandia mabasi stendi ya Magufuli, au SGR ya Magufuli au ndege za Magufuli hapa kazi tu na kwenda Magufuli city DodomaView attachment 1820820
Wanasaccos lazima wanyooke wanajaribu kuua legacy yake lakini hawataweza kwa kuwa Hayati aliacha vitu halisi siyo blabla za wanasaccos.Huko makao makuu ya nchi jijini Dodoma kulianzishwa mji wa Magufuli uliotangazwa na waziri wa tamisemi wa wakati huo Seleman Jafo ili kuenzi juhudi za rais Magufuli kwa kuahidi na kukamilisha ahadi ya kuhamishia serikali yote Dodoma ndani ya miaka 5 ya utawala wake.
Sasa mji huo umefikia asilimia 70 ya ujenzi wake na huduma zote muhimu kama barabara,maji na umeme zimeshafika.
Bila shaka kukamilika kwa mji huo itakuwa mateso makubwa kwa wasiompenda hayati Magufuli kwani sasa watalazimika kupandia mabasi stendi ya Magufuli, au SGR ya Magufuli au ndege za Magufuli hapa kazi tu na kwenda Magufuli city DodomaView attachment 1820820
Tutaongea na mama abadilishe jina... paitwe Mwendazake CityPanaitwa MTUMBA nadhani ni ushamba wa Jaffo tu halafu bado sana nipo DODOMA hapa
Will anything be named Chahali after you die? Poor you.Where is he now? 🤣 🤣 🤣
Majizi na majambazi huu uzi utawakera. Ila kwa sasa hakuna jina la kiongozi lenye mvuto na bahati zaid ya jpm.
Si unaona na humu ukianzisha uzi ukaandika jina magufuli basi kila mtu anataka kujua habari zake.
Nb. Wasiompenda jpm wako mitandaoni tu.
Umeelewa nilichosema dogo, nasema mumkaushe akiwa uchi kabisa itakua vema.
Aaah wapiiiWamuite tu vyovyote ila uhalisia utabaki ndiye rais aliyekuwa mkatili kuliko marais wote Tanzania.
Aliua alitesa na kupoteza watu
Hata apakwe mafuta vipi atabaki kwenye historia hiyo.
Hata umchole kwenye choo yako ili ukienda kunya uwe unamsalimia historia haitabadilika!!