Magufuli City yaiva huko Dodoma, wasiompenda kuteseka maisha yao yote

Mbowe aliangushwa na konyagi akasingizia wasiojulikana.!

Hamuaminiki nyinyi nyumbu
 
Ni wachache saaana ambao wataikataa historia ya kusisimua ya huyu Mwamba kwamba, alikuwa ni mtu wa aina yake Hapa Duniani, Alifanya mengi makubwa,Mazuri na kwa muda mfupi, Utadhani kulikuwa na nguvu iliyokuwa ikimsukuma kufanya hivyo na kasi, kwa kuwa asingeliweza ishi kwa muda mrefu

JPM, Hawezi kusahaulika ktk historia ya Tz kwa mengi mema aliyoifanyia nchi yake,
 
Ah! Kumbe Jafo aliyekuwa anamlamba nyayo!
 
Uzuri kubaki fuvu na wewe unayeandika hapa utabaki fuvu, ndg zako nao hivihivi na inawezekana tayari wengine ni mafuvu wakiwemo watu wako wa karibu kabisa, nao ni mafuvu, hata mimi takuwa hivohivo tu siku moja!
Kuwa na staha ndg!
Siwezi kuwa na staha kwa shetani.
 
Jamaa wa ufipa wataanzisha kampeni huko twitter kupinga, ha ha ha.
 
Wanasaccos lazima wanyooke wanajaribu kuua legacy yake lakini hawataweza kwa kuwa Hayati aliacha vitu halisi siyo blabla za wanasaccos.
 
Kwa hakika. Majizi kama Sir-buyer na wenzake uzi kama huu unawakumbusha mengi sana. Wanatamani waende kwa mwenda zake wakamuachie dhambi zao zote aende nazo ila ndivyo haiwezekani tena.
Majizi na majambazi huu uzi utawakera. Ila kwa sasa hakuna jina la kiongozi lenye mvuto na bahati zaid ya jpm.

Si unaona na humu ukianzisha uzi ukaandika jina magufuli basi kila mtu anataka kujua habari zake.

Nb. Wasiompenda jpm wako mitandaoni tu.
 
Aaah wapiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…