Uchaguzi 2020 Magufuli(Mlowa): Ubunge sio 'madigrii' ni kipaji kutoka kwa Mungu; mkichagua Wapinzani nitashindwa kuwatumbua wasipofanya kazi

Mfano mzuri yeye ana phd lakini hamna kitu
 

Ndio maana hata sisi Chadema Mbowe ndio Mwenyekiti wetu, Mnyika, Katibu Mkuu, Kigaila Naibu Katibu Mkuu. na tunaendelea.

Cha Ajabu nini CCM kupata mbunge amemaliza darasa la Saba?
 
Uongozi ni talanta
Ni kweli kipenzi, si unaona Talanta ya Lissu, akiongea tu neno unajua kabisa leadership lies within his blood, ila kuna yule mwingine akiongea ni anatufokea mpaka tunaficha uso, hachagui nini cha kuonea na wapi pa kuongea, mbaya zaidi maneno yake hayana matumaini kabisa
 
Toka lini mbunge akatumbuliwa kama RC au DC ?
 
Kampeni za huyu mtu hazinivutii hata kidogo, labda hili tatizo ni langu mimi binafsi na siyo kwa watu wengine. Kwa maana kila anachokiongea ni kile kile tu ambacho tumemisikia akikiongea toka mwaka 2016.
 
Ulitaka ijengwe kwa siku, au wiki moja au mwezi au mwaka moja tuu eeeh
Wewe nyumba yako umeijenga kwa muda gani??? Kama umeshamaliza ujenzi

Unaijua Dodoma vzur?Unajua CCM imeyakalia kwa mda ganI hayo majimbo?
 
28102020
 
Unaijua Dodoma vzur?Unajua CCM imeyakalia kwa mda ganI hayo majimbo?
Kuna majimbo yamekaliwa na upinzani pia kwa miaka na hakuna jipya. Dodoma miaka hii mitano ya CCM chini ya Magufuli wamepiga hatua kubwa sana kama ilivyo kwa mikoa mingine
πŸ’₯

Wapinzani sijui wana niniπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Mnatumbua bila kufuata sheria na kanuni za ajira!
Visa na visasi vinatawala!
Ukanda na ukabila umejaa na kutamalaki!
Utawala bora hauna nafasi kabisa ktk kipindi hiki.
 

Mkuu naomba unipatie orodha ya mambo yaliyofanywa na CCM ambayo hayakuwepo Dom hasa nje ya jiji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…