dindilichuma
JF-Expert Member
- Dec 19, 2015
- 1,736
- 2,699
Shida iliyopo ni rais kuwa pia mgombea.
Leo kabaki Kigoma kuzindua jengo la Mahakama Kama rais wa nchi sio Kama mgombea hivyo NEC hawahusiki na mambo ya ratiba ya rais.
Ingawa ratiba ya uzinduzi itaisha mapema Sana.
Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app
Leo kabaki Kigoma kuzindua jengo la Mahakama Kama rais wa nchi sio Kama mgombea hivyo NEC hawahusiki na mambo ya ratiba ya rais.
Ingawa ratiba ya uzinduzi itaisha mapema Sana.
Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app