Magufuli na Lissu kukutana Kigoma kwa mara ya kwanza leo

Magufuli na Lissu kukutana Kigoma kwa mara ya kwanza leo

Ni kweli kila mtu aendelee na ratiba yake. Ila naamini Lissu katika kampeni zake ataondokana na uzushi kuwa Rais Magifuli ameharibu uhusiano wa kimataifa na hata nchi za jirani. Leo Rais wa Burundi kaja. Hivi karibuni Uhuru na Kagame wamekuja Tanzania, tena Chato.
Uhuru na Kagame?!
 
Pamoja na yote, hivi inakuwaje katikati ya kampeni za uchaguzi mkuu huyu bwana anafanya mambo haya?

Hivi mtu akitafsiri shughuli hizi kuwa ni kuzidiwa kwa mgombea Urais wa CCM John Magufuli na hivyo anaamua kutafuta usaidizi wa waziwazi toka nje ya nchi kwa vitendo kama hivi, atakuwa anakosea?

Je, hii mialiko ya marais toka nje isingeweza kusubiri uchaguzi upite? Na je, sheria na kanuni za uchaguzi zinasemaje? NEC mnasemaje? Huyu mtu anatenda sawasawa na kanuni na maadili yenu?
Mkuu JP magufuli ni Rais na Amiri jeshi mkuu ndio mana leo unaona amevua koti la ugombea kwa ccm na kuvaa koti la Urais, maisha lazima yaendelee Huyo ni Rais ivo hawezi kusimamisha kila jambo kisa kampeni hilo hapana, yeye angalie tu muda wake ili ahakikishe ana perfom duties za Kitaifa kama hizi za leo
 
Lissu anapenda fujo sana. Hivi kwann asingeenda kesho ili kusubiri Rais amalize shughuli ya kitaifa kwanza?
Jitaidi kuficha ujinga ndani ya nguo! Alafu unadhalilisha sana jina la Lowasa, ukoo ule hawana kiwango hiki cha ujinga!
 
Mkuu JP magufuli ni Rais na Amiri jeshi mkuu ndio mana leo unaona amevua koti la ugombea kwa ccm na kuvaa koti la Urais, maisha lazima yaendelee Huyo ni Rais ivo hawezi kusimamisha kila jambo kisa kampeni hilo hapana, yeye angalie tu muda wake ili ahakikishe ana perfom duties za Kitaifa kama hizi za leo
Mnasemaga tume yetu ni tume huru,Kama ndivyo Basi "Ratiba ya NEC" iheshimiwe. Vinginevyo CDM watawasumbua Sana,na haki wanayo kufuatana na ratiba ya NEC.
 
Mkuu JP magufuli ni Rais na Amiri jeshi mkuu ndio mana leo unaona amevua koti la ugombea kwa ccm na kuvaa koti la Urais, maisha lazima yaendelee Huyo ni Rais ivo hawezi kusimamisha kila jambo kisa kampeni hilo hapana, yeye angalie tu muda wake ili ahakikishe ana perfom duties za Kitaifa kama hizi za leo
In mbinu ya kula hela tu ya hazina Leo hakuna jipya
 
Magufuli mtu wa maajabu sana. Usikute akatumbukia ghafla mkutano wa Lissu na kutangaza kuunga mkono juhudi za Lissu na kujitoa ugombea ili Lissu aje amkumbuke kwenye ufalme wake.
Heri nusu shari kuliko shari kamili.
😂😂😂😂
 
Lissu anapenda fujo sana. Hivi kwann asingeenda kesho ili kusubiri Rais amalize shughuli ya kitaifa kwanza?
Kuna muda huwa unawashwa sana sio siri!! Unahitaji kujikuna tu sio lazima uandike ushuzi ka huu mdada....

Wagombea wote wanafata ratiba ya kampeni kwa muongozo wa NEC, Mwenyekiti wenu ndo haeleweki anaingiza shughuli zingine katikati ya kampeni, Ko Lissu aache kwenda KG kisa Meko ameita wasaidizi wa nje kumpigia kampeni....?

Sent from my Infinix X5514D using JamiiForums mobile app
 
Hii kama siyo fujo ni nini.

Ratiba ya NEC inasoma Lissu atakuwa Kigoma,Magufuli ndiye kaingilia kalazimisha kubaki Kigoma,

Kabaki kupokea wageni na kuzindua jengo la mahakama tangu lini wageni wakapokewa uwanja wa mpira na tangu lini jengo la mahakama likazinduliwa uwanja wa mpira.
Hivi ni kwa nn jamaa anapenda kuwaalika madikteta tu tena kipindi hiki cha uchaguzi?🤔🤔
Zaidi ya hilo nasikia museven asili yake ni mhutu..... 😒😒

Tuendelee kujiuliza pamoja👍👍
 
Lissu anapenda fujo sana. Hivi kwann asingeenda kesho ili kusubiri Rais amalize shughuli ya kitaifa kwanza?
Hivi ni kwa nn jamaa anapenda kuwaalika madikteta tu tena kipindi hiki cha uchaguzi?🤔🤔
Zaidi ya hilo nasikia museven asili yake ni mhutu..... 😒😒

Tuendelee kujiuliza pamoja👍👍
 
Ningekua mm ndio magufuli ningemuomba Mh Tundu Antipas Mugway LISSU tufanye mdahalo leo leo hapo kigoma .......

Nimgekua mpambe wa magufulu na mtafuta vyeo kindakindaki ningemshauri mkuu wangu akubali kufanya mdahalo hukohuko kigoma.....
 
Pamoja na yote, hivi inakuwaje katikati ya kampeni za uchaguzi mkuu huyu bwana anafanya mambo haya?

Hivi mtu akitafsiri shughuli hizi kuwa ni kuzidiwa kwa mgombea Urais wa CCM John Magufuli na hivyo anaamua kutafuta usaidizi wa waziwazi toka nje ya nchi kwa vitendo kama hivi, atakuwa anakosea?

Je, hii mialiko ya marais toka nje isingeweza kusubiri uchaguzi upite? Na je, sheria na kanuni za uchaguzi zinasemaje? NEC mnasemaje? Huyu mtu anatenda sawasawa na kanuni na maadili yenu?
Halinaga akili hilo jitu
 
Kwa mjibu wa ratiba Tundu Lissu atakuwa na kampeni Kigoma mjini leo jioni katika maeneo ya Mwanga center. Wakati huo huo Rais Magufuli atakuwa Lake Tanganyika, atakuwa na Rais wa Burundi ambaye amealikwa katika uzinduzi wa jengo la mahakama.

Hofu yangu ni, je, CHADEMA wataruhusiwa kufanya maandalizi mazuri kwa kumpokea mgombea wao wa uraisi?

Polisi wajipange kukabiliana na vurugu zinazoweza kutokea kwa mashabiki Hawa wa vyama.

Ingekuwa ni kwenye Mpira tungesema kuwa kila Mtu acheze Mechi zake ili 'ashinde' ila sijajua huku ( hapa ) katika 'Medani' za 'Siasa' tusemaje pia.
 
Magufuli anapenda sana kujishusha, hata shughuli ambayo ingetakiwa ifanywe na jaji mkuu yeye ndio anataka akauze sura.

Haya ni mambo ya kipuuzi akina Uhuru Kenyatta hawawezi kufanya. Mwisho anaweza akajichelewesha tena hapo tukasikia kuwa anaenda kufungua choo kipya cha shule ya msingi. Very hopeless.
 
Back
Top Bottom