dindilichuma
JF-Expert Member
- Dec 19, 2015
- 1,736
- 2,699
Magu ataaibika jioni hii.Lisu anahofu sana ameenda kishingo upande
Amepaniki joniHii kama siyo fujo ni nini.
Ratiba ya NEC inasoma Lissu atakuwa Kigoma,Magufuli ndiye kaingilia kalazimisha kubaki Kigoma,
Kabaki kupokea wageni na kuzindua jengo la mahakama tangu lini wageni wakapokewa uwanja wa mpira na tangu lini jengo la mahakama likazinduliwa uwanja wa mpira.
Ratiba za kampeni ziko wazi. Hivyo Jiwe hawezi kuingilia utaratibu wa ChademaKwa mjibu wa ratiba Tundu Lissu atakuwa na kampeni Kigoma mjini leo jioni katika maeneo ya Mwanga center. Wakati huohuo Mh Magufuli atakuwa Lake Tanganyika, atakuwa na rais wa Burundi ambaye amealikwa katika uzinduzi wa jengo la mahakama.
Hofu yangu ni, je, CHADEMA wataruhusiwa kufanya maandalizi mazuri kwa kumpokea mgombea wao wa uraisi? Police wajipange kukabiliana na vurugu zinazoweza kutokea kwa mashabiki Hawa wa vyama.
Anapenda sifaJamaa angemwachia judge azindue yeye ahangaike na mambo makubwa.
Kampeni siyo shughuli ya kitaifa?Tundu Lisu itabidi apishe shughuli ya kitaifa kwanza.
Yeye aendelee ni mkutano wake kesho maana hawezi kuingilia shughuli mahsusi ya mkuu wa nchi ambaye tayari yuko Kigoma!
Hapo umenena mkuu lakini CCM watavumilia hili?Kila mtu aachwe afanye mambo yake hakuna habari za kuingiliana.
Lissu apige kampeni na Magu ampokee mgeni wake.
Tundu Lisu itabidi apishe shughuli ya kitaifa kwanza.
Yeye aendelee ni mkutano wake kesho maana hawezi kuingilia shughuli mahsusi ya mkuu wa nchi ambaye tayari yuko Kigoma!
Kuna mambo yanapatikana Tanzania pekee...Hii kama siyo fujo ni nini.
Ratiba ya NEC inasoma Lissu atakuwa Kigoma,Magufuli ndiye kaingilia kalazimisha kubaki Kigoma,
Kabaki kupokea wageni na kuzindua jengo la mahakama tangu lini wageni wakapokewa uwanja wa mpira na tangu lini jengo la mahakama likazinduliwa uwanja wa mpira.
Mbona una akili za kikahaba wewe? Unadhani Lissu anajipangia ratiba mwenyewe?Lissu anapenda fujo sana. Hivi kwann asingeenda kesho ili kusubiri Rais amalize shughuli ya kitaifa kwanza?
Rais wetu ameshamaliza mkutano wa hadhara na Jenerali Ndayishimiye,jioni mgombea wetu atakua njiani kuelekea TaboraKwa mjibu wa ratiba Tundu Lissu atakuwa na kampeni Kigoma mjini leo jioni katika maeneo ya Mwanga center. Wakati huohuo Mh Magufuli atakuwa Lake Tanganyika, atakuwa na rais wa Burundi ambaye amealikwa katika uzinduzi wa jengo la mahakama.
Hofu yangu ni, je, CHADEMA wataruhusiwa kufanya maandalizi mazuri kwa kumpokea mgombea wao wa uraisi? Police wajipange kukabiliana na vurugu zinazoweza kutokea kwa mashabiki Hawa wa vyama.
Mkuu tumeshaambiwa Namba moja anafanya mikutano 10 kwa siku na TL anafanya 1 - 4 kwa hiyo toa shaka.Japokuwa hapo Lake Tanganyika ataondoka saa sita ila ratiba ni yeye anaivuruga. Mara akate pumzi siku tano, mara aahirishe kule Bukoba na leo tena anapoteza siku Kigoma. Alitakiwa awe ameshafika Katavi leo. Yani mpaka leo alitakiwa hata asiwepo Rukwa! Any way ni kwakuwa hana sera na afya ni mgogoro!
Baada ya kukabwa kisawasawa, Mzee Baba anatafuta pa kuanzishia visa. Tunae mwaka huuHii kama siyo fujo ni nini.
Ratiba ya NEC inasoma Lissu atakuwa Kigoma,Magufuli ndiye kaingilia kalazimisha kubaki Kigoma,
Kabaki kupokea wageni na kuzindua jengo la mahakama tangu lini wageni wakapokewa uwanja wa mpira na tangu lini jengo la mahakama likazinduliwa uwanja wa mpira.