Miss Madeko
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 4,364
- 5,609
Kwani ni kifungu gani cha Katiba ya JMTZ Raisi wa JMTZ alichovunja kwenye kupitishwa kwa huo Mswada?
Naomba upaki pembeni, wenye kujua kuendesha na kujadili mambo waendelee, kwani yeye ni vingapi anavunja bana wewe? kwani ni katiba ipi anaifutatilia
Tatizo Bunge limejaza wajinga wengi, watu wasio na uelewa wowote lakini wenye maneno mengi ya mtaani. Fikiria bunge lenye watu wafuatao:Majority ya wabunge wa chama tawala bungeni ndio inafanya wabunge wote waonekane wa hovyo. Unakumbuka suala la kikokotoo? Ndivyo ilivyotokea kwa muswada wa mabadiliko ya sheria ya vyama vya siasa. Wabunge wa CCM wakishaitwa kwenye caucus hawana usemi kbs kwa mwenyekiti wao
Ni kweli kabisa na tatizo kubwa ni kwamba ana uwezo mdogo sana wa kiuongozi, akili ndogo kuongoza akili kubwa huwa inashindikana na kukimbilia vitendo vya kuficha udhaifu wake kama tunayoshudia, vitisho, utekaji, utesaji, mauaji, sheria kandamizi nkNinaandika ujumbe huu kwa huzuni sana kwasababu kati ya viongozi ambao nilikuwa ninaamini genuinely wangeweza kuleta mageuzi katika nchi hii Magufuli alikua namba moja.
Nilikua shabiki yake toka alipokua Waziri wa Ujenzi na hata baada ya kuchaguliwa kuwa Rais bado nilimpenda kwa dhati. Ni kiongozi ambae amenifanya niwe na keen interest na maswala ya kisiasa.
Jana nilipatwa na hasira nilipoona kwenye habari kuwa Bunge limepitisha Muswada kandamizi wa vyama vya siasa. Haiitaji rocket science kujua kwamba ule Muswada umeandaliwa kwa dhumuni kubwa la kudhibiti vyama vya upinzani. Hapa ndipo nilidraw the line na kugundua kuwa Magufuli si kiongozi mzuri kama nilivyomdhani.
Nilijiuliza swali la msingi; Kwanini huyu Rais anatumia nguvu nyingi kunyamazisha dissenting voices? Ni kweli kwamba kwenye siasa kuna propaganda, uzushi na uongo mwingi sana lakini hiki hakipaswi kuwa chanzo cha Serikali ya Magufuli kuweweseka.
Utawala wa Mhe. Kikwete, wapinzani walishamiri na kupinga masuala mbalimbali katika Serikali lakini hatukuona utawala wa Kikwete unatumia resources nyingi kucrackdown wapinzani. Si muwaache waongee, kwani ni lazima wasikilizwe.
Hii inadhihirisha kuna mambo mengi yanafichwa ndani ya Serikali ya Magufuli maana haileti maana wewe kuzuia watu wenye mawazo tofauti na yako kuongea.
If anything, this proves that Magufuli ni kiongozi insecure sana. Wapinzani walimsema Kikwete kwamba ni kiongozi dhaifu, ila ukweli mchungu ni kwamba Magufuli ni dhaifu zaidi. Utaona kwa jinsi tu anavyotumia nguvu nyingi katika ulinzi wake. He is the most protected President in our country's history. Amemwaga sana hela kwenye Usalama wa Taifa kwa ajili tu ya ulinzi wake. 80% ya staff wa TISS wamebadilishwa katika uongozi wake na anaweka vijana wadogowadogo wasio na experience wala mafunzo ya kutosha, mwishowe wanaishia kuteka na kutisha watu.
Kwa wakazi wa Kijitonyama wataelewa ni kwa namna gani wanashuhudia miili ya watu iliyotupwa kwenye viroba kila kukicha.
Tusipokuwa makini na kutafuta mbinu za kumdhibiti huyu Rais ambaye anajiiona ni invicible, itakuja kutucost when it is too late.
Najua anatabia ya kusema "pesa zipo" ila Serikali sasa hivi haina pesa. Development partners are pulling out aid and funding of projects kwa sababu ya sheria kandamizi na ukiukwaji wa haki.
Ni kwa sababu hii huoni sikuhizi kwenye speech zake akiwasema vibaya hawa wahisani maana wamemshika pabaya. The government is really broke na hizi sheria kandamizi zinazoendelea kutungwa haziisaidii nchi kabisa.
My advice to the President:
Ulianza vizuri sana mwaka wa kwanza na nusu ya uongozi wako, you were the model of good African leadership and everyone was in love with you. Sijui ni nini kilitokea baada ya hapo sababu wewe ni Kiongozi ambae ungeweza kuwa zaidi ya Nyerere but you ruined it.
Mimi nakushauri uwaachie watu wazungumze bila kuwaekea vikwazo, sio lazima uwasikilize. Huwezi kuongoza kwa kujenga mazingira ya hofu, hata mawaziri wako wanakuogopa.
Umekuwa Waziri wa kila wizara, they cant make decisions sababu wanaogopa jinsi ulivyo unpredictable. Wewe na mpwa wako mmejimilikisha hazina ya nchi, yule Waziri mpango yupo pale kama pambo, hana nguvu kabisa.
Hii nchi ni yetu sote, tuvumiliane. Angalia mfano wa mwezako wa Ethiopia, hata rafiki yako Kagame ameanza badilika. Its the 21st century, the age of the internet, huwezi kuongoza with an iron fist na ukawa successful ipo siku itakucost.
All the best katika majukumu yako!!
Kwani Mabadiliko haya yamemzuia mtu kuongea?Utawala wa Mhe. Kikwete, wapinzani walishamiri na kupinga masuala mbalimbali katika Serikali lakini hatukuona utawala wa Kikwete unatumia resources nyingi kucrackdown wapinzani. Si muwaache waongee, kwani ni lazima wasikilizwe.
Hii inadhihirisha kuna mambo mengi yanafichwa ndani ya Serikali ya Magufuli maana haileti maana wewe kuzuia watu wenye mawazo tofauti na yako kuongea.
Mlaumu Rais siku atakapo usaini kuwa Sheria lakini ukimlaumu sasahivi na wakati hakuwepo bungeni mule wala hajashiriki kuupisha mule Bungeni unamuonea.Tusipokuwa makini na kutafuta mbinu za kumdhibiti huyu Rais ambaye anajiiona ni invicible, itakuja kutucost when it is too late.
Tukiendekeza propaganda za kimagharibi tutapotea na hatutokuja kufanya kitu cha maana! Huko kwao wakianya uchaguzi husikii wanapita barabarani kupingapinga wenyewe wanafanya kazi! Japo Trumple anapigiwa kelele sana na ripoti Transparency imeonyesha Marekani ufisadi umezidi kipindi chake lakini hujamsikia Hillary Clinton akihamasisha maandano wala mikutano..! hawa wanajiita nchi zilizo starabika lakini nchi zisizo starabika tunaishi kiholela mno! mara terrible Teen mara nini yani vituko tupu!Nilijiuliza swali la msingi; Kwanini huyu Rais anatumia nguvu nyingi kunyamazisha dissenting voices? Ni kweli kwamba kwenye siasa kuna propaganda, uzushi na uongo mwingi sana lakini hiki hakipaswi kuwa chanzo cha Serikali ya Magufuli kuweweseka.
Style ya kudanganya idadi ya samaki mtoni, maziwani na baharini? Au kutaja kms za kufurahisha umma kwa fix?Hayakua maigizo... maana hiyo ndio ilikua his style of leadership toka alivokuwa waziri wa ujenzi....
Kwa Γ kili yako hapa unaonyesha kutokujua vitu, Snowden alikuwa mwandishi sio? Au Agent wa CIA aliyeamua kuwa double agent?Tuwekee hizo Act zenye matatizo katika mswaada huo, na jinsi gani zitaleta effects. Pia tuthibitishie ni jinsi gani rais na huyo mpwa wake wameishikilia hazina.
Kama itakupendeza tuambie unamaanisha nini unaposema "rais waache watu wazungumze" kwan kawaziba midomo?? Tundu lissu anaongea, juzi mnyika pale kimara kaongea waz mbele ya rais, zitto na wenzie wameongea huko zanzibar, tena wametoka na azimio. Fafanua hapa
Tukukumbushe tu, hakuna nchi duniani iliendelea kwa misaada na mikopo, kwahyo usiforce nchi ikope au kuendelea kupata misaada, kwanza vya kupewa ni ghali na vinadhalilisha.
Njoo utuambie serikali ifanye nini kwenye kilimo kuongeza productions, serikali ifanye nini kukuza utalii tuongeze kipato, viwanda, teknolojia nk.
Hakuna nchi mtu anaongea bila mipaka, kamuulize snowden wa marekani, si ndo baba yenu wa demokrasia??
La mwisho, Magufuli ni mtu kama wewe atamaliza kipindi chake atasepa, nchi itabaki. Tundu lissu atakufa nchi itabaki, wapo akina nyerere?? Nchi hii upinzani unalegea sana, vyama vyao ni kama vikundi vya wahuni!! Wajanja Wajanja tu, wenyekiti ni wale wale toka tunazaliwa miaka ya 90s
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikukumbushe tu ndio hawa wabunge walipitisha issues nyingi ambazo zinagharimu taifa mpaka sasa, japo wachache walipinga kwa hoja lakini walijibiwa kwa kejeli na kuitwa sio wazalendo. Na ni wabunge hawa hawa leo wanasifu juhudi hewa za kupambana uozo waliouweka wenyewe. Wabunge wa CCM wapo kwajili ya Chama na sio taifa. Utakua limbukeni sana kama huyaoni haya. Wabunge wenye nia ya dhati kutetea taifa awawezi kwasababu wakijarubu watakutana na panga la mwenyekiti kwenye mchakato wa kupitishwa na Chama.sio kweli, kwahyo unataka kusema wabunge wa CCM hawana uwezo wa kuona kwamba hicho kitu wanachokubali kupitisha kitakua na effect kwao hapo mbeleni? kiasi kwamba wakubali tu kisa wameambiwa na mwenyekiti wao? am sure hata wapinzani wapo walioafiki vizur sana na ndio mana umepita bila wasiwasi
ππππππ ndio hao hao walishiriki kuinga katiba ya Warioba kwa sababu ilikuwa inawabana kwenye elimuTatizo Bunge limejaza wajinga wengi, watu wasio na uelewa wowote lakini wenye maneno mengi ya mtaani. Fikiria bunge lenye watu wafuatao:
Kibajaji
Ngamia
Musukuma
Ja People
Marehemu Maji Marefu, n.k..
Unategemea nini cha maana kutoka kwa watu kama hao? We are in a big shit as a nation.
Sent using Jamii Forums mobile app
mtapata tabu sana na akimaliza 2025 TUNAMUONGEZEA.Ninaandika ujumbe huu kwa huzuni sana kwasababu kati ya viongozi ambao nilikuwa ninaamini genuinely wangeweza kuleta mageuzi katika nchi hii Magufuli alikua namba moja.
Nilikua shabiki yake toka alipokua Waziri wa Ujenzi na hata baada ya kuchaguliwa kuwa Rais bado nilimpenda kwa dhati. Ni kiongozi ambae amenifanya niwe na keen interest na maswala ya kisiasa.
Jana nilipatwa na hasira nilipoona kwenye habari kuwa Bunge limepitisha Muswada kandamizi wa vyama vya siasa. Haiitaji rocket science kujua kwamba ule Muswada umeandaliwa kwa dhumuni kubwa la kudhibiti vyama vya upinzani. Hapa ndipo nilidraw the line na kugundua kuwa Magufuli si kiongozi mzuri kama nilivyomdhani.
Nilijiuliza swali la msingi; Kwanini huyu Rais anatumia nguvu nyingi kunyamazisha dissenting voices? Ni kweli kwamba kwenye siasa kuna propaganda, uzushi na uongo mwingi sana lakini hiki hakipaswi kuwa chanzo cha Serikali ya Magufuli kuweweseka.
Utawala wa Mhe. Kikwete, wapinzani walishamiri na kupinga masuala mbalimbali katika Serikali lakini hatukuona utawala wa Kikwete unatumia resources nyingi kucrackdown wapinzani. Si muwaache waongee, kwani ni lazima wasikilizwe.
Hii inadhihirisha kuna mambo mengi yanafichwa ndani ya Serikali ya Magufuli maana haileti maana wewe kuzuia watu wenye mawazo tofauti na yako kuongea.
If anything, this proves that Magufuli ni kiongozi insecure sana. Wapinzani walimsema Kikwete kwamba ni kiongozi dhaifu, ila ukweli mchungu ni kwamba Magufuli ni dhaifu zaidi. Utaona kwa jinsi tu anavyotumia nguvu nyingi katika ulinzi wake. He is the most protected President in our country's history. Amemwaga sana hela kwenye Usalama wa Taifa kwa ajili tu ya ulinzi wake. 80% ya staff wa TISS wamebadilishwa katika uongozi wake na anaweka vijana wadogowadogo wasio na experience wala mafunzo ya kutosha, mwishowe wanaishia kuteka na kutisha watu.
Kwa wakazi wa Kijitonyama wataelewa ni kwa namna gani wanashuhudia miili ya watu iliyotupwa kwenye viroba kila kukicha.
Tusipokuwa makini na kutafuta mbinu za kumdhibiti huyu Rais ambaye anajiiona ni invicible, itakuja kutucost when it is too late.
Najua anatabia ya kusema "pesa zipo" ila Serikali sasa hivi haina pesa. Development partners are pulling out aid and funding of projects kwa sababu ya sheria kandamizi na ukiukwaji wa haki.
Ni kwa sababu hii huoni sikuhizi kwenye speech zake akiwasema vibaya hawa wahisani maana wamemshika pabaya. The government is really broke na hizi sheria kandamizi zinazoendelea kutungwa haziisaidii nchi kabisa.
My advice to the President:
Ulianza vizuri sana mwaka wa kwanza na nusu ya uongozi wako, you were the model of good African leadership and everyone was in love with you. Sijui ni nini kilitokea baada ya hapo sababu wewe ni Kiongozi ambae ungeweza kuwa zaidi ya Nyerere but you ruined it.
Mimi nakushauri uwaachie watu wazungumze bila kuwaekea vikwazo, sio lazima uwasikilize. Huwezi kuongoza kwa kujenga mazingira ya hofu, hata mawaziri wako wanakuogopa.
Umekuwa Waziri wa kila wizara, they cant make decisions sababu wanaogopa jinsi ulivyo unpredictable. Wewe na mpwa wako mmejimilikisha hazina ya nchi, yule Waziri mpango yupo pale kama pambo, hana nguvu kabisa.
Hii nchi ni yetu sote, tuvumiliane. Angalia mfano wa mwezako wa Ethiopia, hata rafiki yako Kagame ameanza badilika. Its the 21st century, the age of the internet, huwezi kuongoza with an iron fist na ukawa successful ipo siku itakucost.
All the best katika majukumu yako!!
Aliyeleta huo mswada wa sheria bungeni ni nani kama si serikali. Hii serikali yetu ya sasa nani asiyejua kuwa imenywea kwa mtu mmoja tu.!! Na huu mswada na sasa inaenda kuwa sheria ndo uleule mkakati wa kuhakikisha vyama vya upinzani vitafutika 2019 kwa mujibu wa kauli za jiwe mwenyewe.Kwa nini unamlaumu Raisi Magufuli kwa Maswada uliopitishwa na Bunge la JMTZ?
Hivi hata hii demokrasia mnaielewa kweli?
Hadi umiliki wa wamachinga. Mwisho wa siku atakuja kumiliki hadi nyumba za watu na hapo ndo itatungwa sheria ya kuwa na siku rasmi ya ibada ya kusifu na kumtukuza kwa kazi zake.Ninyi ndio mnazidi kutia hasira, ina maana hujui siku hizi Magufuli ndio jaji, spika, na hata ndio waziri wa wizara zote?