Magufuli ni Rais muoga haijawahi tokea katika nchi hii

Huu nao ni woga. Ni vgumu sana taifa kupata maendeleo kama tuta-practice woga wa kiwango hiki. Akina Socrates na Aristotle wangeamua kuwa waoga usingepata fursa ya kusoma falsafa zao. When you are truthful, there is nothing to fear.
 
Kwani ni kifungu gani cha Katiba ya JMTZ Raisi wa JMTZ alichovunja kwenye kupitishwa kwa huo Mswada?
We baki hapo ukijaribu kupotosha wasiojua kuwa kwa sasa kiutendaji jiwe ndiye mmiliki wa bunge, mahakama, jeshi lote na wizara zote. Kama hujui hilo una bahati mbaya, na kama unajua basi we ni mpiga propaganda za kivuvuzela kama zile za uvccm.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CCM wamejichukulia madaraka ya kudumu,haya mambo ya chaguzi ni geresha tu ili wasikose pesa za misaada kutoka nchi za nje.
Hakuna siku CCM wataweka mazingira ya kupokonywa utawala,na wala hawatatengeza katiba huru,NEVER.
Wanajua udhahifu wa wananchi,wanatumia njia hiyo,na walishasema bila aibu kuwa watatutawala miaka 1000.Labda iwatokee zahama au kiama.
 


Kwani ni lini iliwahi kuwa tofauti? I mean ni lini Bunge la JMTZ lililo chini ya CCM liliwahi kukataa kupitisha Mswada ulioletwa na Serikali ya CCM?
 

Basic needs duniani kote nearly the same!

We are all human beings!

U are talking about hekima?Really?Kwanini usianze na boss wenu about hekima?

Kwahiyo ustaarabu wa kibinadamu unaangalia nchi ipo sehemu gani?Au rangi za watu wake?Really?

Nikariri maisha?

Unataka nikariri nini?Ahadi za mwana CCM?

You people are indubital mental small heads!
 
Safi sana mzee wa Campton
Uzi huu mm kuchangia nitapigwa ban tu
Ila naona mnawapelekesha kijani humu mpk basi

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu nao ni woga. Ni vgumu sana taifa kupata maendeleo kama tuta-practice woga wa kiwango hiki. Akina Socrates na Aristotle wangeamua kuwa waoga usingepata fursa ya kusoma falsafa zao. When you are truthful, there is nothing to fear.

Kijuu juu mkuu watu wanaweza kuona upo sawa,ila you are wrong big time!

Ni kama uniambie mtu unaenda vitani bila silaha yoyote,eti ukienda nayo ni "uoga"!

Bro,tunatumia silaha mbali mbali,ndogo ndogo kutokana na uwezo wetu mbalimbali na maarifa mbali mbali tulionayo!

Silaha kama za IP masking,etc ni silaha ndogo ndogo zinatusaidia kupambana na adui,sio uoga wewe!

Ni kwamba even kukushika iwe ni kazi haswa,na then wakikushika sio kwamba ni mteremko,ni royal battle on the court,mzee ni they see me when they see me!

Mkuu,hiyo unayosema wewe ni upumbavu,ni sawa na kwenda vitani bila silaha yoyote,ambayo ni ukichaa itself!
 
Sasa Uzi unasema kuwa rais Magufuli ni mwoga. Na sisi wa JF huku tunaogopa hata hata IP kudukuliwa, tuna-display woga mara nyingi zaidi ya huyo tunayesema ni mwoga. Kuna tofauti ya woga na "insecure" (sijui kiswahili chake tutasema nini hapa).

Labda tubadili hoja ya uzi, tuseme JPM ni mafia na katili sana, inabidi tujilinde kwa namna yoyote.
 
Vp kwa kunaotumia JF kwa simu za viganjani?

Kwenye simu install VPN tu!

Au kama vipi usi-log in,uwe una-view threads za watu bila ku-comment chochote!

Uwe una comment ukiwa kwenye computer yako ndani ya browser ya Tor tu...otherwise,CCM haichelewi!

JF sio wa kuwaamini kama zamani!
 
Kwa nini unamlaumu Raisi Magufuli kwa Maswada uliopitishwa na Bunge la JMTZ?

Hivi hata hii demokrasia mnaielewa kweli?

Hilo bunge ni viazi tu, huo muswaada ulienda kupata uhalali wa kisheria tu lakini kila kitu jiwe alishaamua.
 
Akili kama za kuku,
mnasahau juzi tu. mlikuwa mnamtuhumu kuwa Kikwete dhaifu na kuwa ilipofikia inahitaji kiongozi dictotor kwa sababu mambo yalikuwa hayaendi.
Ame dictate kidogo tu mkaanza kumzomea kuwa ni dictotor uchwara, hata hajaongeza mbinyo hata kidogo mmeanza kulia lia.
Hiyo mnaiita democracy muda wake bado sana kufanya kazi kwa nchi zinazoendelea, hadi sasa sioni sehemu amekosea anachofanya sasa ni kuwaokoa na kutumia nguvu ili mdhibitiwe na sheria.
Kiongozi anahitaji kukosolewa kwa sababu na yeye ni binadamu lakini anahitaji utulivu ili kufanya maamuzi.
Vipaumbele vyetu viko tofauti sana ukitaka kila kitu kwa kadri ndio hautakaa usogee ndio ameelekeza vipaumbele vya taifa kwenye mambo makubwa machache ambayo hamtaki pia vile anayatekeleza, ni ujinga mtupu kuamini Zito na wenzake wanapigania maslahi yako kabla ya ya kwao.
 
Akili kama za kuku,
mnasahau juzi tu. mlikuwa mnamtuhumu kuwa Kikwete dhaifu na kuwa ilipofikia inahitaji kiongozi dictotor kwa sababu mambo yalikuwa hayaendi.
Wewe ni punguani kwa hoja mavi namna hii!

Yaani unataka kutuambia ni heri mimi nimefanya dhambi ya kuua mwanamke kuliko wewe uliefanya dhambi ya kuua mwanaume?

Dhambi ni dhambi,ubaya ni ubaya,ubaya galoni moja na ubaya pipa wote ni ubaya ana hautakiwi wote kwa pamoja!

Usilete upumbavu wa kusema eti kwavile huyu kafanya dhambi A basi wewe una haki ya kufanya dhambi B...

Punguani kabisa!
 
Ame dictate kidogo tu mkaanza kumzomea kuwa ni dictotor uchwara, hata hajaongeza mbinyo hata kidogo mmeanza kulia lia.

Sasa hivi wewe ulivyo kiazi unaona ni haki kufanya udikteta kuumiza wananchi kwavile ni rais?

Unatawala wanadamu wenye nyama na damu,huwezi waumiza kama unatawala mawe wewe!

Eti "ame-dictate kidogo" as if udikteta ni halali vile?

Udikteta ni udhalimu...Na udhalimu unatakiwa upingwe na wanadamu wote wenye common decency na utu!

Hivi lini nyie watu mtaelewa maana ya hii dunia na wanadamu wanaishi vipi bila kuumizana?

Lead watu,watawale inavyotakiwa na sheria ulizowekewa......

With all these,kuna price mtalipa,any choice you make or do there are consequences,either good or bad,jiandae to live with them!

They are coming!
 
Na alisema kama yeye hataweza zitatua hakuna atakayeweza...inamaanisha tutakuja daiwa muda kwa kisingizio kuwa haukumtosha kutekeleza
 
Hata sheria mbovu za madini zilipitishwa na bunge hivyohivyo. Bunge letu ni dhaifu kwa sababu ya unafiki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais ukiachia mbali udhaifu pia IQ yake ktk masuala mtambuka pia inatia mashaka! Tuache utani jamani Rais wa awamu hii ukiachilia mbali udhaifu alionae hadi uongozi wake ni Jeshi,mahakama,Bunge na Maafisa usalama aliowajaza mie naamini mwisho wake ni mbaya sana maana kwanza kuna Bomu la Ajira hili pekee linapaswa kumnyima usingizi pili kuna manung'uniko ata ktk watumishi kwa kuvuruga maslahi yao kuanzia madara hadi ongezeko tatu wazazi watu wazima nao wanawafikiria vijana wao ambao wamesoma na wapo makwao Sita wapo watu wanaamini ktk Mungu wa kweli na wao wengi wapo ndani ya majeshi Msiniulize nini namaanisha....Kiufupi Rais ni muoga,dhaifu na anajivisha vazi la ukatili ambalo naamini limeanza kumnyima usingizi hasa ishu ya LISSU kwann uuwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnajitekenya halafu mnacheka wenyewe,chama kama act kijiandae kisaikolojia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…