Magufuli ni Rais muoga haijawahi tokea katika nchi hii

Hahahahahahahah.... ht ww hauko safe sana m..be careful

Siko safe najua,ila itabidi jasho liwatoke....

Let em get me when they get me!

Not easy though!

I ain't super nigga,I'm a skinny motherfucker,but its about who gets who first though!

Fvck CCM with their greedy asses!
 
Kwa nini Upinzani hawakuuzuia usipite Bungeni?

Kinachopitisha au kuzuia kutokuppita sio ubora wa hoja bali wingi. Wingi wanao ccm na wao hawajali ubora bali rais anataka nini.

Ni hivi, huo mswaada lengo lake ni kumlinda Magufuli dhidi ya siasa za ushindani hasa wakati wa uchaguzi. Inafahamika Magufuli hajawahi, hawezi na hatakaa aweze siasa za ushindani, hivyo njia bora ni kuhakikisha aidha anapita bila kupingwa na kama atashindana basi ashindane na mgombea dhaifu. Lakini Magufuli hayuko tayari kushindana na Lissu au Zitto kwani hao wote wanauwezo wa hoja kuliko yeye na wanamvuto wa kisiasa kuliko yeye. Ukweli huu Magufuli anaujua na hata wanaccm na wananchi wote wanafahamu. Namna pekee ni kutengeneza sheria ya kulinda huo udhaifu.
 
JPM kanyaga twende, nchi ilikuwa pabaya mno, hizo kelele ni ishara ya matokeo chanya ya uongozi wako. Hawa wanaolia ni 1. Vijana wa Malkia wa Tembo, 2. Vijana wa wazungu wa unga, 3. Watoto wa flow mita, 4. Wajukuu wa Tanzanite, 5. Vibaraka wa makinikia, 6,_mawakala wa fastjet, 7. Vijukuu vya safari za nje, 8. Vimada wa bandari, 9. Wakwe wa TRA, na vitukuu vya wapiga dili. Nyooosha baba bado sana, ziba mfuko wa jimbo, futa ruzuku kwa vyama na ondoa sitting allowance ya wabunge. Tujenge nchi , nidhamu na uwajibikaji
 
Hili sio swali.dikteta yeyote yule duniani lazima awe muoga na propagandists ( muongo)
 
Hujauliza kwanini CAG anaamdamwa mpaka anaitwa na yule mgogo ambae jimboni kwake kuna umasikini uliolaaniwa eti anaitwa kuhojiwa.
 
Asha you made my Day of 30th of January of 2019. May Allah keeping you online!
 
Binafsi sijawahi kuwa na time za kumfuatilia jiwe tangu anakua waziri hadi amekua rais kura yangu hakupata nlijua huyu Mzee roho mbaya na ana roho ya kimaskini,nawachukia watz wote waliompigia kura ila chuki zaidi na mabaya yote yaende kwa wale waliompigia kampeni kina mwigulu,nape na wapuuzi wafia chama wote wa CCM bila kumsahau Zee lenye roho mbaya Lubuva ,Inabidi hawa watu Mungu awachukue mapema na waondoke na CCM yao tuweke mawazo mapya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa muswada huu uliopitshwa na makabaila wa ccm...
Unaminya chama pnzani kwa kiasi kikibwa
Je n kwa jins gan??
Msajili wa vyama vya siasa anachuguliwa na raisi ambaye yey anatoka chama tawala na kwa style ya mkuu n mtu wa kutoa maagizo tu... If u fail to fulfill its means umeshindwa kaz aliyokupa...
Automatically one side watakuwa na hali mbaya zaid compare to the home side!!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sikiongozi kabisa ni sawa na Idd Amin Dada wananchi wanacheka sasa baada ya miaka mitano ijayo atakuwa ameruhusu kuulwa wapinzani wake wote ndani na nje ya serikali na vyama shetani muuaji mkubwa
 
Huu uzi umetusemea wengi mno wacha tushushe pumzi na turelax TRUST ME UELEKEO WA NCHI YETU HAULEWEKI KUNA TATIZO AMBALO WATU WANAOGOPA KULITAJA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo naukubwa wako haujui kama raisi anajiwekea ulinzi japo hauwezi kudumu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe nawe unadhihirisha uoga wako kwa kujificha nyuma ya keyboard.
Magonjwa kumbe upo humu. Tumekusubiri sana kuona maoni yako katika uzi wa taarifa ya BoT kwa umma kuhusu kushuka kwa thamani ya shilingi lakini umekula pini!!!!! Nilifikiri leo mzee slowslow amekupa likizo.
 
Kati ya mawaziri ambao sikuwahi kumpenda ni magufuli. Niliwahi waambia baadhi ya watu,kuwa ajaye hafai

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kwanza Jina lako sembe. Hapo Nimejiskia shida kupumua. Is the Sembe we know and sometimes we cook and eat. Ok utani pembeni. Umeandika manbo marefu lakini ya mtu anayetoa nyongo kwa mtu asiye na sahihi. Msikilize Bwana Simbachawene Kwa maskio ya kiakili na utagundua we ni kapuku huelewi lolote.
 
ipo siku itamcost yeye anaona ni kidume na wanaomzunguka na kula naye, Lakini walikuwep wababe ambao hawafikii hata 25% ya ubabe wao, nao walitoweka kwa aibu, fedheha na maumivu makali juu yao.
 
Mkapa, Kikwete na Mwinyi wanaogopa kukatwa mafao yao, pia ni wezi nao walidhulmum nchi hii, mali wanazomiliki si zinazotokana na stahiki zao ktk nafasi zao. wanaogopa kunyamganywa au kufilisiwa. Wanalinda Matumbo Yao.
 

Aiseee, wewe ulichelewa sana kugundua
Niseme wazi, hata mimi nilikuwa kama wewe huko mwanzo; lakini niligundua mapema sana kuhusu udhaifu wake mkubwa alipoanza tu kutaka kuingilia mihimili mingine.
Hatua ya kwanza kabisa iliyonistua ni kumteua yule binti kuwa mbunge na kutaka agombee uspika. Taa yangu ya kwanza ya tahadhari ilianzia hapo. Na haraka haraka akalizima bunge lisionekane. Yote haya yaliongeza hofu yangu juu yake, ingawaje hayakuondoa matumaini yangu yote kwa wakati huo.

Ilipokuja kwenye "Makinikia" na mizengwe yote iliyofanyika nikajua dhahiri hapa tuna tatizo kubwa, na hasa alipoangukia kwenye kuwaweka ndani (mahabusi) kila aliyetofautiana na kauli zake. Akina Lissu wakawa na makazi mawili, lockup na nyumbani.

Lakini hadi wakati huo, matumaini yangu kwake yalikuwa bado hayajafifia sana kwani yalikuwepo matendo mazuri aliyoyafanya; kama kupambana na ufisadi, kurekebisha tabia za wafanya kazi, n.k.
Na hata hilo la "Makinikia" lilkuwa tendo zuri lililofanywa vibaya.

Ilipofikia hatua ya bei ya hayo mazuri kuwa ndio kiasi sahihi cha kuuza utu, haki za uTanzania wangu; mzigo nikautua!

Niseme wazi, isingekuwa haya ya ukandamizaji, uonevu, kunyima haki na matakataka nisiyoweza kuyaandika hapa, Magufuli angekuwa kiongozi mzuri sana na nchi yetu ingeweza kupiga hatua za maendeleo haraka sana.

Hapakuwa na sababu yoyote ya kuyaingiza haya mabaya kwenye utawala wake, kwani mazuri yalitosha kabisa kumjengea heshima kwa sisi raia wengi. Unapominya haki za watu, hata ufanye mazuri kiasi gani wapo watakaokupinga tu upende, usipende..
 
Huyu si muoga,he is completely incompetent,hiyo ndo sababu kubwa,na incomplete yake inamfanya ashindwe kutofautisha kati ya ccm yenye wanachama chini ya milioni 12 na Tanzania yenye watu zaidi ya milioni 50.Nadhani Huyu jamaa ni tatizo kubwa kwa nchi yetu kuliko ccm,ujinga,maradhi na umasikini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…