Magufuli 'oil chafu' ukiigusa unachafuka mwenyewe

Kura zina maana gani kama washindani wako wanaeunguliwa na unapita bila kupingwa??
Huo ndio ukweli wenyewe. Kuna mizezeta fulani humu hailioni hilo, inarusha mitusi kuwatukana watu bila kujua kuwa hao watu ndio wapiga kura wakati wa uchaguzi!
 
Weka na sie tusione hizo comments., nasisitiza hata wapumbavu Huwa Wana mpumbavu wao wanayemuona ni WA maana..

By the way only fools ndio walikuwa wafuasi wake gaining nothing but hakuna mtu mmja mwenye akili alikuwa mfuasi wa Mwendazake hayupo.
 
Kwani lisu ndiyo chadema ujui chadema ni taasisi makini hapa Tanzania kichwa kimoja Cha mwanachadema ni sawa na ccm 10,000 usingesema haya ya lisu
 
Ni kwamba hata wangekuwa wapumbavu laki moja bado siyo kitu kwa mwerevu mmoja
 
Watapambana lakini hawatashinda.

Imagine mfu anapambana na walio hai na bado anawashinda, je angekuwa hai
 
hilo linajulikana.
 
Oil chafu? Hapa humsifii, unamdhalilisha kijanja.
 
Kuwakumbuka wenye haki huwa na baraka; Bali jina la mtu mwovu litaoza. Mithali 10:6.
Jina la JPM, litaendelea ku trend vizazi vingi vijavyo. Ninyi badala ya kufanya kazi, endeleeni kulalamika tu ndicho mtakacho vuna. Watanzania sio wajinga.
Jina la muovu litasemwa milele na milele, Jiwe alikuwa laana kwa Taifa
 
Kusema kwamba hao watu 2000 hawamo hata 100 tuone walivomshukia lissu
Ukiwa kijani lazima uwe alau nusu chizi hivi
 
anguko gani unalo litaka wewe zaidi ya lile la kukosa kuongoza dola
Tazama huyu msukule!Ingekuwa hivyo unavyowaza basi dunia isingekuwa na vyama.Acha kuwaza mwisho ulipoishia urefu wa pua yako!
 
we ni poyoyo tu na uwongo wako huo. Tumesoma hizo comments ni kinyume na uliyoyaleta humu. Km unampenda sana kamfute alipo, yule ni katili muuaji hakuna wa kumtetea we ni poyoyo tu.
 
Nikitaka kuwaza ujuzi na maarifa kwa jamii Magufuli yumo kwenye 5 bora ya taifa, na tundu lisu hayumo hata kwenye 300 ya role model wangu.
Mkuu hasi na chanya hazichangamani, sasa mtu kama wewe Mh. Lissu anawezaje kuwa role model wako? Wewe ni Sukuma gang so mtu kama Ndungai ndiyo anakufaa
 

Comment hii ya 15 uliiruka?

'Hangover' ya propaganda za utawala wa Magufuli zitadumu kwa baadhi ya watu milele
 
Yaani utende uovu ukiamini kuwa ukifa watu watasahau haraka tu, Jiwe itachukuwa milele watu kusahau maovu yake
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Atakumbukwa na watu dizain yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…