Dogo, jikite kwenye mada basiMagufuli ni moja ya viongozi wachache saana ambao utawapata Afrika.
Uongozi wake sio wa nadharia.... unaongea matatizo halisi yanatukabili na kadri ya uwezo wako unayafanyia kazi.
Alijizingua alipopiga ban wapinzani kufanya siasa akawa anaona upinzani umekufa, kuanzia mapokezi ya Lissu na wagombea waliojitokeza kugombea kupitia Cdm na kisha spana walizopigwa wale waliojifanya kumuunga mkono kutoka upinzani vimemstua sana.Kweli hata Mimi nimemsikia Ni Kama haamini hivi,Tena kaomba kampeni ziwe kitanda kwa kitanda.hii Ni kauli ya kuonA mziki uliopo Ni mnene.
hizi ni dalili za mngangania madaraka kutumia kigezo cha bila yeye hatuwezi ili kukaa madarakani mda mrefu,nchi ni watu sio mtu.Aliondoka Nyerere na nchi inasonga bila kutetereka sembuse yeye,kila kizazi na zama zake.Mpinzani gani mwenye njaa hadi auze screpa hizi ni hoja za mda mwepsei kihoja.Hata kama ni kusema uongo basi na uongo wenyewe uwe na ushawishi kidogo.
Kauli kama hizi zinaonyesha kwamba Jpm hana hoja, lakini pia amewadharau wapiga kura.
Kwanini asijikite kuwaeleza atawafanyia nini waTz ktk miaka 5 inayokuja, na badala yake anashambulia wapinzani kwa hoja za uongo?
Tangu mfumo wa vyama vingi uanzishwe ni mpinzani gani ameharibu miundombinu ya nchi hii?
Kuhusu kulinda rasilimali zetu, kila mmoja anajua mikataba yooote mibovu ya kifisadi ilisainiwa baina ya serikali za ccm na makampuni ya kibeberu.
Video hii hapa msikilize tangu dakika ya 4:00.
Halafu nilimsikia msajili wa vyama vya siasa akiwaeleza wagombea kueleza wao watafanya nini endapo watachaguliwa na si kuwaponda wenzao lakini huyu mchattle anakwenda kinyume mapema mapema sana
Kuna mnyanyembe mmoja alikua amevaa tshirt ya Chadema.aling'oa alama ya barabarani.tulimgongesha kichapo cha kimataifa kisha tukampeleka ngomeni kwa pilato.
watu wake aliowanunua kwa gharama ya kodi zetu waunga juhudi na kina aongezewe mda kina nkamia na kessy wamepigwa chini plus aliona bifu nao kina nape,makamba,ndungulile wamepata kura za kishindo hii imemvuruga sana yale matumaini yoote ya kuongeza mda,plus ujio wa TL plus kipenzi chake kuchezea spana ni lzm awe mpole.Alijizingua alipopiga ban wapinzani kufanya siasa akawa anaona upinzani umekufa, kuanzia mapokezi ya Lissu na wagombea waliojitokeza kugombea kupitia Cdm na kisha spana walizopigwa wale waliojifanya kumuunga mkono kutoka upinzani vimemstua sana.
Ukimcheki anavyoongea unamuona kawa mdogo tule tuubabe twake kaona watu wanamuona pimbi tu walikuwa wanamsubiri kwenye 18 zao.
baada ya kuchukua formu huyo ni mgombea urais umekomaBado ni Rais...
coz hakuna 10%Mbona yeye hakuendeleza walichoanzisha wenzake? Eg bandari ya bagamoyo?
Ni sahihi kabisa nadhani hayo mambo yamemstua sana aliamini chama kakishika akitoa kauli inapokelewa hadi na mwanachama wa mwisho, na ndio maana aliamuru kura zihesabiwe hadharani akiamini misukule yake itapita.watu wake aliowanunua kwa gharama ya kodi zetu waunga juhudi na kina aongezewe mda kina nkamia na kessy wamepigwa chini plus aliona bifu nao kina nape,makamba,ndungulile wamepata kura za kishindo hii imemvuruga sana yale matumaini yoote ya kuongeza mda,plus ujio wa TL plus kipenzi chake kuchezea spana ni lzm awe mpole.
Nadharia ya watz ni wapole itawacost
Magufuli ana hofu ya kushindwa uchaguzi. Pole bwana Pombe.Kawa na hofu sana mzee huyu
Kama umechunguza anapenda sana kauli zinahusiana na mambo ya Ngn.Jana tuu kauliza wananchi eti wanataka kupanuliwa wapi. japo alikuwa sahihi ila aliuliza kama kumaanisha fulani
kusomesha watu namba na kauli zake chafu chafu kwa walipa kodi baada ya kuvimbiwa na kodi zetu ndio anguko lake,Ni sahihi kabisa nadhani hayo mambo yamemstua sana aliamini chama kakishika akitoa kauli inapokelewa hadi na mwanachama wa mwisho, na ndio maana aliamuru kura zihesabiwe hadharani akiamini misukule yake itapita.
Mbaya zaidi miaka mitano yote kazunguka anaongea vimiradi uchwara vyake na ndege wakati wananchi wanashindia mlo mmoja, sasa hivi hana hata cha kuongea nadhani safari hii atacheza hadi rede jukwaani, ngoja kampeni zianze ndio atajuta.
Huyu hii miaka mitano kavumiliwa sana aisee, yaani hatakiwi kuongezwa hata mwezi... asepe akachunge huko kwao, hana hadhi ya urais kabisa.kusomesha watu namba na kauli zake chafu chafu kwa walipa kodi baada ya kuvimbiwa na kodi zetu ndio anguko lake,
na kama atafanikiwa kupenya na kurudi awamu ya pili ndo atajua ccm ina wenyewe,atapingwa hadharani live atokuwa na nguvu ya kuwaburuza wanachama agin,kwa maana wakijua anamaliza mda wake.Uzuri bunge lijalo litakuwa strong sana lenye kusheheni upinzani underground imara na ccm vichwa na sio waimba mapambio ,waunga juhudi na kina aongozewe mda ili tumbo lishibe kina kusifia sifia
Kama mkilewa pombe agin itakuwa ngumu maradufu zaidi ya hii fully visasi,wasiojulikana,kubambikwa kw akwenda mbele,uchumi kufa kabisa.
Ilitakiwa abakie kwenye kuhesabu kilometa za barabara au vifaranga vya samaki,huku kachemka hatari kavuruga kila sehemu hovyo hovyo,nashangaa mtu mwenye akili timamu bado anatamani kusomeshwa namba again.Huyu hii miaka mitano kavumiliwa sana aisee, yaani hatakiwi kuongezwa hata mwezi... asepe akachunge huko kwao, hana hadhi ya urais kabisa.
Ilitakiwa abakie kwenye kuhesabu kilometa za barabara au vifaranga vya samaki,huku kachemka hatari kavuruga kila sehemu hovyo hovyo,nashangaa mtu mwenye akili timamu bado anatamani kusomeshwa namba again.