Magumu yetu Viongozi wa Upinzani mkwepe lawama vipi?

Magumu yetu Viongozi wa Upinzani mkwepe lawama vipi?

Mada umesoma ndugu mjumbe? Kwani wewe ulikuwa wapi? Tulipokuwa sisi yameelezwa kinaga ubaga:

"Viongozi wanaohofia kufa au jela tafadhali wapishe madarakani. Damu mpya zipo. Hatuhitaji vyama vipya. Tubanane na hawa hawa. Hawataki kutoka madarakani, shime wanathaura tuanze kwa kuwafurusha wao kwanza."

Ndiyo maana tunataka sasa watupishe madarakani ili wawe tulipokuwa wakati tutakapokuwa sisi tunakamatwa na kuuwawa.

Ninakazia: Uongozi siyo marupurupu yake pekee.
ndugu n'jumbe acha unafiki hakuna mtanzania yukotayari kupigania haki zake ndo mana wapinzani wamepitia magumu huku wewe na wenzako mki dhihaki na kukejeli... Andiko lako kifupi halina hoja zaidi ya unafki wakutaka kuvuruga upinzani kwakumtaka mtu flani asiwepo kwenye nafasi ya uchair kwakua ndo kiboko yenu
 
ndugu n'jumbe acha unafiki hakuna mtanzania yukotayari kupigania haki zake ndo mana wapinzani wamepitia magumu huku wewe na wenzako mki dhihaki na kukejeli... Andiko lako kifupi halina hoja zaidi ya unafki wakutaka kuvuruga upinzani kwakumtaka mtu flani asiwepo kwenye nafasi ya uchair kwakua ndo kiboko yenu

Ndiyo kwanza kuwasili kutoka anga za juu mkuu? Karibu sasa uko sayari iitwayo dunia.

Waliokuwa JKNIA na hata Kiluvya kinyume cha matakwa ya Sirro mwendazake na magenge yao hatari ya wasiojulikana ni watanzania hawa unao jaribu kuwakejeli wewe leo. Kwani wewe ndugu ulikuwa wapi siku hizo?

Ukweli mchungu ndugu, hayupo atakayemwagika mtaani bila uwepo wa viongozi na/au mikakati yenye mashiko, yenye uwazi, yakiwamo hatma ya wahanga ambao ni wazi kuwa watakuwapo.

Habari kamili ni hii:

IMG_20220823_134516_288.jpg


Haya ya nafasi ya u chair unayasoma wapi ewe chawa uchwara?
 
Ndiyo kwanza kuwasili kutoka anga za juu mkuu? Karibu sasa uko sayari iitwayo dunia.

Waliokuwa JKNIA na hata Kiluvya kinyume cha matakwa ya Sirro mwendazake na magenge yao hatari ya wasiojulikana ni watanzania hawa unao jaribu kuwakejeli wewe leo. Kwani wewe ndugu ulikuwa wapi siku hizo?

Ukweli mchungu ndugu, hayupo atakayemwagika mtaani bila uwepo wa viongozi na/au mikakati yenye mashiko, yenye uwazi, yakiwamo hatma ya wahanga ambao ni wazi kuwa watakuwapo.

Habari kamili ni hii:

View attachment 2333902

Haya ya nafasi ya u chair unayasoma wapi ewe chawa uchwara?
Sikiliza wewe usilete notes za form ii b kwenye uhalisia... mfano swala la katiba mpya kwa ground ipi ya kufanya uhamasishaji wakati ukivaa tuu tshirt yenye neno katiba mpya kirungu??
nakuambiaje we bisha ila ukweli hoja zako hazina mashiko na uhalisia
 
Yawezekana kiswahili ni kigumu au madhara ya ule uchawa wetu sasa. Unafiki au kujifanya waumini kindaki ndaki wa watu au wa vile vyama vyetu, tena kupindukia [emoji23][emoji23].

"Magumu yetu" hiki ni kiswahili - si "yangu" au ya "yule" au "wale" peke yao.

"Yetu" - hapa ni wote sisi tusiokuwa walamba asali.

Au wewe ni mlamba asali ndugu?

Habari ndiyo hiyo.
Ni nani wa kulaumiwa kati ya ccm waliopo bungeni ambao wanaweza kuishauri serikali ila hawafanyi hivyo bali wanasifia tu kila kitu? au hao wapinzani mnaowalalamikia nyie ambao hata mikutano ya hadhara wamekatazwa kuifanya?
 
Ni nani wa kulaumiwa kati ya ccm waliopo bungeni ambao wanaweza kuishauri serikali ila hawafanyi hivyo bali wanasifia tu kila kitu? au hao wapinzani mnaowalalamikia nyie ambao hata mikutano ya hadhara wamekatazwa kuifanya?

Ulipenda mlamba asali alaumiwe ili akuonee huruma aachane na kulamba asali?

Tunataka haki? Hatutaki tozo? Tukutane Tahrir.

Bila kulifahamu hilo mbona utasubiri sana dodo chini ya mnazi?
 
Haya uliosoma vidudu kawe wewe mwanaharakati tuipate hio katika... Sio kutuletea u keyboard worrier hapa

Hata uandishi wako haukugutushi tu kuwa wewe siyo size yangu? Wewe si ukasubirie uji kwa mama tu? Ungali unahitaji kukua.
 
Back
Top Bottom