Ndiyo kwanza kuwasili kutoka anga za juu mkuu? Karibu sasa uko sayari iitwayo dunia.
Waliokuwa JKNIA na hata Kiluvya kinyume cha matakwa ya Sirro mwendazake na magenge yao hatari ya wasiojulikana ni watanzania hawa unao jaribu kuwakejeli wewe leo. Kwani wewe ndugu ulikuwa wapi siku hizo?
Ukweli mchungu ndugu, hayupo atakayemwagika mtaani bila uwepo wa viongozi na/au mikakati yenye mashiko, yenye uwazi, yakiwamo hatma ya wahanga ambao ni wazi kuwa watakuwapo.
Habari kamili ni hii:
View attachment 2333902
Haya ya nafasi ya u chair unayasoma wapi ewe chawa uchwara?