Mahafali ya 53 UDSM: Wanawake vipanga waongoza kwa ufaulu na kuwabwaga wanaume

= mahafali.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Nakumbuka mwaka 2009 wakati naenda kusoma udsm nilifurahi sana nikajua maisha nimeshatoboa tayari... Leo 2024 maisha yananishona mbaya, kila iitwayo Leo maisha yananifua mbaya...
Pole sana ,digrii isipokupa maisha kuna hata bodaboda ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Sasa kama wamekubali kuvua vyupi unadhani kuna upinzani hapo. Degree zao nyingi ni za kuvuliwa vyupi.
 
Wanapewa majibu au wakufunzi ni mabwana zao
 
Kuwa na GPA kubwa haikufanyi kuwa mtaalam kwenye mapenzi lkn pia kwenye ndoa .

Mkuuu so ni vitu viwili tofauti

Mkuuu

Kupata ufaulu mzuri doesn't means kwamba your intelligent brother yamkini kuna kukariri pia ,na vitu vingi mkuu
Lakin it means you are brilliant
 
Fuatilia zile programs dume kama Actuarial sciences na Chemical Engineering uone kama kuna malaya wameshikilia mwenge.

Vikozi vya kike kama Sociology, Sijui uhasibu na Mass Media huko ndio wavua chupi wamejaa
Ungekuwa unasoma usingeongea hizo pumba,hao wanawake hapo wameongoza kwenye hizo hizo unazoita program dume.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ