Mahakama Kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi na Rushwa yatupilia mbali mapingamizi 2 kesi ndogo ya Mbowe na Wenzake. Jaji Siyani ajitoa kuendelea na kesi

Mahakama Kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi na Rushwa yatupilia mbali mapingamizi 2 kesi ndogo ya Mbowe na Wenzake. Jaji Siyani ajitoa kuendelea na kesi

kama mnakumbuka yule Jecha Salim Jecha atakumbukwa kwa kufuta matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar mwaka 2015 kwa sababu mbalimbali.

kilicho ni mkumbuke na kuona leo kwa jaji kiongozi swala la kesi inayoendelea
IMG_1648.jpg
 
Sheria ni msumeno.

Chadema waacheni Mahakama wachape kazi.

Kama tumeridhika na hukumu ya Ole sabaya kwanini tuwe na mashaka na pingamizi la akina Mbowe?

Mungu ni mwema wakati wote!
 
Hii nchi ya haki sana! Mbowe aliupiga vita uDC wa Sabaya, sasa anaenda kumuongoza kama nyapara huku akijua mipango yake ya kumuua. Mamlaka yanatoka kwa Mungu... 🤣🤣
 
Makosa ya kigaidi ni the same na uhaini makosa kama haya hukumu yake ni kunyongwa mama asisite kutia wino , tupo pamoja naye kabisa
 
jaji: Kwa Upande wangu naona kuwa Ucheleweshaji katika Shauri hili palikuwa na Sababu, Matakwa ya Sheria yalikuwa yamezingatiwa.

Muda wa Masaa Manne hautojumuishwa kwa sababu za Usafirishaji.

Kwa hiyo walikamatwa tarehe 5 wakahojiwa tarehe 7, na jaji anaona masaa 48 kutoa 4 unabaki na masaa 44 ambayo ndiyo muda wa kumsafirisha mtu kutoka Moshi hadi dsm? Tena kwa gari la serikali siyo public transport.
Kwa kuwa ni maoni yake, tuyaheshimu, kwenye rufaa anaweza jaji mwingine akawa na maoni tofauti

..uamuzi mbaya zaidi ni pale Jaji aliposema kuwa maelezo ya Adamoo yalitolewa kwa hiyari.
 
Tenda haki. Amezungumzia pia muda uliotumika kumtafuta mtuhumiwa mwingine. Kutumia 'maneno maoni yangu' ni lugha za kawaida za kisheria na kimahakama. Hukumu ni tafsiri ya sheria na tafsiri inatolewa na Jaji siyo sheria yenyewe. Sheria inatungwa na Bunge, tafsiri yake inatolewa na mahakama kwa maana ya Jaji baada ya kupata maoni pia ya mawakili.

Ni hatari sana kuwekeza matumaini kwenye hukumu ambayonni maoni ya watu hasa palupo na mhimili uliojichimbia zaidi
 
Hivi maamuzi ya ile kesi ndogo ni lini?
Mkuu hujafuatilia maelezo yote ya jaji yakiwa na hukumu mwishoni?!
AMEYATUPILIA MBALI NA KUJITOA KUENDELEA NA SHAURI KUU yaani atafutwe judge mwingine
 
Back
Top Bottom