Nyakijooga
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 276
- 473
Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam imeamuru kuwa hakuna wagombea Ubunge,Udiwani na wenyeviti wa Serikali za mitaa, vijiji na vitongoji kupita bila kupingwa na kutangazwa kwenye uchaguzi.
Uamuzi huo wa Mahakama umetolewa leo Machi 29, 2023 ambapo imetamkwa kuwa vifungu vinavyotoa utaratibu huo ni batili na kuwa vinakwenda kinyume na Katiba.
Kesi hiyo namba 19/2021 ilifunguliwa na Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo, Joran Lwehabura Bashange.
Uamuzi huo wa Mahakama umetolewa leo Machi 29, 2023 ambapo imetamkwa kuwa vifungu vinavyotoa utaratibu huo ni batili na kuwa vinakwenda kinyume na Katiba.
Kesi hiyo namba 19/2021 ilifunguliwa na Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo, Joran Lwehabura Bashange.