muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,301
- 13,858
Mwisho wa ubaya ni aibu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora utawala wa shetani haupo tenaHii ndio taarifa mpya iliyotufikia muda huu kutoka Mahakamani .
Taarifa inaeleza kwamba Mahakama kuu imeona kwamba Fatuma Karume alihukumiwa bila kupewa nafasi ya kujitetea mbele ya Kamati ya maadili ya Mawakili , hivyo imetengua hukumu yake na kuitaka Kamati hiyo kumaliza jambo hilo kwa haki
Ikumbukwe kwamba Mlalamikaji kwenye hili Sakata la Wakili Msomi Fatuma Karume lililojaa chuki , Wivu na uzandiki alikuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali , Je unadhani bado anafaa kukalia ofisi hiyo ?
View attachment 1825533
Mwemdazake analiaa kila asbhNaona sikuhizi mahakama inanyoosha mikono kila kukicha, uonevu ulikuwa mkubwa sana.
Ila kuna huyu, Kigogo2014 na Maria Sarungi ni moto wa gesi unaochoma mioyo ya Mataga.
Majaliwa naona anapiga kimyakimya tu. Hajulikani anacheza muziki upi kati ya wa mama au mwendazake...Waswahili walisema pia "Funga bakuli, mwanaharamu apite".
Mama alijua maana ya methali hii, ndiyo maana muda wote akawa kafunga bakuli, sasa mwanaharamu kapita, tumejua mbivu mbichi kuhusu amesimamia wapi.
Kwa ajili ya kulinda heshima ya Mahakama ni bora Rais SSH ambadilishie Jaji Feleshi majukumu atuletee Jaji atakayefanya kazi kwa haki bila uwoga.
Wazee wa legacy sioni kabisa comments zao 🤣🤣Hii ndio taarifa mpya iliyotufikia muda huu kutoka Mahakamani .
Taarifa inaeleza kwamba Mahakama kuu imeona kwamba Fatuma Karume alihukumiwa bila kupewa nafasi ya kujitetea mbele ya Kamati ya maadili ya Mawakili , hivyo imetengua hukumu yake na kuitaka Kamati hiyo kumaliza jambo hilo kwa haki
Ikumbukwe kwamba Mlalamikaji kwenye hili Sakata la Wakili Msomi Fatuma Karume lililojaa chuki , Wivu na uzandiki alikuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali , Je unadhani bado anafaa kukalia ofisi hiyo ?
View attachment 1825533
Kwani mnavyolazimisha kuwa kafa kwa corona ndio ili iweje? corona imemuondoa Maalim seif wa Zanzibar hilo halina utata ila ajabu mnalazimisha mtu mwengine kifo chake kiwe cha corona.Bila Corona kumfyekelea mbali dhalimu tungekuwa na Taifa la kipumbavu sana mbeleni huko.
Ili kuendana na upepo huu mpya ni dhahiri sasa Jaji Mkuu na Mwanasheria Mkuu waondolewe , tusimung'unye maneno , hawa walishiriki kila uchafu .
Muhimu kafaKwani mnavyolazimisha kuwa kafa kwa corona ndio ili iweje? corona imemuondoa Maalim seif wa Zanzibar hilo halina utata ila ajabu mnalazimisha mtu mwengine kifo chake kiwe cha corona.
Huyo mzee ni kama amelaaniwa sijui!Na aliyekuwa Waziri wa Sheria wakati wa hukumu husika, nadhani ni yule aliyeokotwa jalalani Kalamagamba Kabugi naye ni wa kufukuza tu.
Uonevu umepungua kidogoNa mambo haya yanatokea kwa kasi sana. Yaelekea mama alikuwa amechefukwa lakini hakuwa na la kufanya. Mungu kamfanyia wepesi
Acheni Mungu aitwe MunguMungu ana sababu zake kutuondolea lile balaa.
Tatizo huyo mungu huwa hasikii vilio dhidi ya ccm kuendelea kukaa madarakani kimabavu miaka yote hii.Corona imeturejeshea Uhuru ulioporwa na dikteta mwenda zake. Mungu hutumia njia yeyote kuwaokoa watu wake pindi vilio vya watu vinapo mfikia.
Basi tufanye wewe ndiye utakufa kwa Corona,haya kenua sasa.Kwani mnavyolazimisha kuwa kafa kwa corona ndio ili iweje? corona imemuondoa Maalim seif wa Zanzibar hilo halina utata ila ajabu mnalazimisha mtu mwengine kifo chake kiwe cha corona.
Yeye alikuwa anatumikishwa hakuwa yeye na kila mtu alijua mwisho wa siku haya yatatokeaIkumbukwe kwamba Mlalamikaji kwenye hili Sakata la Wakili Msomi Fatuma Karume lililojaa chuki , Wivu na uzandiki alikuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali , Je unadhani bado anafaa kukalia ofisi hiyo ?