Mahakama Kuu yatengua hukumu ya kuvuliwa Uwakili dhidi ya Fatuma Karume

Mahakama Kuu yatengua hukumu ya kuvuliwa Uwakili dhidi ya Fatuma Karume

Hii ndio taarifa mpya iliyotufikia muda huu kutoka Mahakamani .

Taarifa inaeleza kwamba Mahakama kuu imeona kwamba Fatuma Karume alihukumiwa bila kupewa nafasi ya kujitetea mbele ya Kamati ya maadili ya Mawakili , hivyo imetengua hukumu yake na kuitaka Kamati hiyo kumaliza jambo hilo kwa haki

Ikumbukwe kwamba Mlalamikaji kwenye hili Sakata la Wakili Msomi Fatuma Karume lililojaa chuki , Wivu na uzandiki alikuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali , Je unadhani bado anafaa kukalia ofisi hiyo ?

View attachment 1825533
Kiukweli kabisa sasa imethibitika kabisa kuwa mahakama zetu hutoa hukumu kwa maelekezo ya serikali.

Mahakama zetu hazina uhuru wo wote hivyo ni vema mahakama zikapigania haki yake kama ambavyo katiba inataka!
 
Majaliwa naona anapiga kimyakimya tu. Hajulikani anacheza muziki upi kati ya wa mama au mwendazake...

Lakini hivi sasa namwona kaanza kuvaa barakoa...

Mambo yanaenda kwa kasi sana....
Majaliwa alijishusha sana aliposema rais yupo mzima anachapa kazi.

Ashukuru tu CCM walipitisha azimio kwamba tusiwe na mawaziri wakuu wastaafu wengi kwani ni mzigo kwa taifa.
 
Tatizo mchakato wa kumuondoa Jaji ofisini ni mrefu sana, ila maamuzi ya leo tayari yamepeleka ujumbe muhimu kuwa majaji wategemee kutoa maamuzi kwa kufuata sheria na katiba siyo shindikizo la kisiasa ili ubaki kuonekana umetenda haki kwa mujibu wa sheria na siyo kuburuzwa na mtu anayakaa ktk ofisi ya juu akiwa "mpangaji wa muda".
Hata kama mchakato ni mrefu bora ifanyike ili kupeleka message kwa Majaji wakiokengeuka kama FELESHI
 
Waswahili walisema pia "Funga bakuli, mwanaharamu apite".

Mama alijua maana ya methali hii, ndiyo maana muda wote akawa kafunga bakuli, sasa mwanaharamu kapita, tumejua mbivu mbichi kuhusu amesimamia wapi.
Watanzania mimi nashindwa kuwaelewa si mnasema Mama mbaya hafai?
 
NATAMANI TUMPATE HATA MTU MMOJA ALIYEKUWEPO WAKATI WA SAKATA HILO!!!!

Huku FATMA akiwakilishwa na Wakili JEBRA

NB: hivi ukiwa na wakili ile dhana ya kisheria ya RIGHT TO BE HEARD inakuwa imevunjwa?? WAJUZI WA SHERIA WATATUJUZA
 
Hata sijui anasubiri Nini,lakini tukumbuke Jambo Hilo lilijaa Giza Nene na hatimaye Nuru imerejea na Nuru mkumbuke huja na mengi.
Hii ndio taarifa mpya iliyotufikia muda huu kutoka Mahakamani .

Taarifa inaeleza kwamba Mahakama kuu imeona kwamba Fatuma Karume alihukumiwa bila kupewa nafasi ya kujitetea mbele ya Kamati ya maadili ya Mawakili , hivyo imetengua hukumu yake na kuitaka Kamati hiyo kumaliza jambo hilo kwa haki

Ikumbukwe kwamba Mlalamikaji kwenye hili Sakata la Wakili Msomi Fatuma Karume lililojaa chuki , Wivu na uzandiki alikuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali , Je unadhani bado anafaa kukalia ofisi hiyo ?

View attachment 1825533
[/QUOTE]
 
Hii ndio taarifa mpya iliyotufikia muda huu kutoka Mahakamani .

Taarifa inaeleza kwamba Mahakama kuu imeona kwamba Fatuma Karume alihukumiwa bila kupewa nafasi ya kujitetea mbele ya Kamati ya maadili ya Mawakili , hivyo imetengua hukumu yake na kuitaka Kamati hiyo kumaliza jambo hilo kwa haki

Ikumbukwe kwamba Mlalamikaji kwenye hili Sakata la Wakili Msomi Fatuma Karume lililojaa chuki , Wivu na uzandiki alikuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali , Je unadhani bado anafaa kukalia ofisi hiyo? Hafai na aondoke upesi.
 
Back
Top Bottom