SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Sasa unapiga mayowe ya nini? Tuliza mshonoKifo ni kifo tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa unapiga mayowe ya nini? Tuliza mshonoKifo ni kifo tu.
Taahira kama wewe ni wa kupuuzwa tu.mbona bado ni la kipumbavu,maana bado kuna vibungo kama wewe.
hasara tupu.
Huwez kumaondoa Jaji Mkuu Kama unamwondoa DCIli kuendana na upepo huu mpya ni dhahiri sasa Jaji Mkuu na Mwanasheria Mkuu waondolewe , tusimung'unye maneno , hawa walishiriki kila uchafu .
hakika hakuwa mtanzaniaMagufuli aliiharibu sana hii nchi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Magazeti yalikosa maana kabisa, ona hapo habari zote ni za kusifu na kuabudu.
Bunge lilifunga rasmi uwezo wa mtu yoyote kufungua kesi ya kikatiba mahakamani kwa marekebisho kwenye the Basic Rights and Duties Enforcement Act kuzuia mtu kufungua shauri bila kuwa na kiapo cha yeye kuathirika personally na kifungu husika anachodai kimevunjwa.Sasa hivi Mihimili mingine imeanza kujiinua tena kutokea mavumbini. Ni muda sahihi sasa kurudi Mahakamani kufungua shauri la kupinga Halmashauri chini ya uongozi wa DEDs kusimamia chaguzi zote
Sisi Nchi tajiri sana hatushindwi kuweka key staff wa NEC Nchi nzima.
Naona court supremacy imerejea kwa kasi ya 6G+😃😃Hii ndio taarifa mpya iliyotufikia muda huu kutoka Mahakamani .
Taarifa inaeleza kwamba Mahakama kuu imeona kwamba Fatuma Karume alihukumiwa bila kupewa nafasi ya kujitetea mbele ya Kamati ya maadili ya Mawakili , hivyo imetengua hukumu yake na kuitaka Kamati hiyo kumaliza jambo hilo kwa haki
Ikumbukwe kwamba Mlalamikaji kwenye hili Sakata la Wakili Msomi Fatuma Karume lililojaa chuki , Wivu na uzandiki alikuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali , Je unadhani bado anafaa kukalia ofisi hiyo ?
View attachment 1825533
HAYATI NA GENGE LAKE WALIKUWA NI MASHETANI KABISA.
Jebra kambole nayeye alikua amewekwa kitimoto walikua wanamfutia leseni, na angefuata kibatala jiwe alikua wa ajabu sanaBila Corona kumfyekelea mbali dhalimu tungekuwa na Taifa la kipumbavu sana mbeleni huko.
kama ni wakike si tumwache tuu ayabinueNa utasikia mpuuzi mmoja akidemka huku kabinua makalio eti Hayati alikuwa mcha Mungu mtu wa haki
Walikosea kumvua uwakili. Wangemwacha tu.
Umasikini mbaya kwa kweli,nampenda shangazi nimuoe tu yani.Hii ndio taarifa mpya iliyotufikia muda huu kutoka Mahakamani .
Taarifa inaeleza kwamba Mahakama kuu imeona kwamba Fatuma Karume alihukumiwa bila kupewa nafasi ya kujitetea mbele ya Kamati ya maadili ya Mawakili , hivyo imetengua hukumu yake na kuitaka Kamati hiyo kumaliza jambo hilo kwa haki
Ikumbukwe kwamba Mlalamikaji kwenye hili Sakata la Wakili Msomi Fatuma Karume lililojaa chuki , Wivu na uzandiki alikuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali , Je unadhani bado anafaa kukalia ofisi hiyo ?
View attachment 1825533
Usiwe mjinga na mpumbavu tunajadili katiba ya nchi na siyo katiba za vyama! Katiba yenyewe ya CCM mgogoro, sasa mmebambikiziwa mwenyekiti na wote mmeufyata!katiba ya ufipa saccoss mnaifuata?
Hiyo imewashinda ya nchi mtaweza?
umeshindwa kumpuuza marehem mwezi wa nne sasa kipi unaweza!!!Taahira kama wewe ni wa kupuuzwa tu.
tukisema mnashida vichwani mnajaa upepo.Baba zetu wamekufa kwa mapenzi ya Mungu hawakuwa wabishi kufuata masharti na hawakuwa na kiburi na jeuri kama mwendazake.
Alimfukuzaga kazi welle malecela akajua kammaliza, kusikia kachaguliwa UN alikasirika sana, aliamin yeye ndo mgawa rizkiKuna wakati huwa natafakari, sipati jibu kuhusu marehemu. Najiuliza:
1) Alikuwa ni mtu ambaye kwa asili yake alikuwa ni mtu tu wa roho mbaya?
2) Alikuwa ni mtu wa kawaida lakini baadaye shetani akaingia ndani yake, na hivyo alikuwa ni shetani katika umbile la mwanadamu?
3) Au alikuwa ni mtu wa kawaida, lakini alikuwa na tatizo la afya ya akili kiasi cha muda mwingine kuwa wa kawaida, na muda mwingine akili kukengeuka?
Maana kuna uovu mwingine aliowafanyia watu, unazidi hata ule wa watu katili.
Kwa kweli marehemu alikuwa katili na roho ya ajabu:
Kufilisi watu
Kuteka watu
Kuua watu
Kubambikia watu kesi
Kupora pesa za watu
Yaani alitaka usipomwabudu, basi ukose na fursa nyingine zote za maisha ya hapa Duniani.