Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
"Kwa kweri msema kweri ni mpenzi wa Mungu, hiri narisema kutoka moyoni, kwa kweri mniombee"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walikosea kumvua uwakili. Wangemwacha tu.
Kiukweli kabisa sasa imethibitika kabisa kuwa mahakama zetu hutoa hukumu kwa maelekezo ya serikali.
Mahakama zetu hazina uhuru wo wote hivyo ni vema mahakama zikapigania haki yake kama ambavyo katiba inataka!
Leo nilikuwa nasikiliza BBC World Service, walikuwa wanaongelea kuhusu protesters wa Thailand, Hong Kong na Myanmar wanaotaka mabadiliko ya kikatiba.Unajua katiba ni nini na ina kazi gani wewe? Kweli akili ni nywele....
iyo katiba itakusaidia nini kwa sasa
nchi inahitaji mambo mengi zaidi ya katiba mpya
Yule ni IDD AMIN II kutoka CHATO.Jebra kambole nayeye alikua amewekwa kitimoto walikua wanamfutia leseni, na angefuata kibatala jiwe alikua wa ajabu sana
Taahira wewe usiyekuwa na marindaumeshindwa kumpuuza marehem mwezi wa nne sasa kipi unaweza!!!
masikini wa akili wewe.
na ndio kitu pekee cha thamani ulicho nacho mwilini kwa sasa,malinda.Taahira wewe usiyekuwa na marinda
Hii ndio taarifa mpya iliyotufikia muda huu kutoka Mahakamani .
Taarifa inaeleza kwamba Mahakama kuu imeona kwamba Fatuma Karume alihukumiwa bila kupewa nafasi ya kujitetea mbele ya Kamati ya maadili ya Mawakili , hivyo imetengua hukumu yake na kuitaka Kamati hiyo kumaliza jambo hilo kwa haki
Ikumbukwe kwamba Mlalamikaji kwenye hili Sakata la Wakili Msomi Fatuma Karume lililojaa chuki , Wivu na uzandiki alikuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali , Je unadhani bado anafaa kukalia ofisi hiyo ?
View attachment 1825533
Ndio kwanza ujuwe leo hii ipo tangu awamu ya kwanza watu huekwa ndani au kuachiwa huru kwa matakwa ya raisIkiwa kama kiongozi anaweza kuamua nani ahukumiwe na nani aachwe basi bila shaka hatutanyamaza , ni mpaka itengenezwe Katiba mpya itakayoonda Rais kuwa mungu
Kwani wewe unajua kafa kwa nini?Hilo la kufa kwake kuwa la umuhimu au sio umuhimu ni mtazamo wa mtu ila hili la kulazimisha kwamba kafa na corona ndio inaona lina mushkeli.
Ilikuwa ni lazima aende ili tuishi kwa haki na amaniDaaaaa!!!ila MWENDAZAKE,
Kayafa?Na utasikia mpuuzi mmoja akidemka huku kabinua makalio eti Hayati alikuwa mcha Mungu mtu wa haki
utapigwa risasi na Maria Sarungi acha kuchezea mali za watuUmasikini mbaya kwa kweli,nampenda shangazi nimuoe tu yani.
Kangi Lugola alisema Kayafa ni sawa na YesuWengine humtetea huku na viuno wanakata
Uzuri ni kwamba mnamsaidia sana kwenye utendaji wake. Yeye si kama mwendazake kukasirika kukosolewaHoja huwa haziishi ni mpumbavu tu ndiye anaweza kufikiri hoja huwa zinaisha