Mahakama Kuu yatengua hukumu ya kuvuliwa Uwakili dhidi ya Fatuma Karume

Mahakama Kuu yatengua hukumu ya kuvuliwa Uwakili dhidi ya Fatuma Karume

Sasa hivi Mihimili mingine imeanza kujiinua tena kutokea mavumbini. Ni muda sahihi sasa kurudi Mahakamani kufungua shauri la kupinga Halmashauri chini ya uongozi wa DEDs kusimamia chaguzi zote

Sisi Nchi tajiri sana hatushindwi kuweka key staff wa NEC Nchi nzima.
naunga mkono hoja , ni kweli kabisa mkuu
 
Kuna wakati huwa natafakari, sipati jibu kuhusu marehemu. Najiuliza:

1) Alikuwa ni mtu ambaye kwa asili yake alikuwa ni mtu tu wa roho mbaya?

2) Alikuwa ni mtu wa kawaida lakini baadaye shetani akaingia ndani yake, na hivyo alikuwa ni shetani katika umbile la mwanadamu?

3) Au alikuwa ni mtu wa kawaida, lakini alikuwa na tatizo la afya ya akili kiasi cha muda mwingine kuwa wa kawaida, na muda mwingine akili kukengeuka?

Maana kuna uovu mwingine aliowafanyia watu, unazidi hata ule wa watu katili.

Kwa kweli marehemu alikuwa katili na roho ya ajabu:

Kufilisi watu
Kuteka watu
Kuua watu
Kubambikia watu kesi
Kupora pesa za watu

Yaani alitaka usipomwabudu, basi ukose na fursa nyingine zote za maisha ya hapa Duniani.
tatizo wengi wenu miaka 5 tu nyuma hata uwezo wa kuchanganua mambo ulikuwa bado kabisa.

zama hizi za mitandao,uwazi,na bayana zinamkuta jpm,kila kitu anaonekana ni wa kwanza kufanya.sisi wengine tuna historia zetu za akina nyerere na kambona,mkapa na uchaguzi 2000,kikwete na akina ulimboka nk.

jpm ataendelea kuishi kwenye akili za waliompenda na waliomchukia kwa pamoja mpaka kizazi hiki kitoweke.
 
Huyu Dada pamoja na kwamba alionewa ila Mimi nilimchukia Sana baada ya kuanza kutetea mashoga na wasagaji.
Simpendi kabisa bora wangemwacha hivo hivo
 
Alimfukuzaga kazi welle malecela akajua kammaliza, kusikia kachaguliwa UN alikasirika sana, aliamin yeye ndo mgawa rizki
ulijuaje kaumia!!!hata lissu alikimbia akaenda kupewa ubarozi wa kutetea mashoga na bado aliruhusu awe mgombea wa upinzani 2020.

baba yako anaweza kukufukuza kwake kisa kasikia unaliwa,na hataki laana za kipuuzi kwenye mji wake.wewe kwenda kuhifadhiwa nyumba ya jirani ni juu ya jirani mwenyewe.
usianze kujifariji kwamba baba yako ataumia.
 
Mnaingilia wake/girlfriend huko wenu halafu mkija hapa mnajifanya watakatifu... Bin Adam, bwana...
Huyu Dada pamoja na kwamba alionewa ila Mimi nilimchukia Sana baada ya kuanza kutetea mashoga na wasagaji.
Simpendi kabisa bora wangemwacha hivo hivo
 
Usiwe mjinga na mpumbavu tunajadili katiba ya nchi na siyo katiba za vyama! Katiba yenyewe ya CCM mgogoro, sasa mmebambikiziwa mwenyekiti na wote mmeufyata!
[emoji16][emoji16][emoji16]umejibu bila hata kigugumizi yaani.
 
Ili kuendana na upepo huu mpya ni dhahiri sasa Jaji Mkuu na Mwanasheria Mkuu waondolewe , tusimung'unye maneno , hawa walishiriki kila uchafu .

Kabisa, maana hawa walikubali kutekeleza uovu wa Magufuli dhidi ya watanzania waliokuwa na mitazamo tofauti na yeye. Ni dhahiri kabisa maamuzi ya Fatuma kufungiwa cheti cha uwakili ilikuwa ni maagizo Magufuli kwa kukosolewa maana alikuwa rais muovu, na sasa njia kuelekea kurudishiwa cheti cha uwakili ni maagizo ya huyu mama maana hana roho chafu kama ya yule dhalimu. Hao maofisa wote waliotii amri chafu wamedhihirisha kuwa hawawezi kusimamia haki, bali kutii amri za rais aliye madarakani hata kama ni mtu muovu.
 
Huyu Dada pamoja na kwamba alionewa ila Mimi nilimchukia Sana baada ya kuanza kutetea mashoga na wasagaji.
Simpendi kabisa bora wangemwacha hivo hivo
hao ndio wanasheria ndugu yangu.

kaka alisukumwa na askari akadai alipwe fidia bilioni moja,wakati kuna wajuba wanabembea hato matiti mpaka yameinama unadhani zimo kichwani yule!!!

kwanza kuna mshaka sana na elimu yake,sema kwa vile ndio royal family hakuna kilichoshindikana kwa yeye kuwa alipo.
 
Back
Top Bottom