nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,932
Yule alikuwa nyoka zaidi ya blackmambaDaaaaa!!!ila MWENDAZAKE,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule alikuwa nyoka zaidi ya blackmambaDaaaaa!!!ila MWENDAZAKE,
Baadae tunaambiwa mazishi yametazamwa na watu Billioni 3! Ila baada ya kuchemka na huu uongo angekaa pembeni tu
MnyenyekevuDaaaaa!!!ila MWENDAZAKE,
Yupo wapi huyo muuguzi? ukweli bila ushahidi chochote kitaitwa ukweli.Sasa wewe unabishana na wauguzi wa Muzenda clinic waliomuuguza? Wewe ni nani hasa kubishia ukweli?
Bora amejifia mwenyewe maana alikuwa kerooo!Yupo wapi huyo muuguzi? ukweli bila ushahidi chochote kitaitwa ukweli.
Mwendazake alikuwa laana kwa taifaMaalim seif kafa na corona ila watu hawalizungumzii hili wao wanafosi kifo cha Mwendazake kiwe cha corona,sasa sijui ili iweje?
😆😆😆Sasa wewe unabishana na wauguzi wa Muzenda clinic waliomuuguza? Wewe ni nani hasa kubishia ukweli?
mbona bado ni la kipumbavu,maana bado kuna vibungo kama wewe.Bila Corona kumfyekelea mbali dhalimu tungekuwa na Taifa la kipumbavu sana mbeleni huko.
mkituliza akili sawa sawa,mtajua kwamba kuna watu wanaowaona nyinyi ni wajinga.Waswahili walisema, mbio za sakafuni, huishia ukingoni.
Sasa kwa hili wimbi la mambo kubatilishwa mara tu baada ya bwana fulani kujifia zake, tushajua ukingo ulikuwa wapi.
kwa upande mwingine imekula mpaka baba zenu wazazi.Sanaa. Kwaupande mwingine tunaishukuru Corona
ulisema unakaribia kutoa avatar ya bimkubwa maana kachagua madc wasiofaa.Lile kitu life mara 1000 huko kuzimu. Mungu ibariki Tanzania. Mungu mbariki Rais wetu SSH mpe miaka mingi atuongoze mpaka nchi na demokrasia inyooke. Hongera sana Wakili msomi Fatuma Karume.
Majaliwa kwa huu uongo ilibidi awekwe ndani kama Ole Sabaya.Baadae tunaambiwa mazishi yametazamwa na watu Billioji 3! Ila baada ya kuchemka na huu uongo angekaa pembeni tu
ngoja tuone huyu bibi ataendelea na harakati zake!!!Na mambo haya yanatokea kwa kasi sana. Yaelekea mama alikuwa amechefukwa lakini hakuwa na la kufanya. Mungu kamfanyia wepesi
Baba zetu wamekufa kwa mapenzi ya Mungu hawakuwa wabishi kufuata masharti na hawakuwa na kiburi na jeuri kama mwendazake.kwa upande mwingine imekula mpaka baba zenu wazazi.
Ni wajinga tu kama wewe wasiojua umuhimu wa kuwa na katiba ya wananchi.
Hoja huwa haziishi ni mpumbavu tu ndiye anaweza kufikiri hoja huwa zinaishaEndeleeni kumsema Mama kwa ubaya
awamu hii hamna hoja
Hoja huwa haziishi ni mpumbavu tu ndiye anaweza kufikiri hoja huwa zinaisha