abdulhamis
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 1,436
- 2,296
Deni alifungi mtu ataahid kulipa kidogo kidogo labda kwa mwezi buku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pacha, Cyprian Musiba akishindwa kulipa hio hela yatapelekwa maombi mahakamani ya;Akishindwa kulipa inakuwaje? Atafungwa?
Kwa Nini ikaitwa mahakama kuu Zanzibar? Kamlipe fidia shangazi mzee baba. Au unataka kuuliza kwa Nini Zanzibar kuna katiba. Mbavu Sina.Ina jurisdiction Tz Bara? Kwanini hakufungua Bara?
.... ha ha ha! IQ ya kuku!Fatuma amkubali kweli lile jamaa IQ yake ina mushkel?
Swali linakuzidi kila kitu uelewa na uzoefu. Subiri kama mimi hapa kupata majibu.Kwa Nini ikaitwa mahakama kuu Zanzibar? Kamlipe fidia shangazi mzee baba. Au unataka kuuliza kwa Nini Zanzibar kuna katiba. Mbavu Sina.
Alipe deni kwanzaNashauri Musiba amuoe huyo dada
Hata Ingekuwa mbinguni msiba bila jiwe ni sawa na andazi tuAmeshinda case ya defamation au ameshinda case ya madai baada ya kushinda case ya defamation? Je, mahakama za Zenji zina mamlaka gani kwa huku bara ? Wanaweza kukazia hukumu huku bara au mamlaka yake yanaushia huko visiwani.
Anajufurahisha huyo.Akishindwa kulipa inakuwaje? Atafungwa?
Afungwe tu, bado Membe naye anamdaiKupitia ukurasa wake wa Twitter Wakili msomi, Fatma Karume aka Shangazi, ameandika hivi;
Hamjambo? Mnaomjua Cyprian Musiba mwambieni Mahakama Kuu ya Zanzibar, ndio pale VUGA, yametoa HUKUMU leo. Yamesema ni yeye na GAZETI lake wameandika UONGO dhidi yangu.
Sasa anatafute 7.5 billion za kunilipa!. Namshukuru sana Advocate Wangu!.
Billion 7.5 ilihali sponsor ameshakufa na kwa upande mwingine biashara zake zimemuendea kombo hadi kushindwa kuwalipa Wafanyakazi mbona atajua hajui!.
Watu wa karibu wa Musiba mnaweza kumpa hizi habari maana ni kitambo hatujamuona huko Twitter republican huyo aliyekuwa "Mwanaharakati huru" wa kumtetea hayati Magufuli.
Atafungwa hana kituAnafilisiwa na jela juu ikibidi hali mradi apatikane wa kumlisha akiwa jela.
Ndio mkae kwa kutuliaFatuma msamehe musiba ilikuwa ni njaa tu
Labda aione ustaadh Habib!Kupitia ukurasa wake wa Twitter Wakili msomi, Fatma Karume aka Shangazi, ameandika hivi;
Hamjambo? Mnaomjua Cyprian Musiba mwambieni Mahakama Kuu ya Zanzibar, ndio pale VUGA, yametoa HUKUMU leo. Yamesema ni yeye na GAZETI lake wameandika UONGO dhidi yangu.
Sasa anatafute 7.5 billion za kunilipa!. Namshukuru sana Advocate Wangu!.
Billion 7.5 ilihali sponsor ameshakufa na kwa upande mwingine biashara zake zimemuendea kombo hadi kushindwa kuwalipa Wafanyakazi mbona atajua hajui!.
Watu wa karibu wa Musiba mnaweza kumpa hizi habari maana ni kitambo hatujamuona huko Twitter republican huyo aliyekuwa "Mwanaharakati huru" wa kumtetea hayati Magufuli.
😂😂😂😂Mwanaharakati huru kapotea.
Billion 7.5 ilihali sponsor ameshakufa na kwa upande mwingine biashara zake zimemuendea kombo hadi kushindwa kuwalipa Wafanyakazi mbona atajua hajui!.Kupitia ukurasa wake wa Twitter Wakili msomi, Fatma Karume aka Shangazi, ameandika hivi;
Hamjambo? Mnaomjua Cyprian Musiba mwambieni Mahakama Kuu ya Zanzibar, ndio pale VUGA, yametoa HUKUMU leo. Yamesema ni yeye na GAZETI lake wameandika UONGO dhidi yangu.
Sasa anatafute 7.5 billion za kunilipa!. Namshukuru sana Advocate Wangu!.
Billion 7.5 ilihali sponsor ameshakufa na kwa upande mwingine biashara zake zimemuendea kombo hadi kushindwa kuwalipa Wafanyakazi mbona atajua hajui!.
Watu wa karibu wa Musiba mnaweza kumpa hizi habari maana ni kitambo hatujamuona huko Twitter republican huyo aliyekuwa "Mwanaharakati huru" wa kumtetea hayati Magufuli.