Mahakama Kuu Zanzibar yaamuru Cryprian Musiba kumlipa Fatma Karume Tzs 7.5 bilioni

Mahakama Kuu Zanzibar yaamuru Cryprian Musiba kumlipa Fatma Karume Tzs 7.5 bilioni

Kupitia ukurasa wake wa Twitter Wakili msomi, Fatma Karume aka Shangazi, ameandika hivi;

Hamjambo? Mnaomjua Cyprian Musiba mwambieni Mahakama Kuu ya Zanzibar, ndio pale VUGA, yametoa HUKUMU leo. Yamesema ni yeye na GAZETI lake wameandika UONGO dhidi yangu.
Sasa anatafute 7.5 billion za kunilipa!. Namshukuru sana Advocate Wangu!.


Billion 7.5 ilihali sponsor ameshakufa na kwa upande mwingine biashara zake zimemuendea kombo hadi kushindwa kuwalipa Wafanyakazi mbona atajua hajui!.

Watu wa karibu wa Musiba mnaweza kumpa hizi habari maana ni kitambo hatujamuona huko Twitter republican huyo aliyekuwa "Mwanaharakati huru" wa kumtetea hayati Magufuli.
Akishindwa kulipa itakuwaje?

Au itamfanya awe house boy wako miaka yake yote ya uhai??
 
Kwani Musiba Ni raia wa Nchi ya Zanzibar? Ninachojua ukitaka ku practice uwakili Zanzibar lazima usajiliwe upya kwao

Hiyo kesi wakaisajili mahakama ya kimataifa kunenforce sababu Zanzibar Ni nchi kamili kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar.

Musiba si raia wa Nchi ya Zanzibar na Hana mpango wa kuomba uraia Zanzibar
 
Anafilisika soon huyu mutu
Screenshot_20210811-131306_Facebook.jpg
 
Hiyo hukumu hopeless
Imeamriwa na mahakamu kuu ya Nchi huru ya Zanzibar

Kwa mujibu wa katiba yao Zanzibar Ni nchi kamili

Hiyo kesi walitakiwa Wapeleke mahakama ya kimataifa sababu wao Ni nchi kamili na Musiba sio raia wao na kosa hakulifanya akiwa Zanzibar sababu sio raia na hana mpango wa kuomba uraia Wala kwenda Zanzibar iwe kuoa mtoto au mjukuu wa karume au kutalii
 
Back
Top Bottom