Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Mwana kulitafuta mwana kulipata.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii kazi ya kusema uongo angemwachia Ndugai mwenye Kinga haya akitoka madarakani .Hakupewa kinga yakutokushitakiwa?
Ikifikia fatma kutoa mchango wa kumhudumia lishe mnistue kuna hela haina kazi ntaitoaPacha, Cyprian Musiba akishindwa kulipa hio hela yatapelekwa maombi mahakamani ya kukamata mali zote za Gazeti na za kwake binafsi ziuzwe ili alipwe Fatma Karume.
Deni lisipowezekana kulipwa kabisa kutokana na mali kutofikia kiasi anacho daiwa, basi maombi ya kumfunga yanaweza kufanywa mahakamani (Civil Jail Term, sio Criminal Jail) na kama maombi yatakubaliwa na mahakama basi itapigwa hesabu ya deni na kifungo atakachotakiwa kufungwa kwa gharama za Fatma Karume (Yani Fatma Karume atakua akimhudumia lishe yake Cyprian Musiba kwa kipindi chote atakachofungwa).
Malinda lazima yatoke... Billion 7 siyo mchezo. Magufuli aliwapa kiburi sana hawa watu.Yule jamaa aliyekua anamtuma Cyprian kuandika huo ujinga Mali zake si zipo?wapige mnada hata Mali za Sponsor.
Ukimuona kimya mjini tambua ana mwenyeji wakeBado kesi ya Membe. Hivi ule ushujaa alikuwa anautoa wapi?.
Kwani Musiba Ni raia wa Nchi ya Zanzibar? Ninachojua ukitaka ku practice uwakili Zanzibar lazima usajiliwe upya kwao
Hiyo kesi wakaisajili mahakamani ya kimataifa kunenforce sababu Zanzibar Ni nchi kamili kwa mujibu was katiba ya Zanzibar.
Musiba si raia wa Nchi ya Zanzibar na Hana mpango wa kuomba uraia Zanzibar
Ndoto zingine ni upuuzi mtupuHiyo hukumu hopeless
Imeamriwa na mahakamu kuu ya Nchi huru ya Zanzibar
Kwa mujibu wa katiba yao Zanzibar Ni nchi kamili
Hiyo kesi walitakiwa Wapeleke mahakama ya kimataifa sababu wao Ni nchi kamili na Musiba sio raia wao na kosa hakulifanya akiwa Zanzibar sababu so raia na Hana mpango wa kuomba uraia Wala kwenda Zanzibar iwe kuoa mtoto au mjukuu wa karume au kutalii
Kwani TZ maana yake nini?Ina jurisdiction Tz Bara? Kwanini hakufungua Bara?
Hahaha nadhani shangazi achukue tu zote zitakazopatikana nyingine asamehe.Pacha, Cyprian Musiba akishindwa kulipa hio hela yatapelekwa maombi mahakamani ya kukamata mali zote za Gazeti na za kwake binafsi ziuzwe ili alipwe Fatma Karume.
Deni lisipowezekana kulipwa kabisa kutokana na mali kutofikia kiasi anacho daiwa, basi maombi ya kumfunga yanaweza kufanywa mahakamani (Civil Jail Term, sio Criminal Jail) na kama maombi yatakubaliwa na mahakama basi itapigwa hesabu ya deni na kifungo atakachotakiwa kufungwa kwa gharama za Fatma Karume (Yani Fatma Karume atakua akimhudumia lishe yake Cyprian Musiba kwa kipindi chote atakachofungwa).
Wajinga unawapuuza tu mkuu, noma sana.Acha utoto,mbona Mashekhe wa uamsho mlikuja kuwafunga Bara?
Huna jibu tusubiri wanasheriaKwani TZ maana yake nini?
Hapa duniani kuna nchi inaitwa Zanzibar?Kwani Musiba Ni raia wa Nchi ya Zanzibar? Ninachojua ukitaka ku practice uwakili Zanzibar lazima usajiliwe upya kwao
Hiyo kesi wakaisajili mahakamani ya kimataifa kunenforce sababu Zanzibar Ni nchi kamili kwa mujibu was katiba ya Zanzibar.
Musiba si raia wa Nchi ya Zanzibar na Hana mpango wa kuomba uraia Zanzibar
Mcheza kwao hutuzwa.Kuna mtu kadokeza atafungwa miaka 30 endapo hatalipa hizo pesa, japo Wakili msomi Fatma Karume hajathibitisha wala kukanusha hili la kifungo!.
Kujidai wakati mwingine noouma,Kupitia ukurasa wake wa Twitter Wakili msomi, Fatma Karume aka Shangazi, ameandika hivi;
Hamjambo? Mnaomjua Cyprian Musiba mwambieni Mahakama Kuu ya Zanzibar, ndio pale VUGA, yametoa HUKUMU leo. Yamesema ni yeye na GAZETI lake wameandika UONGO dhidi yangu.
Sasa anatafute 7.5 billion za kunilipa!. Namshukuru sana Advocate Wangu!.
Billion 7.5 ilihali sponsor ameshakufa na kwa upande mwingine biashara zake zimemuendea kombo hadi kushindwa kuwalipa Wafanyakazi mbona atajua hajui!.
Watu wa karibu wa Musiba mnaweza kumpa hizi habari maana ni kitambo hatujamuona huko Twitter republican huyo aliyekuwa "Mwanaharakati huru" wa kumtetea hayati Magufuli.