Mahakama Kuu Zanzibar yaamuru Cryprian Musiba kumlipa Fatma Karume Tzs 7.5 bilioni

Mahakama Kuu Zanzibar yaamuru Cryprian Musiba kumlipa Fatma Karume Tzs 7.5 bilioni

Tatizo hiyo pesa kubwa mno kuliko uhalisia, huyo Fatma mwenyewe anajua Musiba hana hiyo pesa.

Kwa nini wasiweke kiwango chenye uhalisia, hata milioni 10 ingetosha kumpa jamaa wenge.
Atafilisiwa Mali zake na Deni litabaki.


Full stop.
 
Musiba alishasema kwamba mahakama za Zanzibar hazitambui - kwani yeye ni wa bara, kama wana uwezo waje wamkamate.
 
Kwani Musiba Ni raia wa Nchi ya Zanzibar? Ninachojua ukitaka ku practice uwakili Zanzibar lazima usajiliwe upya kwao

Hiyo kesi wakaisajili mahakama ya kimataifa kunenforce sababu Zanzibar Ni nchi kamili kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar.

Musiba si raia wa Nchi ya Zanzibar na Hana mpango wa kuomba uraia Zanzibar
Nyie mawakili wa Cyprian Musiba, ndiyo utetezi wenu huu kwa mteja wenu...?

Kama ndiyo mko hivi, kumbe ndiyo maana mmeshindwa kesi huko mahakamani...!
 
Fatma ana akili na hmjamuelewa. Angeweza kuifungulia hii kesi bara akammaua kuchokoza mambi ya muungano.

Subirini muone kitakachotokea.

Kwani Musiba Ni raia wa Nchi ya Zanzibar? Ninachojua ukitaka ku practice uwakili Zanzibar lazima usajiliwe upya kwao

Hiyo kesi wakaisajili mahakama ya kimataifa kunenforce sababu Zanzibar Ni nchi kamili kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar.

Musiba si raia wa Nchi ya Zanzibar na Hana mpango wa kuomba uraia Zanzibar
 
Tatizo hiyo pesa kubwa mno kuliko uhalisia, huyo Fatma mwenyewe anajua Musiba hana hiyo pesa.

Kwa nini wasiweke kiwango chenye uhalisia, hata milioni 10 ingetosha kumpa jamaa wenge.
wacha ahangaike kwanza na mahakama, huyu jamaa alitamba sana enzi zake- wengine waliamua kumwacha tu, yaani kuwaita wazee wastaafu tena wa Urais kwamba ni wachumia tumbo... kweli huyu jamaa aisee.
 
Kupitia ukurasa wake wa Twitter Wakili msomi, Fatma Karume aka Shangazi, ameandika hivi;

Hamjambo? Mnaomjua Cyprian Musiba mwambieni Mahakama Kuu ya Zanzibar, ndio pale VUGA, yametoa HUKUMU leo. Yamesema ni yeye na GAZETI lake wameandika UONGO dhidi yangu.
Sasa anatafute 7.5 billion za kunilipa!. Namshukuru sana Advocate Wangu!.


Billion 7.5 ilihali sponsor ameshakufa na kwa upande mwingine biashara zake zimemuendea kombo hadi kushindwa kuwalipa Wafanyakazi mbona atajua hajui!.

Watu wa karibu wa Musiba mnaweza kumpa hizi habari maana ni kitambo hatujamuona huko Twitter republican huyo aliyekuwa "Mwanaharakati huru" wa kumtetea hayati Magufuli.
Leo hii ndio anaiamini hiyo mahakama kwa kuwa Musiba ameamuriwa amlipe? mahakama ya zanzibar lolo.
 
Kupitia ukurasa wake wa Twitter Wakili msomi, Fatma Karume aka Shangazi, ameandika hivi;

Hamjambo? Mnaomjua Cyprian Musiba mwambieni Mahakama Kuu ya Zanzibar, ndio pale VUGA, yametoa HUKUMU leo. Yamesema ni yeye na GAZETI lake wameandika UONGO dhidi yangu.
Sasa anatafute 7.5 billion za kunilipa!. Namshukuru sana Advocate Wangu!.


Billion 7.5 ilihali sponsor ameshakufa na kwa upande mwingine biashara zake zimemuendea kombo hadi kushindwa kuwalipa Wafanyakazi mbona atajua hajui!.

Watu wa karibu wa Musiba mnaweza kumpa hizi habari maana ni kitambo hatujamuona huko Twitter republican huyo aliyekuwa "Mwanaharakati huru" wa kumtetea hayati Magufuli.
Huyo Misiba angekuwa mpinzani hiyo hukumu ingekuwa na maana, na kesi iwe imefanyikia huku Bara. Hakuna mwanaccm anatii amri ya mahakama, hasa mwenye haki anapokuwa mkosoaji wa serikali.
 
Hongera Shangazi, ndio uzuri wa Utawala unaofuata Sheria.

Tusuburi na Mwenyekiti wetu nae akitoka alifungulie kesi ya madai Jeshi la Polisi.
 
Kwani Musiba Ni raia wa Nchi ya Zanzibar? Ninachojua ukitaka ku practice uwakili Zanzibar lazima usajiliwe upya kwao

Hiyo kesi wakaisajili mahakama ya kimataifa kunenforce sababu Zanzibar Ni nchi kamili kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar.

Musiba si raia wa Nchi ya Zanzibar na Hana mpango wa kuomba uraia Zanzibar

YEHODAYA au musiba akubali kumlipa fatma elfu50 au laki1 kila mwezi, ili amalizane na huo usumbufu wanmahakama
 
Back
Top Bottom