Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa anasafiria kinga ya mwendazake, alipoondoka Jiwe kabaki hana tena uzio, mpweke ujanja wote kebehi,matusi,ujuaji kwishinei.He is vulnerable to attacks from all sides.Hakupewa kinga yakutokushitakiwa?
MATAGA pitisheni bakuli kwenye magroupe yenu ya wasap 😄😄😄😄😄
Siyo lazima.Unaweza kufungua kesi mahara popote duniani.Kinachohitajika Ni vigezo na masharti kuzingatiwa. Fatuma angalia uwezokano wa kuuza whatever he has as fixed ili lijamaa lyende kuchunga ng'ombe kwaoIna jurisdiction Tz Bara? Kwanini hakufungua Bara?
Anafilisiwa Nini wakati keshafilisika? Ila wajuzi wa Sheria watujuze atafanywa Nini maana Hana hizo hela.Anafilisiwa na jela juu ikibidi hali mradi apatikane wa kumlisha akiwa jela.
Hana hata nauli atakimbiaje?...atajua hajui![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Atakimbia nchi huyu,mataga wafahamu kuwa kila wanalolifanya watalipa hapahapa duniani wao na familia zao.
Ni mwendo wa kutumika kama banzoka aka big G.
😂😂😂Hana hata nauli atakimbiaje?
Ama kweli kuna mambo huwa yana mwisho, namkumbuka Rashid wa KULI alisema kwa unyonge, “Yana Mwisho Haya”. Mwisho wa enzi wa Mwanaharakati Huru Bw Cyprian ‘Nyamanani sijui’ Musiba umekuwa mbaya mno! Hizo billion atazitoa wapi? Huku wafanyakazi wanamdai, huku Shangazi kapewa tuzo; watauza kila kitu na mwisho wa siku watamuuza Musiba mwenyewe!!!Kupitia ukurasa wake wa Twitter Wakili msomi, Fatma Karume aka Shangazi, ameandika hivi;
Hamjambo? Mnaomjua Cyprian Musiba mwambieni Mahakama Kuu ya Zanzibar, ndio pale VUGA, yametoa HUKUMU leo. Yamesema ni yeye na GAZETI lake wameandika UONGO dhidi yangu.
Sasa anatafute 7.5 billion za kunilipa!. Namshukuru sana Advocate Wangu!.
Billion 7.5 ilihali sponsor ameshakufa na kwa upande mwingine biashara zake zimemuendea kombo hadi kushindwa kuwalipa Wafanyakazi mbona atajua hajui!.
Watu wa karibu wa Musiba mnaweza kumpa hizi habari maana ni kitambo hatujamuona huko Twitter republican huyo aliyekuwa "Mwanaharakati huru" wa kumtetea hayati Magufuli.
Wewe mpuuzi CCM mnasema nyinyi na hao Zanzibar ni nchi moja sasa huo upupu hapa wa nini??Kwani Musiba Ni raia wa Nchi ya Zanzibar? Ninachojua ukitaka ku practice uwakili Zanzibar lazima usajiliwe upya kwao
Hiyo kesi wakaisajili mahakama ya kimataifa kunenforce sababu Zanzibar Ni nchi kamili kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar.
Musiba si raia wa Nchi ya Zanzibar na Hana mpango wa kuomba uraia Zanzibar
Anaweza kumfanya civil prisonerAkishindwa kulipa inakuwaje? Atafungwa?
Uwe unaelewa. Ndo maana Kuna mahakama ya JM wa Tanzania na Mahakama ya Zanzibar.Acha utoto,mbona Mashekhe wa uamsho mlikuja kuwafunga Bara?
[emoji23][emoji23][emoji23]hapo mwisho[emoji119][emoji119]Pacha, Cyprian Musiba akishindwa kulipa hio hela yatapelekwa maombi mahakamani ya;
1) kukamata mali zote za Gazeti na za kwake binafsi ziuzwe ili alipwe Fatma Karume.
2) Kufungiwa account zake zote za bank.
Deni lisipowezekana kulipwa kabisa kutokana na mali kutofikia kiasi anacho daiwa, basi maombi ya kumfunga yanaweza kufanywa mahakamani (Civil Jail Term, sio Criminal Jail) na kama maombi yatakubaliwa na mahakama basi itapigwa hesabu ya deni na kifungo atakachotakiwa kufungwa kwa gharama za Fatma Karume (Yani Fatma Karume atakua akimhudumia lishe yake Cyprian Musiba kwa kipindi chote atakachofungwa).
In short, Cyprian Musiba safari hii anaweza akatolewa marinda.
Kwa hiyo Rais mama Samia aliomba uraia wa Tanganyika? Tunataka katiba mpya.Kwani Musiba Ni raia wa Nchi ya Zanzibar? Ninachojua ukitaka ku practice uwakili Zanzibar lazima usajiliwe upya kwao
Hiyo kesi wakaisajili mahakama ya kimataifa kunenforce sababu Zanzibar Ni nchi kamili kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar.
Musiba si raia wa Nchi ya Zanzibar na Hana mpango wa kuomba uraia Zanzibar
Zanzibar ni nchi mkuu?Hiyo kesi hatakiwi hata kuhangaika nayo Musiba atulie tu
Ni sawa tu na kuandikwa vibaya na gazeti la the Economist la Nchi ya marekani halafu unaenda mahakama ya kisutu kudai mumiliki akulipe fidia aliyeko Nchi ya Marekani wakati sio raia wa Nchi yako.Mahakama Local uwezo huo hawana .Ndio maana serikali iliishia tu kusema marufuku Hilo gazeti kukanyaga Nchi yetu
Hiyo kesi ya Musiba mahakama ya kuu ya Nchi huru ya Zanzibar kufuatana na katiba yao hawana ubavu huo.
Fatma Karume apeleke hiyo kesi mahakama ya kimataifa sio Vuga Zanzibar!!!
Hichi kiburi kitawaponzaHiyo kesi hatakiwi hata kuhangaika nayo Musiba atulie tu
Ni sawa tu na kuandikwa vibaya na gazeti la the Economist la Nchi ya marekani halafu unaenda mahakama ya kisutu kudai mumiliki akulipe fidia aliyeko Nchi ya Marekani wakati sio raia wa Nchi yako.Mahakama Local uwezo huo hawana .Ndio maana serikali iliishia tu kusema marufuku Hilo gazeti kukanyaga Nchi yetu
Hiyo kesi ya Musiba mahakama ya kuu ya Nchi huru ya Zanzibar kufuatana na katiba yao hawana ubavu huo.
Fatma Karume apeleke hiyo kesi mahakama ya kimataifa sio Vuga Zanzibar!!!