Mahakama Kuu Zanzibar yaamuru Cryprian Musiba kumlipa Fatma Karume Tzs 7.5 bilioni

Mahakama Kuu Zanzibar yaamuru Cryprian Musiba kumlipa Fatma Karume Tzs 7.5 bilioni

Bado kesi ya Membe. Hivi ule ushujaa alikuwa anautoa wapi?.
Yasemekana msiba alipewa kazi yaani kandarasi ya kuwasemea ovyo wabaya wa Kaisari.
Yawezekana pia pesa haikuwa nyingi sana kwani alikuwa kama analambishwa asali tu na middle men.
Pia kuna uwezekano hakuwa main contractor labda alikuwa subcontractor wa subcontractor wa subcontractor n.k
Atakuwa na bahati kama atasaidiwa na SSH,japo ni ngumu sana kwani aliowatukana na kuwakashfu ndio hao sasa wanangala katika awamu ya sita.
Atatoboa tu kwenye appeal ikidhibitishwa kuwa alikuwa na file Mirembe Hospital Dodoma.
 
Kuna siku Pascal wa Jf alisema musiba ni chizi, sasa chizi anafungwa vipi?
 
Haupo sawa Mkuu, endelea kujitoa ufahamu

Serikali zilizoko madarakani kwa wizi wa kura huwa haziheshimu amri za mahakama, labda zile zinazowabeba. Na ushahidi wa tabu hizo upo wazi. Hivyo usitafute sifa za kijinga wakati uhalisia tunaufahamu.
 
Zanzibar ni nchi mkuu?
Ndio google soma katiba yao current ya mwanzo ilisomeka Zanzibar Ni sehemu ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania kuwa Ni kama mkoa wakaleta ujuaji wakajuandikia katiba yao current inayotamka kuwa Zanzibar Ni nchi kamili

Imekula kwao hii kesi ya Musiba waipeleke mahakama ya kimataifa. Zanzibar Ni nchi . Mahakama yao haina mamlaka ya kutoa hukumu kwa raia asiye raia wa Nchi yao.Asiye nchini kwao waende mahakama ya kimataifa . Musiba relax It is not a big deal.Wanzabari kwenye hii kesi mtatukoma watu wa bara.Nyie Ni Nchi kwa mujibu wa katiba yenu .Musiba sio raia wa Nchi yenu maruhuni nyie
 
Ameshinda case ya defamation au ameshinda case ya madai baada ya kushinda case ya defamation? Je, mahakama za Zenji zina mamlaka gani kwa huku bara ? Wanaweza kukazia hukumu huku bara au mamlaka yake yanaushia huko visiwani.
Kwani asipo enda Zenji nani atamkamata?
 
Kwa hiyo Rais mama Samia aliomba uraia wa Tanganyika? Tunataka katiba mpya.
Samia Yeye Ni Raisi wa Muungano . Uraisi Ni Jambo la muungano lakini mahakama ya Nchi huru ya Zanzibar haina ubavu wa kumkomalia raia wa Nchi ingine asiye raia wa Nchi huru ya Zanzibar waende mahakama ya kimataifa.
 
Nina muda wa takribani miezi 5 hivi sijamsikia
Alihojiwa mwezi wa saba akidaiwa mishahara ya wafanyakazi wake awajalipwa tangu alipokufa magu, walisema wanataka kumburuza mahakama alisikika akisema yupo anaumwa aachwe apiganie uhai wake kwanza.
Kwani mtaani majarida yake yanatoka bado au ruzuku imekata.
 
Vipi kama akienda kujificha kwenye kaburi la JPM kule kitovuni Chato
 
Back
Top Bottom