Mahakama Kuu Zanzibar yaamuru Cryprian Musiba kumlipa Fatma Karume Tzs 7.5 bilioni

Mahakama Kuu Zanzibar yaamuru Cryprian Musiba kumlipa Fatma Karume Tzs 7.5 bilioni

Ndio google soma katiba yao current ya mwanzo ilisomeka Zanzibar Ni sehemu ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania kuwa Ni kama mkoa wakaleta ujuaji wakajuandikia katiba yao current inayotamka kuwa Zanzibar Ni nchi kamili

Imekula kwao hii kesi ya Musiba waipeleke mahakama ya kimataifa. Zanzibar Ni nchi . Mahakama yao haina mamlaka ya kutoa hukumu kwa raia asiye raia wa Nchi yao.Asiye nchini kwao waende mahakama ya kimataifa . Musiba relax It is not a big deal.Wanzabari kwenye hii kesi mtatukoma watu wa bara.Nyie Ni Nchi kwa mujibu wa katiba yenu .Musiba sio raia wa Nchi yenu maruhuni nyie
Rais wa awamu ya sita ni raia wa nchi gani mkuu?
 
Hukumu imetoka Zanzibar eeeh?

Hamna kesi hapo,wachache sana wataelewa ninachokisema.Wale waliojaa mihemko na kudhani kuwa hii nchi bado ipo kwenye msingi ya sheria ndio pekee watakai bisha.

Kuna maswala kama haya muda mwingine unajikuta unaona wazo la katiba mpya ni zuri sema tu utafutwaji wa hiyo katiba ndo changamoto, yes of course labda hiyo katiba ingesaidia kuondoa kile ninachokiaona kwenye hiyo kesi.

Aliyewahi kusoma kisa cha SAMAKI MTUNGONI, atakuwa anaelekea kuwa Watz wengi (wakiwemo wanajf na twitter) ni SAMAKI wakati wale wachache waliobakia ndiyo WAVUVI wenyewe.
Mbwa kweli kweli. Mtajua hamjui
 
Yasemekana msiba alipewa kazi yaani kandarasi ya kuwasemea ovyo wabaya wa Kaisari.
Yawezekana pia pesa haikuwa nyingi sana kwani alikuwa kama analambishwa asali tu na middle men.
Pia kuna uwezekano hakuwa main contractor labda alikuwa subcontractor wa subcontractor wa subcontractor n.k
Atakuwa na bahati kama atasaidiwa na SSH,japo ni ngumu sana kwani aliowatukana na kuwakashfu ndio hao sasa wanangala katika awamu ya sita.
Atatoboa tu kwenye appeal ikidhibitishwa kuwa alikuwa na file Mirembe Hospital Dodoma.
Radio mbao plus mdomo wake alilamba milioni 60 per month, kuwatukana viongozi wa dini na wasioafiki fikra za sponsa.
Amewahi tamka hata msiponunua magazeti yatatoka tu.
 
Samia Yeye Ni Raisi wa Muungano . Uraisi Ni Jambo la muungano lakini mahakama ya Nchi huru ya Zanzibar haina ubavu wa kumkomalia raia wa Nchi ingine asiye raia wa Nchi huru ya Zanzibar waende mahakama ya kimataifa.
Tunasubiria majibu yake Msiba. Mahakama itakapotoa oda atafutwe ndiyo tutaju na mambo mengine ambayo hatuyajui kwenye muungano.
 
Ndo avune alichokipanda
Msiba huko alipo atakua anatukana mpaka vyombo VYA ndani, mawazo ,msongo wa mawazo utamuua, 7.5 b, ata ukimuuza Msiba na vimitambo vyake VYA magazeti, vibanda vyake ,Bado ni Kama tone la maji kwenye ziwa victoria,Msiba wafaaa
 
Huyo Musiba sasa ataenda kuolewa jela,hiyo 7.5B hata wakichanga ukoo mzima hawataipata.
 
Kupitia ukurasa wake wa Twitter Wakili msomi, Fatma Karume aka Shangazi, ameandika hivi;

Hamjambo? Mnaomjua Cyprian Musiba mwambieni Mahakama Kuu ya Zanzibar, ndio pale VUGA, yametoa HUKUMU leo. Yamesema ni yeye na GAZETI lake wameandika UONGO dhidi yangu.
Sasa anatafute 7.5 billion za kunilipa!. Namshukuru sana Advocate Wangu!.


Billion 7.5 ilihali sponsor ameshakufa na kwa upande mwingine biashara zake zimemuendea kombo hadi kushindwa kuwalipa Wafanyakazi mbona atajua hajui!.

Watu wa karibu wa Musiba mnaweza kumpa hizi habari maana ni kitambo hatujamuona huko Twitter republican huyo aliyekuwa "Mwanaharakati huru" wa kumtetea hayati Magufuli.
Akome
 
Musiba amlipe tuu
Kwani si kidogokidogo hadi deni liishe😎😎
Maana Hata wakiuza mali zake hana hiyo pesa
Tunataka alipe yote , ccm mchangieni, leo mwataka mtelekeza wakati alikua anatukana watu na kuwazalilisha Kisa,aliekua boss wenu na serikali yenu


Changeni alipe pesa za watu 7.5 b hadi raha yani
 
Kuwa nyumbu ni raha sana.
Hata kama ni jambo la kipuuzi wewe ni kushangilia tu.
 
Duh! Billioni 7.5 atazipatia wapi jameni?!
Mtoto wa Karume uwe na roho ya kusamehe, inatosha!.
afadhali ungemdai fidia ya sh.1!! na kisha aombe radhi hadharani kama alivyo fanya Msigwa alipo shitakiwa na Kinana.
Nimecheka Sana mtoto wa Karume kanyoosha mtu, Msiba sio mda ataanza okota makopo
 
Duh ilikuwa majitambo, tashtiti, mashauzi,mbwembwe za kila namna
 
Kweli Sponsor akifa inageuka balaa...Musiba ukitukana watu sasa kaa mkao wa kunyolewa...Na Bado genge lenu la kutesa watu litaumia sana...
 
Pacha, Cyprian Musiba akishindwa kulipa hio hela yatapelekwa maombi mahakamani ya;

1) kukamata mali zote za Gazeti na za kwake binafsi ziuzwe ili alipwe Fatma Karume.

2) Kufungiwa account zake na za Gazetti zote za bank, pesa zilizomo kulipwa kwa Fatma Karume.

Deni lisipowezekana kulipwa kabisa kutokana na mali kutofikia kiasi anacho daiwa, basi maombi ya kumfunga yanaweza kufanywa mahakamani (Civil Jail Term, sio Criminal Jail) na kama maombi yatakubaliwa na mahakama basi itapigwa hesabu ya deni na kifungo atakachotakiwa kufungwa kwa gharama za Fatma Karume (Yani Fatma Karume atakua akimhudumia lishe yake Cyprian Musiba kwa kipindi chote atakachofungwa).

In short, Cyprian Musiba safari hii anaweza akatolewa marinda.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787],kumbe bado anayo
 
Back
Top Bottom