COMOTANG
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 2,131
- 1,821
Kwani kahukumiwa na Mahakama ya Zenj au Mahakama ya Jamhuri ya Muungano mkuu?Kwani asipo enda Zenji nani atamkamata?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kahukumiwa na Mahakama ya Zenj au Mahakama ya Jamhuri ya Muungano mkuu?Kwani asipo enda Zenji nani atamkamata?
Uhuru wake umepotea hivyo lazima naye apotee.Alisahau sponsor hufariki😉Mwanaharakati huru kapotea.
Yes,kwa ufupi jamaa hatoboi 😆😆HAlafu kuna ile case yake na mzee wa joka la mdimu nayo, hivi si bado ipo mahakamani?
😂😂😂😂😂😂Alikuwa ana kera sana
bashite mwenyewe yu hoi anahitaji msaadaBashite msaidie , Musiba alikua rafiki yako
Bahati mbaya swali hili halijibu swali langu, Bado ninataka kujua namna sheria zinaingiliana kati ya pande mbili hizi. Je, kuna aina ya makosa ama inakuwaje?Kwani Masheikh wa Zanzibar kesi yao ilikuwa Mahakama za wapi?
Asante sana kwa ufafanuzi ndugu.Hiyo ni Mahakama kuu ya Tanzania...iko moja nchi nzima bara na visiwani ila ina divisheni na registry nchini kote. Hivyo Mahakama kuu inayoketi Zanzibar ina hadhi sawa na Mahakama kuu inayoketi Bara.
Ya ZenjiKwani kahukumiwa na Mahakama ya Zenj au Mahakama ya Jamhuri ya Muungano mkuu?
Ndio maana nikasema, kama kosa limefanywa na Mtanzania huku Tanzania au mfano Kenya au nchi nyingine yeyote ile, hukumu ikatolewa na nchi hizo na mshtakiwa akiwa Tanzania basi wadai wataisajili katika mahakama za Tanzania ili iweze kuwa enforced ( kama hii ni kesi ya kibiashara) kinyume na hapo kuna extradition , pia wanaweza kumpata Musiba kwa style hiyo, hivyo jambo la kwamba maamuzi ya mahakama za Zanzibar hazina nguvu huku bara, hilo halipo... ni jambo la enforcement tu na attachment of earnings order toka bara au Zanzibar - kwenda kwa Musiba ili kulipa deni kwa amri ya mahakama toka Zanzibar / Bara (nchi) ambapo hukumu yake imesajiliwa bara pia Zanzibar... mfano ni ile kesi ya madai ya mkulima wa south africa na ndege zetu... kesi za madai haziishi na interest zitaendelea kuongezeka tu siku hadi siku.. Dawa ya Deni ni kulipa hadi kulimaliza au mpaka kifoLkn kumbuka Zanzibar ni nchi.Katiba yake inajifunga yenyewe..
Uamsho nguvu nyingi ilitumika kuliko sheria..
Mf=Bara wafungwa uwamishwa magereza tofauti lkn hawapekwi Zanzibar. Na hivyo kwa upande Zanzibar.
Hata kosa na hukumu bara na visiwani tofauti..
Musiba atakojoa dagaaKupitia ukurasa wake wa Twitter Wakili msomi, Fatma Karume aka Shangazi, ameandika hivi;
Hamjambo? Mnaomjua Cyprian Musiba mwambieni Mahakama Kuu ya Zanzibar, ndio pale VUGA, yametoa HUKUMU leo. Yamesema ni yeye na GAZETI lake wameandika UONGO dhidi yangu.
Sasa anatafute 7.5 billion za kunilipa!. Namshukuru sana Advocate Wangu!.
Billion 7.5 ilihali sponsor ameshakufa na kwa upande mwingine biashara zake zimemuendea kombo hadi kushindwa kuwalipa Wafanyakazi mbona atajua hajui!.
Watu wa karibu wa Musiba mnaweza kumpa hizi habari maana ni kitambo hatujamuona huko Twitter republican huyo aliyekuwa "Mwanaharakati huru" wa kumtetea hayati Magufuli.
Itakua funzo kwa watu wengine wenye tabia kama za musibaMuda umefika wa Cyprian Musiba na ule mdomo aliokua akichongoa kushonwa na sindano.
Mama D na wewe leo haupo upande wa huyo mwana ccm mwenzako? Au msaidieni kuchangisha kwenye magrupu yenuMusiba amlipe tuu
Kwani si kidogokidogo hadi deni liishe[emoji41][emoji41]
Maana Hata wakiuza mali zake hana hiyo pesa
Mjane😉 atafute bwana mwingine tu hata wa Kenya huyo Veronica.Uhuru wake umepotea hivyo lazima naye apotee.Alisahau sponsor hufariki😉
Mama D na wewe leo haupo upande wa huyo mwana ccm mwenzako? Au msaidieni kuchangisha kwenye magrupu yenu
Musiba alishawasema kuhusu Phd za Unafiki na Unoko za WanaCCMHalafu Mimi ni mtanzania lakini sio mwana CCM ila nina imani kwa serikali yangu
Musiba alishawasema kuhusu Phd za Unafiki na Unoko za WanaCCM