Mahakama ya ICSID: Professional bullying anayofanyiwa Profesa Mruma inafedhehesha jamii ya Wanazuoni

Alfu rais Samia alishwai kusema hili kuwa Kuna umakusudi maalumu wkt wa kuingia mikataba
 
Alfu rais Samia alishwai kusema hili kuwa Kuna umakusudi maalumu wkt wa kuingia mikataba
Yeye kama Rais anajua hilo anachukua hatua gani; yeye kila wakati kulia lia tu badala ya kuchukua hatua!! Nchi ndio inamomonyoka hivyo na yeye badala ya kuchukua hatua anaishia kulaumu!
The lady is not up to par!
 
Huwa tunawalaumu wacheza mpira wetu kwavile tuna nafasi yakuwatazama nakuona mapungufu yao...laiti tungekua na nafasi hiyo kuwatazama watumishi wa umma and the entire chain of command yetu tungelia machozi.

Hilo ni profesa linakupa hadi sup chuoni!

Rubbish!
 
Halafu unawakuta wanajitutumua kiswahili kiwe lugha ya kufundishia utadhani kwenye hiyo mikataba ya kimataifa watakutana na kiswahili! Inakera na kuhuzunisha sana, thamani ya elimu yetu ni changamoto.
Wajinga tu hao, ukiona mtu anasimama na kusema tupuuzie lugha ya mataifa na ndio lugha inayotumika kwenye biashara nyingi ujue huyo ni mjinga tu. Na wanaodanganywa hivyo ni maskini na watoto wao.
 
Hii si mahakama ni kundi fulani la wazungu lililokaa kukandamiza waafrika

Alafu Kuna watu wanataka tuendelee Kwa kutumia wawekezaji wakati wanazidi kutuumiza Kwa Sheria zao kandamizi.

Sh
 
Kwanza hii clip Watanzania wenyewe hamuielewi...

Lakini wote mnakosoa..

🤣🤣🤣😅
 
Kuandkia ni tofauti na kuongea.
Mwanasheria ni mtu anayepikwa kwa mafunzo mbalimbali, huko vyuoni wanaandika tu hawapewi kazi za kuwasilisha mbele ya darasa/wenzao? Hadi unafika ngazi ya PhD inamaana hujawahi kufanya presentation? Umetetea vipi maandiko yako?
 
Harafu mbona hayuko huru Ni kama hajiamini hapo Ni sehemu ambapo unatakiwa uongee Kwa maslai ya nchi na Kwa kukaza shingo.
 
Igenge kwa lugha yetu adhimu ya kipare maana yake ni sehemu ya sehem za siri za mwanamke ambayo ni kisimi almaarufu choke! So usitegemee kitu kingine zaidi ya msisimko kutoka kwa "igenge". Mtoa post umepata msisimko wa aibu kutoka kwa igenge
 
Unamtukana Prof ni Zombie?
 
Ukiwakuta wamevimba kwenye V8 utasema watu wa maana kumbe mamburura Tu..hawa wasomi wetu wanatutambia Sisi Tu wa uswahilini
Ni afadhali hata wangejitambulisha kuwa professionally ni walimu wa chekechea kuliko kusema eti mmoja ni profesa mwingine ni mwanasheria mwenye masters degree.
 
Ameyataka mwenyewe mtu wa geology ametoka wapi na wanasheriaa sipati picha Yule aliye kuwa mwanasheria wa jiwe bwana adeledurus kilangi jamaa alikuwa mweupe mno

Hyo Kaz angepewa Andrew chenge tungeshinda hyo kesi
Mkuu hata Andrew Chenge tusinge shinda....
Yaani mwekezaji amepata leseni kwa kufuata masharti na muongozo wa sheria zetu za mwaka 2010, sasa Jiwe mwaka 2017 akabadili sheria za madini....
Wale wooote walioingia na masharti ya 2010 akawatimulia mbali... Sasa wamekwenda mahakamani.. Utashindaje kesi hiyo?

Maana hapo kuna mtu kaonewa
 
Nimesikitika sana binafsi na hii ni dhahiri hakukuwa na maandalizi! Hata wanasheria wetu lugha imewafanya waonekane hawajui watendalo.
Ccm walizoea kesi za kubambikia wananchi wanyonge tu na kutumia mitutu ya polisi. Nje ya hapo mnaona hakuna uwezo wowote wa kujinasua kwenye jambo lolote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…