Mahakama ya ICSID: Professional bullying anayofanyiwa Profesa Mruma inafedhehesha jamii ya Wanazuoni

Kuna wasomi wa MADRASA
wameuza Loliondo uarabuni
Wakauza gesi
Richmond
Bandari ndio wanamalizia
Mkuu wengi hata madrassa hawakumaliza wali attend kaswida tuuuu ndo watetetee maslahi ya nchi
 
Aibu yetu yaani !
 
Alienda Kama Shahidi
 
Kwa upuuzi wa mikataba kama ya bandari, na iwe tu. Maana haliepukiki kabisa.
 
Tatizo kubwa la nchi hii watu hawana Professional Intergrity.
Wasomi wengi wanaendeshwa na Wanasiasa.

Kwenye la kuvunja mikataba wa kulaumiwa anajulikana wala sio Prof. Mruma
Uko sahihi Mkuu. Mruma hawezi kubadili rangi pale ilipofikia, maana pale vinasomwa vifungu. Vifungu vyenyewe vibovu, anajenga hoja yake wapi. Msingi mbovu nyumba haiwezi kuwa imara
 
Halafu alitakiwa apewe rehearsal na mwanasheria kabla ya kwenda pale, sijui kama hicho kitu kilifanyika.
Hao huwa wana kiburi sana, yaani akiitwa Prof hapa Tz ni ngumu sana kukubali msaada kutoka kwa wanasheria wa kawaida, si ajabu alishauriwa hivyo ila akapuuza.
 
Hao mawakili wa kwenye hii kesi kama ndio mchujo ulifanyika na wakaonekana ndio wenye uwezo wa kuitetea nchi kwenye ngazi ya kimataifa, basi naomba kukiri kwamba tuna hali mbaya kama taifa!
Lakini bado hatujachelewa, tunaweza kuanza upya kuandaa watu mahiri, tuondoe ukiritimba wa kupeana kazi kwa connection.
 
Kuna wasomi wa MADRASA
wameuza Loliondo uarabuni
Wakauza gesi
Richmond
Bandari ndio wanamalizia
Kuna mpuuzi mmoja tu hapo toka Iran mwizi mwizi mwizi tu aliondoka karudi mmemkaribisha.
Huyo ndo kimeo.
 
Kwa nini kesi za humu nchini hazirushwi live? Waanze kuzirusha live hata za humu nchini tuwe tunaona mbivu na mbichi.
 
Hazifutiki..

Mimi pia nimeshangaa kumbe hawa ICDS wana YouTube channel Yao na hearing ya kesi hii yote imepositiwa huko..

Kuna video za kesi hii part 1 hadi 7 na zote ni za masaa kati ya 2 hadi 3½ ..

Ama kweli sasa dunia hii ni ya uwazi mno. Bila shaka hata Tanzania tunahitaji kesi zote zisikilizwe Kwa uwazi wa namna hii...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…