Mahakama ya ICSID: Professional bullying anayofanyiwa Profesa Mruma inafedhehesha jamii ya Wanazuoni

Wawekezaji wajiandae, wajue wakija kufanya Biashara nchini kwa Hila ama zao wenyewe ama kwa Hila za baadhi ya watanzania wenzetu tuliowaamini wajue watafilisiwa siku zijazo. Na hao baadhi waliowaingiza mkengeni watawabeba!
 
Daah nilikua namwonea imani sana Prof wa Tanzania huyo maana niliona kaingia ngoma za watu na kutoka hawezi aisee sitamani kuiangalia tena ile video...
 
Na Jaji Masaju ni mshauri wa nini? Kama Kabudi ni mshauri wa kisheria ?

Ficha ujinga wakati mwingine
Muacheni kabudi mbali kwenye hili. Amekaa kimya kama maji mtungini! Mshauri wa mikataba! Amepigwa na kitu kizito baada ya sheria aliyotunga mwenyewe ya umiliki wa raslimali zetu! kubadilishwa. Mngojee kama atatoa hata pumzi kwenye hili!
 
Daah nilikua namwonea imani sana Prof wa Tanzania huyo maana niliona kaingia ngoma za watu na kutoka hawezi aisee sitamani kuiangalia tena ile video...
Nimeicheki asee. Dah jamaa alikuwa anatetemeka balaa mikono inasheki. Yani hat msukuma na kibajaji wanaconfident kumshinda.
 
Professor hata Kiingereza ni issue, lawyers siku zote ni washenzi na hapo wameshamsoma hawezi hata kujieleza kwa ufasaha kwa kiingereza, ni mashambulizi, next time watafute mkalimani au waajiri wanasheria wazungu kwenye timu yao ya utetezi, kesi tumeshindwa kabla haijaisha
 
Ila alivyokuwa anajibu Mruma ni aibu tupu! kama 'zero brain' vile!
Au nae alikuwa "amechukua chake" kama waliopitisha huu mkataba walivyochukua chao!!
 
Aisee ccm mnawakati mgumu sana sema mnatumia nguvu kubaki madarakani.
Hakuna kesi tulizoshinda.[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
My name is Pro Mruma actually i was not resiponsibo tu buringi them here, i was noti filingi welooooo tudeiiiii
🤣🤣🤣
 
Inaumiza sana na ni hatari hata Kwa usalama wa nchi...Tunaonekana hatuna tunachokiweza so hata kuingiliwa na kudanganywa itakuwa rahisi. Hivi nchi iliruhusuje watu kama hao kwenda huko bila kuwa scrutinized? Afadhali angekuwa mmoja tu ndiyo Yuko hivyo, karibu wote pale ilikuwa ni kama walichaguliwa wabovu kwenda huko....Daah hii kitu imetudhalilisha sana watanzania.
 

Hiyo nafasi ilikuwa ya Professor Kabudi au hata mwanasheria mwingine Nguli.
sasa Sijui ilikuwaje akaenda Geologist?
Kimsingi mtaalam sio kazi yake kujibu masuala ya Kisera. Ningekuwa ni mimi wala singekubali kuhojiwa.....
 
Kwa, kuwa sote ni Watanzania Serikali wakati mwingine iombe hata backup kwa Kibatala au Tundu lisu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…