Mahakama ya ICSID: Professional bullying anayofanyiwa Profesa Mruma inafedhehesha jamii ya Wanazuoni

Si sahihi kumtetea Pro. Mruma kuwa amevunjiwa heshima, kilichotokea ni udhaifu wa elimu yake. Pro. Mrema alionekana anaelekezwa kufungua kurasa! Pro. Mrema alijitetea kwa kusema eti hajisikii vizuri kwani hakuamka vizuri! Huu ni utetezi wa kitoto.
Utetetezi wa kijinga sn
 
Hadhalilishwi isipokuwa anajidhalilisha kwa ujinga wake
 
Umeona Sasa, so unachojua geologist anakagua madini pekee ama nin? Kuna madini yoyote yanapita kwenye ofisi ya CAG?
Tatizo ni ujuaji wetu kwenye kada za watu.
 
Mkuu kwenye cross extermination kama hamkufuata taratibu unaweza kuishia kupiga chafya. Mahakamani unajibu ulichoulizwa sasa kama akina majibu utabaki kujiumauma tu. Ref cross extermination za Kibatala and others kwenye kesi ya ugaidi
 
Watanzania tuwe tunaweka kumbukumbu, Sugu alipokuwa mbunge wa Mbeya aliwahi kumsema mbunge mwenzake wa CCM kuwa elimu yake siyo na bunge likamsukasuka, huyo mbunge wa CCM alipokwenda Afrika Kusini kwenye mkutano akajitambulisha kuwa anatoka Tanzania ambayo ni muungano wa Tanganyika na Zimbabwe! Hawa ndio viongozi wa CCM pamoja na wale walioongozana otena Magufuli huko Zimbabwe ambako wote walishindwa kuongea lugha ya kiingereza ikabidi rais wa Zimbabwe ambaye aliwahi kuishi Tanzania wasaidie kitafsiri lugha!
Kwa mtindo huu nchi haitafika mbali, tutaendelea kuwa kichwa cha mwendawazimu.
 
Usishangae kajituma!
Posho Sio mchezo!
Wajuzi mtuwekee ngapi Kwa siku!
Malazi, Malawi, manywaji, usafiri, usiabudu, Emergency....
 
Kiufupi elimu yetu inapaswa kutazamwa upya. Refer kiingereza cha mama Ndalichako.
Tusiwacheke maana ni matokeo ya elimu yetu mbovu.
Naye ni Professor na amesoma nje na ndiyo alikuwa kiongozi wa baraza la mitihani
 
Kama amesoma nje kutokujua kiingereza ni uzembe wake, labda kama ni nchi ambayo haizungumzi kiingereza.
Inasikitisha.
Kasoma Masters na PhD Uingereza lakini hajui mpka leo kiswahili chenyewe kinampa shida anaongea kiha
 
Ulugaluga ni janga😀
Katoka huko Kigoma ndani ndani kwa bahati akafanikiwa kukariri mitihani na wengine nasikia kabla ya kuanza mifumo walikuwa wanahonga baraza la mitihani mtu anafaulu tu bila hata kujua amefaulu nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…