Mkuu ninasikitika kusema sio tu yalikuwa mepesi bali wanafunzi walikuwa wanasaidiwa na wasimamizi na kurusiwa kusaidiana.Nimepitia yale maswali ni mepesi sana
Kila swali marks kumi na unafanya maswali 10 hiyo physics
Kabudi hakuwepo? Lissu hawakumuona?kuna video inaonyesha walipokuwa kwenye mahakama ya kimataifa ..
Kwenye kesi ambayo tumeshindwa kwa kupigwa na kitu kizito Billion 270
Hueleweki. Na wewe ni mwanafunzi wake?Profesa Mruma amepata pigo kubwa sana kwa umri wake; waliomtuma huko Duniani wamedhamiria adhalilishwe na lengo limetimia . Anaulizwa kwa fedha " haya ndiyo unawafundisha wanafunzi wako wa UDSM?
Muuliza swali ni mtoto wake wa kumzaa.....kwanini tumeruhusu wasiojiweza watusimamie?
Wao hawana shule wa vyuo...wana madrasa tuKama Prof Lipumba ambaye ndiye kinara wao kasoma Seminary hao wengine je?😂😂
Ni pamoja na wewe.Hueleweki. Na wewe ni mwanafunzi wake?
Sasa tunaposema Watanzania walio wengi "wanasomea ujinga" ulikuwa hutuelewi?
Lile swala limefanyika NECTA kwenye upangaji matokeoMkuu ninasikitika kusema sio tu yalikuwa mepesi bali wanafunzi walikuwa wanasaidiwa na wasimamizi na kurusiwa kusaidiana.
Nina wanafunzi kadhaa wamekiri hili
Ameitwa kama shahidi...Tusitetee uzembe. Serikali itaku protect vipi kama wewe mwenyewe siyo independent in thinking?Hivi Mruma ni mtaalamu wa Sheria ama yule ni Geologist?
Why serikali inawatuma watu wa miamba wakalitetee taifa kwenye maswala ya Kisheria?
Muda mwingine unaweza kufikiria kuna baadhi ya watu wanataka Tanzania ishindwe, idaiwe Mabillion kisha nao wapate mgao.
Kadhalilika wapi? au ujinga wa watu kujiona wanajua sana .
Rais anafanyiwa bullying sembuse huyo wengi wanamnanga Kwa ishu ya kisasa ,kwani kushindwa ni kosa ..yatapita tu na atabaki na familia yake ni maneno tu.
Kusoma hekima ndo maana watu wanafanya bullying ,kukosea kawaida mbona Mwakinyo alienda nje akapigwa alizomewa na kupewa kejeli ila sasa kashasahau na maisha yanaendelea
Wao wanajengewa Madrasa, kwann wasisome Seminary 🤣🤣🤣Kama Prof Lipumba ambaye ndiye kinara wao kasoma Seminary hao wengine je?😂😂
Hawakuwepo.....Kabudi hakuwepo? Lissu hawakumuona?
Kukosea na kutojua kitu ni vitu viwili tofauti, Mruma hajakosea bali hajui.Kadhalilika wapi? au ujinga wa watu kujiona wanajua sana .
Rais anafanyiwa bullying sembuse huyo wengi wanamnanga Kwa ishu ya kisasa ,kwani kushindwa ni kosa ..yatapita tu na atabaki na familia yake ni maneno tu.
Kusoma hekima ndo maana watu wanafanya bullying ,kukosea kawaida mbona Mwakinyo alienda nje akapigwa alizomewa na kupewa kejeli ila sasa kashasahau na maisha yanaendelea
Mie bado mwanafunzi.Ni pamoja na wewe.
Ungeelimika usingejigeuza mtetezi wa MAFISADI huo nao ujinga
Mkuu unaweza kunsaidia username(insta)Kuna MAFALLA WA NCHI HII WALIMTUKANA LISU SANA ALIPOTOA TAHADHARI HII LEO IMEJIBU
View attachment 2697667
Very correct KakaTatizo kubwa la nchi hii watu hawana Professional Intergrity.
Wasomi wengi wanaendeshwa na Wanasiasa.
Kwenye la kuvunja mikataba wa kulaumiwa anajulikana wala sio Prof. Mruma
Form 4 failureBahati mbaya sasa tuna msomi wa MADRASA ANAIUZA nchi kabisa...
Bladfvck
Huyo ndio think tank wa serikali,yupo hapo hajui chochote yuko kama lusindeProfesa Mruma amepata pigo kubwa sana kwa umri wake; waliomtuma huko Duniani wamedhamiria adhalilishwe na lengo limetimia . Anaulizwa kwa fedha " haya ndiyo unawafundisha wanafunzi wako wa UDSM?
Muuliza swali ni mtoto wake wa kumzaa.....kwanini tumeruhusu wasiojiweza watusimamie?
Kwahiyo nyie mna maprofesa Wawili tu?
Wote elimu ya kanisa,hata hao watawala wao wa saudia wamesoma kwa wazunguWote wawe Wagalatia au mujahideen wamesomeshwa na Kanisa hii Elimu ya Wazungu!