Mahakama ya ICSID: Professional bullying anayofanyiwa Profesa Mruma inafedhehesha jamii ya Wanazuoni

Mahakama ya ICSID: Professional bullying anayofanyiwa Profesa Mruma inafedhehesha jamii ya Wanazuoni

Msomi huyu hapa kikundi kilicho mpiga PHD LISSU makaburi Yao yatafuka moshi
 

Attachments

  • tweeload_01c9d71a.mp4
    2 MB
Hivi Mruma ni mtaalamu wa Sheria ama yule ni Geologist?

Why serikali inawatuma watu wa miamba wakalitetee taifa kwenye maswala ya Kisheria?

Muda mwingine unaweza kufikiria kuna baadhi ya watu wanataka Tanzania ishindwe, idaiwe Mabillion kisha nao wapate mgao.
shaid mkuu, hiyo ni cross examination
 
GST yupo mchizi wangu mi sipo hapo mwamba, nipo na Prof. Kikula na Mruma na Eng. Samamba. Kama kuna mtu ananitafuta aje atanikuta. Mkimsema boss wangu napata moto 😠😠😡😡🤬🤬
Kwanini hukumsaidia boss wako kujibu yale maswali mkamuacha anaenda kudhalilishwa!
 
Hivi Mruma ni mtaalamu wa Sheria ama yule ni Geologist?

Why serikali inawatuma watu wa miamba wakalitetee taifa kwenye maswala ya Kisheria?

Muda mwingine unaweza kufikiria kuna baadhi ya watu wanataka Tanzania ishindwe, idaiwe Mabillion kisha nao wapate mgao.
Mimi naamini kabisa kuna watu ndani ya Serikali / huko juu kama sio waliwekwa kwa kubebana, basi ni vilaza kuwahi kupata kutokea.

Kuna raia nje ya system very bright, mpaka unajiuliza hawa watu kwa nini hatuwatumii kwenye mambo ya msingi kama Taifa.

Najua mnasoma na kuona, mnatukosea sana sisi raia na wananchi wa kawaida, haya mambo si yanastaajabisha ila yanasikitisha sana.

Hata hili la bandari, tusipokuwa makini tutatuma tu watu kwenda kujibu huko kwa wenye lugha zao na mahakama zao, tunajitekenya sana na kujicheka wenyewe.

Aibu sana.
 
Back
Top Bottom