Mahakama ya ICSID: Professional bullying anayofanyiwa Profesa Mruma inafedhehesha jamii ya Wanazuoni

Mahakama ya ICSID: Professional bullying anayofanyiwa Profesa Mruma inafedhehesha jamii ya Wanazuoni

Mimi naamini kabisa kuna watu ndani ya Serikali / huko juu kama sio waliwekwa kwa kubebana, basi ni vilaza kuwahi kupata kutokea.

Kuna raia nje ya system very bright, mpaka unajiuliza hawa watu kwa nini hatuwatumii kwenye mambo ya msingi kama Taifa.

Najua mnasoma na kuona, mnatukosea sana sisi raia na wananchi wa kawaida, haya mambo si yanastaajabisha ila yanasikitisha sana.

Hata hili la bandari, tusipokuwa makini tutatuma tu watu kwenda kujibu huko kwa wenye lugha zao na mahakama zao, tunajitekenya sana na kujicheka wenyewe.

Aibu sana.
Nchi corrupt hata hao bright unaouwaita wakiingia wanaacha AKILI getini
 
Profesa Mruma amepata pigo kubwa sana kwa umri wake; waliomtuma huko Duniani wamedhamiria adhalilishwe na lengo limetimia . Anaulizwa kwa fedheha " haya ndiyo unawafundisha wanafunzi wako wa UDSM?

MtMuuliza swali ni mtoto wake wa kumzaa. Kwanini tumeruhusu wasiojiweza watusimamie?

View attachment 2697730
 
Hivi Mruma ni mtaalamu wa Sheria ama yule ni Geologist?

Why serikali inawatuma watu wa miamba wakalitetee taifa kwenye maswala ya Kisheria?

Muda mwingine unaweza kufikiria kuna baadhi ya watu wanataka Tanzania ishindwe, idaiwe Mabillion kisha nao wapate mgao.
Pigia msitari hapo
 
Unamfata huyo mental case aliyemtukana Nyerere?

Unajuwa kuwa alimtukana Nyerere bungeni? Au unataka ushahidi?

Nyerere mwenyewe alikiri hadharani kwamba kuna mambo mazuri alifanya na pia alifanya ya kijinga ,akasisitiza yale mazuri wayafate na mabaya wayaache ,kwahiyo kusema mabaya ya nyerere siyo kosa(Hata mwenyewe alijua kuna mabaya aliyafanya).

Kwenye Muungano wazanzibar mpaka leo wanalia.
 
Profesa Mruma amepata pigo kubwa sana kwa umri wake; waliomtuma huko Duniani wamedhamiria adhalilishwe na lengo limetimia . Anaulizwa kwa fedheha " haya ndiyo unawafundisha wanafunzi wako wa UDSM?

Muuliza swali ni mtoto wake wa kumzaa. Kwanini tumeruhusu wasiojiweza watusimamie?

View attachment 2697730
Mtu aliyempeleka huyu bwana kutuwakilisha kwenye hii kesi must be criminally prosecuted. Ni lazima kulikuwa na conspiracy kuwa ile kesi nchi ishindwe ili watu wapate mgao wao!! How come huyo jamaa anashindwa hata kuzungumza? You cannot win when you send zombies like this man to represent you!
 
Hilo ndio Tatizo letu Tanzania, tunataka mambo ya Miamba basi heads wa idara lazima awe geologist au Head wa Idara ya Afya head awe MD.

sasa case kama hiyo si bora angeenda lawyer kuwakilisha.
Perdiem ndio tatizo
 
Profesa Mruma amepata pigo kubwa sana kwa umri wake; waliomtuma huko Duniani wamedhamiria adhalilishwe na lengo limetimia . Anaulizwa kwa fedheha " haya ndiyo unawafundisha wanafunzi wako wa UDSM?

Muuliza swali ni mtoto wake wa kumzaa. Kwanini tumeruhusu wasiojiweza watusimamie?

View attachment 2697730
Anayehojiwa na beberu hapa sio Prof Mruma
 
Nchi corrupt hata hao bright unaouwaita wakiingia wanaacha AKILI getini
Waswahili wana msemo kuwa "SAMAKI HUOZA KUANZIA KICHWANI!" Kama viongozi wakuu wa serikali wanapokea rushwa unategemea nini kwa watu wanaowaongoza? CCM na Serikali yake wamepokea rushwa kutoka kwa waarabu ili wauziwe Bandari , sasa wana moral authority gani kukemea kutoa na kupokea rushwa katika jamii? Hizo TOYO zenye picha ya SAMIA zimenunuliwa toka mfuko gani kama sio fedha za hongo toka Uarabuni?
 
Back
Top Bottom