Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Lissu the legend... chini ya CCM hii nchi ina hasara kweli kweli! Haya wale waliokuwa wanapiga hoja ya Lissu kwamba kwa ubabe ule tungeshtakiwa wako wapi? Nchi itafilisika hii!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lissu the legend... chini ya CCM hii nchi ina hasara kweli kweli! Haya wale waliokuwa wanapiga hoja ya Lissu kwamba kwa ubabe ule tungeshtakiwa wako wapi? Nchi itafilisika hii!
Profesa Mruma amepata pigo kubwa sana kwa umri wake; waliomtuma huko Duniani wamedhamiria adhalilishwe na lengo limetimia . Anaulizwa kwa fedheha " haya ndiyo unawafundisha wanafunzi wako wa UDSM?
Muuliza swali ni mtoto wake wa kumzaa. Kwanini tumeruhusu wasiojiweza watusimamie?
View attachment 2697730
Anajitete eti Sheria za mwaka 2010 zilikuwa ni ku encourage investors waje.Mkuu hata Andrew Chenge tusinge shinda....
Yaani mwekezaji amepata leseni kwa kufuata masharti na muongozo wa sheria zetu za mwaka 2010, sasa Jiwe mwaka 2017 akabadili sheria za madini....
Wale wooote walioingia na masharti ya 2010 akawatimulia mbali... Sasa wamekwenda mahakamani.. Utashindaje kesi hiyo?
Maana hapo kuna mtu kaonewa
Nimesikia anasema i did not Get up well today😅😅😅Aisee hii ni aibu!
1. Anaulizwa swali kuhusu document
2. Anaikataa, hajaiona.
3. Anaulizwa, si ume I submit
4. Anajibu nimeamka Vibaya leo....
Jaman hii nchi ni ya aina gani, wabinafsishe mpaka UD kwa DP
Hahahaha 😂😂😂😂Ni afadhali hata wangejitambulisha kuwa professionally ni walimu wa chekechea kuliko kusema eti mmoja ni profesa mwingine ni mwanasheria mwenye masters degree.
Kwakweli ccm mnatia aibu sana.Kbsaa yaani nililiwaza hili mapema jmn mm ccm lkn SAS inatosha tunatakiwa tuondoke haraka madarakani huu Ni upuzi haki ya nani
Tena Zombie mara mbili!! Anaweza kuwa Profesa lakini hana akili!! Huyu ni mmoja kati ya machawa waliomdanganya Magufuli na Samia bado anamtumia kufilisi nchi!!Unamtukana Prof ni Zombie?
Nimesikia anasema i did not Get up well today😅😅😅
Mwanasheria mkuu yupo ila Mruma na wanzake ni mashahidi wa serikali wa kuthibitisha kwa nini wamenyanganya huyo mwekezaji mali zake bila kumlipa ni muhimu Watanzania wakaangalia hii sinema yoowakaielewa vizuri ili wajue nani anawasalitiUnadhani kwa nini serikali haikumpeleka mwanasheria kwenye suala hili!!!? Ilikuwa na Nia gani?
Hapa kajitetea kuwa hakuwa responsible kusubmit documents yeye.Kwanza doc ku submit yeye, halafu hajui content yake, Mbona aisee hawa watu wanatutoa nguo? Huyu sio mtu wa kutuwakilisha
Jamaa alikurupuka....Kama unamfahamu usingemuita professor wa Kanisa, kubali tu umeingia 'chaka'
Profesa Mruma amepata pigo kubwa sana kwa umri wake; waliomtuma huko Duniani wamedhamiria adhalilishwe na lengo limetimia . Anaulizwa kwa fedheha " haya ndiyo unawafundisha wanafunzi wako wa UDSM?
Muuliza swali ni mtoto wake wa kumzaa. Kwanini tumeruhusu wasiojiweza watusimamie?
View attachment 2697730
Aibuuuu! Kumbe wanajificha nyuma ya titles na vyeo vikubwa. Wamefika hapo kwa kuiba maandishi na mawazo ya wengine. Mama Amon ona mnavyojidhalilisha!Profesa Mruma amepata pigo kubwa sana kwa umri wake; waliomtuma huko Duniani wamedhamiria adhalilishwe na lengo limetimia . Anaulizwa kwa fedheha " haya ndiyo unawafundisha wanafunzi wako wa UDSM?
Muuliza swali ni mtoto wake wa kumzaa. Kwanini tumeruhusu wasiojiweza watusimamie?
View attachment 2697730
Huyu anayeitwa Lawyer Edwin Simon Magenge ni nani?Kwanza doc ku submit yeye, halafu hajui content yake, Mbona aisee hawa watu wanatutoa nguo? Huyu sio mtu wa kutuwakilisha
Huyu anayeitwa Lawyer Edwin Simon Magenge ni nani?
Wakienda vijana hao wazee posho wamwechie nani!?Nakuhakikishia kuna vijana fresh wa Sheria wa UD wenye 24 years they are better than these gumboots, by far.
Professorial RUBBISH. Wakuu pelekeni watoto International Schools, achaneni na propaganda za CCM za elimu bure. Elimu ya serikali ya CCM-Tanzania bado haitaweza kukidhi viwango vya kimataifaProfesa Mruma amepata pigo kubwa sana kwa umri wake; waliomtuma huko Duniani wamedhamiria adhalilishwe na lengo limetimia . Anaulizwa kwa fedheha " haya ndiyo unawafundisha wanafunzi wako wa UDSM?
Muuliza swali ni mtoto wake wa kumzaa. Kwanini tumeruhusu wasiojiweza watusimamie?
View attachment 2697730