Mahakama ya ICSID: Professional bullying anayofanyiwa Profesa Mruma inafedhehesha jamii ya Wanazuoni

Mahakama ya ICSID: Professional bullying anayofanyiwa Profesa Mruma inafedhehesha jamii ya Wanazuoni

Profesa Mruma amepata pigo kubwa sana kwa umri wake; waliomtuma huko Duniani wamedhamiria adhalilishwe na lengo limetimia . Anaulizwa kwa fedheha " haya ndiyo unawafundisha wanafunzi wako wa UDSM?

Muuliza swali ni mtoto wake wa kumzaa. Kwanini tumeruhusu wasiojiweza watusimamie?

View attachment 2697730


Aisee hii ni aibu!

1. Anaulizwa swali kuhusu document
2. Anaikataa, hajaiona.
3. Anaulizwa, si ume I submit
4. Anajibu nimeamka Vibaya leo....

Jaman hii nchi ni ya aina gani, wabinafsishe mpaka UD kwa DP
 
Mkuu hata Andrew Chenge tusinge shinda....
Yaani mwekezaji amepata leseni kwa kufuata masharti na muongozo wa sheria zetu za mwaka 2010, sasa Jiwe mwaka 2017 akabadili sheria za madini....
Wale wooote walioingia na masharti ya 2010 akawatimulia mbali... Sasa wamekwenda mahakamani.. Utashindaje kesi hiyo?

Maana hapo kuna mtu kaonewa
Anajitete eti Sheria za mwaka 2010 zilikuwa ni ku encourage investors waje.

Sasa wakili anamuuliza So The whole crew of Ministers of Energy and minerals, minister of Environments including you CEO of TPDL did not knew this? Was that mistakenely done?

Akasema The Government Didntly......

Wakili anacheka😅😅😅
 
Unadhani kwa nini serikali haikumpeleka mwanasheria kwenye suala hili!!!? Ilikuwa na Nia gani?
Mwanasheria mkuu yupo ila Mruma na wanzake ni mashahidi wa serikali wa kuthibitisha kwa nini wamenyanganya huyo mwekezaji mali zake bila kumlipa ni muhimu Watanzania wakaangalia hii sinema yoowakaielewa vizuri ili wajue nani anawasaliti
 
Profesa Mruma amepata pigo kubwa sana kwa umri wake; waliomtuma huko Duniani wamedhamiria adhalilishwe na lengo limetimia . Anaulizwa kwa fedheha " haya ndiyo unawafundisha wanafunzi wako wa UDSM?

Muuliza swali ni mtoto wake wa kumzaa. Kwanini tumeruhusu wasiojiweza watusimamie?

View attachment 2697730


Hakuba bullying anayofanyiwa, anaulizwa maswali ambayo hata mimi nikichukuliwa toka usingizini sijajiandaa siwezi jibu hivyo
 
Profesa Mruma amepata pigo kubwa sana kwa umri wake; waliomtuma huko Duniani wamedhamiria adhalilishwe na lengo limetimia . Anaulizwa kwa fedheha " haya ndiyo unawafundisha wanafunzi wako wa UDSM?

Muuliza swali ni mtoto wake wa kumzaa. Kwanini tumeruhusu wasiojiweza watusimamie?

View attachment 2697730
Aibuuuu! Kumbe wanajificha nyuma ya titles na vyeo vikubwa. Wamefika hapo kwa kuiba maandishi na mawazo ya wengine. Mama Amon ona mnavyojidhalilisha!
 
Profesa Mruma amepata pigo kubwa sana kwa umri wake; waliomtuma huko Duniani wamedhamiria adhalilishwe na lengo limetimia . Anaulizwa kwa fedheha " haya ndiyo unawafundisha wanafunzi wako wa UDSM?

Muuliza swali ni mtoto wake wa kumzaa. Kwanini tumeruhusu wasiojiweza watusimamie?

View attachment 2697730
Professorial RUBBISH. Wakuu pelekeni watoto International Schools, achaneni na propaganda za CCM za elimu bure. Elimu ya serikali ya CCM-Tanzania bado haitaweza kukidhi viwango vya kimataifa
 
Back
Top Bottom