Mahakama ya ICSID: Professional bullying anayofanyiwa Profesa Mruma inafedhehesha jamii ya Wanazuoni

Mahakama ya ICSID: Professional bullying anayofanyiwa Profesa Mruma inafedhehesha jamii ya Wanazuoni

Profesa Mruma amepata pigo kubwa sana kwa umri wake; waliomtuma huko Duniani wamedhamiria adhalilishwe na lengo limetimia . Anaulizwa kwa fedheha " haya ndiyo unawafundisha wanafunzi wako wa UDSM?

Muuliza swali ni mtoto wake wa kumzaa. Kwanini tumeruhusu wasiojiweza watusimamie? Kwa nini hawakumtuma yule dada kiongozi wa bunge anayejiita msomi sana
 
Profesa Mruma amepata pigo kubwa sana kwa umri wake; waliomtuma huko Duniani wamedhamiria adhalilishwe na lengo limetimia . Anaulizwa kwa fedheha " haya ndiyo unawafundisha wanafunzi wako wa UDSM?

Muuliza swali ni mtoto wake wa kumzaa. Kwanini tumeruhusu wasiojiweza watusimamie?

View attachment 2697730
Hii ndiyo cream of the crop ya MaCCM. Mjitu hata body language yao imekaa kijizijizi. Ni kama vibaka wamekamatwa wameambiwa watubu wanaanza vigugumizi.
 
Mimi nashangaa sana Mwanasheria kuwa goigoi kwenye lugha ya Kiingereza, hii inawezekanaje?

Hivi kweli mtu unasoma hadi level ya kuwa na PhD halafu unashindwa kumudu lugha uliyotumia kujifunzia? Uliandika vipi hayo maandiko?
Aibu sana hii
 
Issue sio matokeo tu, ukifatilia vyeti vyao ni vipanga kweli. Issue ni exposure! Huku private mahojiano/ negotiations kama hayo ni kila siku virtual meetings au physical.

Mfano kuna lugha za kisheria, kuna lugha za kibiashara, kuna lugha za kiuchumi n.k discussion kama ile lazima mtu awe na element of law na business.

Pia nimeshangaa hata body expression hazikuwa nzuri, ni rahisi kuonekana unadanganya, hujui, hujitambui n.k kuna muda professor alikuwa anatoboa karatasi kwa pen , mara afunue file unnecessarily n.k

Hivi tunaendaje kwenye case hizi bila hata rehearsal walau? Mambo ya nchi tunauliza maswali ambayo huoni yatasaidia nini!

Very embarrassing! Hili swala watu wanacheka lakini sio Issue ya kutaniana bali ni Issue ya kuibua mjadala uwezo wa watu wetu. Hii case nani anasimamia? Hawa watu wameandaliwa vipi? Hata kama ni case ya kushinda utashinda vipi namna hii?

Binafsi nimejisikia vibaya sana, ningekuwa na uwezo ningeifuta ile video maana inatuvua nguo tu.
Unamchukuaje academician kwenda kwenye negotiations za kibiashara? Jakaya alikuwa analeta watu kutoka private sector tena Nje ya Nchi mkamuina hazimtoshi,haya Sasa hao ndio wasomi wa Jiwe
 
Ukiyakuta chuoni haya majitu unaweza hata yaabudu jinsi yanavyojifaragua lkn kichwani ni meupe vibaya mno yakikutana hata na mwanafunzi wa basic certificate huko Ulaya!!

Hapo yamevimbiwa pombe na anasa za posho na vichwa wanavyopewa na wapuuzi wenzao wa CCM!

Miafrika hasa mijamaa ya Tanzania iko hovyo sana sana ila inapenda kuabudiwa kwa upumbavu wao!
Wako vizuri kwenye academics ila sio kwenye mambo ya biashara nk

Ndio maana watu wanatakiwa kuheshimu sana private sector,ukimuona mtu kajiajiri mpe respect refer yule Mkuu wa Mkoa aliyetumbuliwa na kuanza kulia eti ataishije na alikuwa ni Dokta.
 
Watu kama hawa wanaabisha na kufedhehesha Taifa zima.

Watu wa mataifa mengine watajiuliza, kama profesa yupo hivi, Doctor yupoje, mwenye masters yupoje, mwenye bachelor yupoje, na hao wasio na degree hata moja, watakuwa watu wa namna gani!!
IQ havitegemei Ulivyofaulu sana darasani mana Kuna IQ za aina nyingi tuu..

Pia huyo ni mtoto wa maskini zao la jamii yetu,hata wewe hapo matoto Yako Yako hivyo hivyo unless wanasoma Nje ya Nchi
 
Huyo Mruma na Kabudi ndo walikuja na ripoti ya uongo kwamba tunaidai Barrick Trilioni 495. Kama aliweza kusema uongo kiasi kile acha awe bullied tu kwasababu uadilifu wake unatia shaka. Hawa wazee wana mchango mkubwa kwenye umaskini wa nchi hii.
 
Yeye kama Rais anajua hilo anachukua hatua gani; yeye kila wakati kulia lia tu badala ya kuchukua hatua!! Nchi ndio inamomonyoka hivyo na yeye badala ya kuchukua hatua anaishia kulaumu!
The lady is not up to par!
Rais anategemea watu kama unatumbua huyu unaweka yule Bado wanafanya hivyo si Bora kupiga mnada tuu hii Nchi 😂😂

Kwa sababu shida kubwa ya Nchi hii ni kukosa maadili na sheria za kulindana Kwa hao wa Juu ndio maana upuuzi haiwezi kuisha.

Rais Alitaka kidogo tuu aondoe magari Kwa watu wa Juu Kila mtu akopeshwe ikaleta upinzani na likaisha hivyo.
 
IQ havitegemei Ulivyofaulu sana darasani mana Kuna IQ za aina nyingi tuu..

Pia huyo ni mtoto wa maskini zao la jamii yetu,hata wewe hapo matoto Yako Yako hivyo hivyo unless wanasoma Nje ya Nchi
Nayajua mapungufu ya elimu ya Tanzania. Watoto wangu wote, elimu ya chini wamesoma Tanzania, lakini kwa elimu ya chuo kikuu, wote wameenda nje, mmoja amemaliza, mwingine anamaliza mwaka huu, mwingine mwakani, na mwingine natarajia ataenda Cape University January mwakani.

Sitaki wapatwe na aibu ya kujiumauma vidole huko mbeleni. Natimiza wajibu wangu kama mzazi, mengine nawaachia wao.
 
Profesa Mruma amepata pigo kubwa sana kwa umri wake; waliomtuma huko Duniani wamedhamiria adhalilishwe na lengo limetimia . Anaulizwa kwa fedheha " haya ndiyo unawafundisha wanafunzi wako wa UDSM?

Muuliza swali ni mtoto wake wa kumzaa. Kwanini tumeruhusu wasiojiweza watusimamie?

View attachment 2697730

Hakuna cha bullying hapo, hizo ni mbinu za wanasheria utetereke. Lakini Profesa Mruma kajibu na kujieleza vzuri kabisa.
 
Back
Top Bottom