Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) yatangaza hati za kukamatwa kwa Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu

Ndio kunipangia kwenyewe huko, ungekaa kimya ukaachana na mtazamo wangu bila kuingilia.

Maoni yako juu ya Bishara hayanihusu wala siyahitaji.
nimesema sikupangii, kwa sababu wewe na yeye wote akili ziko sawa, mnawaza chuki na jihad tu. au hujaelewa.
 
This is a nothingburger.

Who will dare arrest the Prime Minister of Israel?

Is this the same ICC that issued an arrest warrant against Vladimir Putin back in March 2023?

Well, guess what? Putin is about to visit India.

This same ICC has also issued an arrest warrant against Mohamed Deif 🤣.

Isn’t Deif dead?

Goes to show you how hollow and worthless the ICC is.
 
Sasa mchungaji yesu si aliwaambia mtu akikupiga Kofi shavu la kushoto
We mgeuzie na lakulia ,,
Mbona hamfati maandiko ya kitabu chenu .,
Hakumaanishi hicho kitu unachokiongea wewe.
 
Bad news is hato kamatwa , ndio ujue dunia ina double standards sana
Hata Putin ana arrest warrant kutoka mahakama hiyo hiyo.

Hivi karibuni Putin atafanya ziara nchini India.

ICC kwa kiasi kikubwa inawahusu viongozi na watu toka nchi za jamhuri za ndizi 🤣.
 
Hata Putin ana arrest warrant kutoka mahakama hiyo hiyo.

Hivi karibuni Putin atafanya ziara nchini India.

ICC kwa kiasi kikubwa inawahusu viongozi na watu toka nchi za jamhuri za ndizi 🤣.
Hiz jamuhuri za waswahili , ma giants huko juu wanajua hawawezi wagusa
 
Deif is dead, reduced to atoms, the ICC is a joke.
 
Sasa mchungaji yesu si aliwaambia mtu akikupiga Kofi shavu la kushoto
We mgeuzie na lakulia ,,
Mbona hamfati maandiko ya kitabu chenu .,
Mmm, we hizo hadithi nani wa kudhifuata miaka hii? Siku hizi mtu akikuchapa kofi unalipa kwa ngumi nzito unasindikiza na teke.
 
So long as Marekani ipo, hakuna atayethubutu kumkamata Netanyahu.

Kufurahia arrest warrants za ICC dhidi ya hao viongozi wa Israel ni hopium na copium.
 
ICC kama mahakama za kibongo tu, kauli zake hazina mashiko.

Putin anadunda mpaka leo na anasafiri kama kawaida.
Kuna nchi huwezi kwenda na hata ukipata emergency huwezi kufanya emwrgency landing watakudaka
 
Mahakama yenyewe ya kichovu itamuweza Netanyahu wangekuwa ni wachovu wa Afrika na mataifa njaa mengine hapo wangeweza,wangekuwa na ubavu wangeanza na Putin.
 
Masikini Netanyau...
 
India ni mwanachama wa ICC.

Putin ana hati ya kukamatwa.

Putin atafanya ziara India hivi karibuni na hatokamatwa.
Ni hivi utaenda nchi ambayo utahakikishiwa kwamba hutokamatwa na si vinginevyo, yani kama huku bongo ukiwa unajua unawindwa kuna sherehe hutoenda ila nyingine utaenda thats how it works,
Mfano marekani ataenda ila nchi za ulaya hazieleweki no vigeugeu
 

Attachments

  • Screenshot_20241121-165036_Chrome.jpg
    471 KB · Views: 1
Bishara yule gaidi na bado anaishi kwa makafiri UK

USSR
Marwan always huwa yupo full biased hanaga kubalance habar kabisaa yeye ni pro palestine lialia hata katika uovu wa wapalestina na huwa anaongea kwa uchungu sana na wivu mkubwa kwa palestine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…