Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
nimesema sikupangii, kwa sababu wewe na yeye wote akili ziko sawa, mnawaza chuki na jihad tu. au hujaelewa.Ndio kunipangia kwenyewe huko, ungekaa kimya ukaachana na mtazamo wangu bila kuingilia.
Maoni yako juu ya Bishara hayanihusu wala siyahitaji.
ICC ni Mahakama kwa ajili ya Watawala wa nchi ambao hawajastaarabika, walengwa wakuu hasa hasa ni Watawala wa kutoka nchi za bara la Afrika.Bad news is hato kamatwa , ndio ujue dunia ina double standards sana
Hakumaanishi hicho kitu unachokiongea wewe.Sasa mchungaji yesu si aliwaambia mtu akikupiga Kofi shavu la kushoto
We mgeuzie na lakulia ,,
Mbona hamfati maandiko ya kitabu chenu .,
Hata Putin ana arrest warrant kutoka mahakama hiyo hiyo.Bad news is hato kamatwa , ndio ujue dunia ina double standards sana
Hiz jamuhuri za waswahili , ma giants huko juu wanajua hawawezi wagusaHata Putin ana arrest warrant kutoka mahakama hiyo hiyo.
Hivi karibuni Putin atafanya ziara nchini India.
ICC kwa kiasi kikubwa inawahusu viongozi na watu toka nchi za jamhuri za ndizi 🤣.
Deif is dead, reduced to atoms, the ICC is a joke.This is a nothingburger.
Who will dare to arrest the Prime Minister of Israel?
Is this the same ICC that issued an arrest warrant against Vladimir Putin back in March 2023?
Well, guess what? Putin is about to visit India.
This same ICC has also issued an arrest warrant against Mohamed Deif 🤣.
Isn’t Deif dead?
Goes to show you how hollow and worthless the ICC is.
Mmm, we hizo hadithi nani wa kudhifuata miaka hii? Siku hizi mtu akikuchapa kofi unalipa kwa ngumi nzito unasindikiza na teke.Sasa mchungaji yesu si aliwaambia mtu akikupiga Kofi shavu la kushoto
We mgeuzie na lakulia ,,
Mbona hamfati maandiko ya kitabu chenu .,
So long as Marekani ipo, hakuna atayethubutu kumkamata Netanyahu.nimewasikiliza al jazeera ndio habari pekee wanaiongelea leo. ajabu yake, hawajui kuwa hata PUTIN aliwahi kupewa arrest warrant, what happened then? viongozi kibao tu hapa duniani walishawahi kupewa arrest warrant. ICC haina meno, ni kibogoyo, inategemea netanyahu na mwenzake wakitembelea nchi wanachama wakamatwe na hizo nchi, ni nchi gani netanyahu alishawahi kutembelea kwa miaka 20 iliyopita, utaona ni Marekani peke yake. hawana shida kutembelea nchi zingine. na Israel sio member state wa ICC, so is the US and Russia.
kitu kingine, al jazeera huita vita ya Gaza ni GENOCIDE, wajiulize, kwanini ICC kwenye arrest warrant yake hajataja kosa la genocide? wamesema wanakamatwa kwa WAR CRIMES kwa minajili ya kuzuia chakula kuwafikia watu wa Gaza. jambo ambalo Netanyahu na mwezake hata wangekamatwa, wana justification, hata al jazeera na dunia nzima na UN yenyewe imeona kuwa kule GAZA misaada inayoenda ilikuwa inaishia kwa adui ambaye Israel anapigana nao, hata juzi waliteka malori mengi, kuna ushahidi mwingi hamas walishateka malori ya chakula, kwa hiyo it is justifiable kwa ISrael kuzuia chakula kwenda kwa adui. pamoja na kwamba hajazuia kabisa, amekuwa akiruhusu malori in a limited kwa uangalizi maalumu, hivyo hawawezi kuprove kosa hilo dhidi ya netanyahu na mwenzake kama wangekamatwa kweli.
swahi ni, nani wa kumkamata? Marekani na nchi yeyote ya ulaya hawawezi, na Netanyahu na mwenzake hawana interest kutembelea nchi zingine hizo, na inawezekana hawajawahi kutembelea, wakafanye nini? hivyo arrest warrent hii kwa mtu mwenye akili anajua ni butu, haina meno na wanajifurahisha tu.
Hahahaa.Deif is dead, reduced to atoms, the ICC is a joke.
wakumfuata sasa na kumpeleka mahakamani ili akasililize mashauri yakeWakumkamata sasa ndio hayupo
To stay in power and avoid prosecutionHizo sababu zake binafsi ni zipi mkuu?
Kuna nchi huwezi kwenda na hata ukipata emergency huwezi kufanya emwrgency landing watakudakaICC kama mahakama za kibongo tu, kauli zake hazina mashiko.
Putin anadunda mpaka leo na anasafiri kama kawaida.
India ni mwanachama wa ICC.Kuna nchi huwezi kwenda na hata ukipata emergency huwezi kufanya emwrgency landing watakudaka
ICC ina mashiko kwa makapuku, sio wababe wa dunia.India ni mwanachama wa ICC.
Putin ana hati ya kukamatwa.
Putin atafanya ziara India hivi karibuni na hatokamatwa.
Masikini Netanyau...Wakuu,
Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) imetoa hati za kukamatwa kwa Waziri Mkuu wa Israeli, Benjamin Netanyahu, na waziri wa zamani wa ulinzi, Yoav Gallant, kwa makosa ya uhalifu dhidi ya ubinadamu na uhalifu wa kivita.
Uamuzi huu unamaanisha kwamba nchi 124 wanachama wa ICC zinapaswa kuwakamata Netanyahu na Gallant watakapokanyaga katika maeneo yao.
Soma pia: Pamoja na “Arrest Warrant” ya Mahakama ya ICC, Putin atua Mongolia kibabe
Mahakama hiyo pia ilidai kuwa walikusudia na walijua kwamba Netanyahu na Gallav waliwanyima raia wa Gaza chakula, maji, dawa, vifaa vya matibabu, mafuta, na umeme kwa makusudi.
Netanyahu alikataa madai hayo akiyaita “ya kipuuzi na ya uwongo” na akasema ni “upotoshaji.”
Israel pia imepinga mamlaka ya ICC kwa kusema kuwa nchi nyingine za kidemokrasia hazijawahi kutendewa kwa njia ya upendeleo mbaya kama hiyo, huku ikisisitiza kwamba inaheshimu utawala wa sheria.
Aidha, ICC pia imetoa hati ya kukamatwa kwa kiongozi wa Hamas, Mohammed Deif, kwa makosa ya uhalifu dhidi ya ubinadamu na uhalifu wa kivita.
Hata hivyo, Israel ilidai Agosti kwamba ilimuua Deif katika shambulio la anga lililofanyika Gaza mwezi mmoja kabla.
Ni hivi utaenda nchi ambayo utahakikishiwa kwamba hutokamatwa na si vinginevyo, yani kama huku bongo ukiwa unajua unawindwa kuna sherehe hutoenda ila nyingine utaenda thats how it works,India ni mwanachama wa ICC.
Putin ana hati ya kukamatwa.
Putin atafanya ziara India hivi karibuni na hatokamatwa.
Marwan always huwa yupo full biased hanaga kubalance habar kabisaa yeye ni pro palestine lialia hata katika uovu wa wapalestina na huwa anaongea kwa uchungu sana na wivu mkubwa kwa palestineBishara yule gaidi na bado anaishi kwa makafiri UK
USSR