Mahakama ya Kisutu imewatia hatiani Viongozi wa CHADEMA na kuwahukumu kulipa faini ya Tsh. Milioni 350 au kwenda jela, Wapelekwa Segerea

Kwamba wanasiasa hawapaswi kushtakiwa wala kuadhibiwa wakikosea. Haki itendeka Kama hawana hatia waachiwe na kama kweli walitenda makosa hayo waadhibiwe kama Watanzania wengine wanavyoadhibiwa wakikosea!
Unajua hawa CHADEMA ni mazuzu! Eti kwa vile ni kiongozi wa chama cha upinzani ukikosea usiguswe! Uliona wapi? Acha wawashikishe adabu!
 
vile watu wapo attention kufatilia hii hukumu unaweza kuachia "Cha Yusuph" humu kikanuka jukwaa zima na hakuna atakayekusemesha, wote watachukulia normal, macho, pua, mdomo, na masikio yote leo kisutu
 
Polis kwa kuvunja sheria tushawazoea...wapinzani wapole mno
 
Tujulisheni kinachoendelea
 
waliopo nje wanapoteza muda kwanza ukiwatizama ni aina ya watu waajabu ajabu hv ambao kimsingi hata uhakika wa kumiliki nyumba ni mdogo mno...Kamata wote weka segerea, mtu unashndwa kufanya kazi za msingi upate kipate unaenda kubishana na POLISI, hakuna wake wala waume na watoto wa hao viongozi hapo mahakamani nyie ndio mnajifanya wafia chama....
 
Ni wazi macho ma masikio ya watanzania yapo kisutu kwa sasa. kitakchoamriwa ama kitatoa taswira chanya ama hasi kwa taifa letu ngazi za kimataifa.
Huku kujidanganya hukuuuuuuu......
Kwa taarifa yako hizi habari zinaishia Hapo Mdaula kama siyo Chalinze zaidi zaidi tunazijua hapa hapa JF ambapo Wapiga kura hawazidi Milioni 1. Kama tunataka dolla Twendeni Vijijin tuache hizi ndoto za Mtandaoni tunapotezeana muda.
 
Uzi ume stuck huu. tupatie updates mkuu
 
hakuna mwenye kosa ni kuwaonea tu,,,,... persecution
Umefatilia mwenendo wa kesi, umesikiliza mashahidi, umesikiliza utetezi, au umeamua kujitia ujuaji.Nyie ni wanademockrasia acheni kuishinikiza Mahakama iamue mnavyotaka. Subirini Hukumu na maamuzi yatakayotoka yaheshimiwe na asiyeridhika utaratibu wa kisheria ufuatwe!
 
Wamemuua Akwilina Pimbi kweli wewe.
Kwani wanashtakiwa kwa kosa la mauaji!? Huoni unavishindwa kutumia akiri kwenye vitu vidogo bob! Unatoka povu inawezekana hata charges against them huzijui! Poor you!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…