FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
Uonevu tu wote hawana makosa kabisa
Hakimu simba anasema washtakiwa wametenda kosa kubwa sana hivyo wanatakiwa wapewe adhabu kali sanaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tutazichangaa hizo [emoji108][emoji3577]watupe wikiHUKUMU.
Hakimu Mkazi wa mahakama ya Kisutu. Thomas Simba ametoa hukumu kwa John Mnyika, Salim Mwalimu ,Easter Matiko na V.Mashinji kila mmoja kulipa faini ya shilingi Milioni 30.
Heche , Msigwa,Mdee na Bulaya Milioni 40 huku Freeman Mbowe akitakiwa kulipa shilingi milioni 70.
Kama wanamakosa why wasitiwe hatiani
Kulipa faini ndo kifungo tu ingawa inakupa option ya kuchagua wewe mfungwa. Kwa mfano ukihukumiwa kwenda jela miaka 2 au kulipa faini laki 5 hapo kifungo ni miaka 2 ambayo inakufanya upoteze sifa ya kuchaguliwa uongozi. Kumbuka hawa ni wanasiasa!Kutiwa hatian sio kufungwa ...lazima wataambia kuhusu faini wewe unafikil dk mashinji naye afungwe kitu kama hicho akipo
[emoji23][emoji23][emoji23]wameogopaaaHAKIMU SIMBA: "Mahakama imeepusha adhabu ya vifungo kwa Washitakiwa"
Unaposema wakosee basi unakua na maana gani?
Kweli ni pesa nyingi. Mungu awasaidie wawe nazo.
Mkuu hilo penzi pia analo jiwe kwa bashite. Yaani jamaa akiona lile kalio anachanganyikiwa kabisa, saa hii imebidi akongee na Trump ili amkanye Pompeo kuhusu mkwaju wake.
Unaposema wakosee basi unakua na maana gani?
Wanatafuta hela za kampeniDuu mshtakiwa anaye lipa faini kidogo ni wa mil50 !, aloo, kweli hii sirikali ya makufuli ipo afte noti! jela miezi5 au lipa milioni50 kazi kwako kuamua