Mahakama ya Kisutu imewatia hatiani Viongozi wa CHADEMA na kuwahukumu kulipa faini ya Tsh. Milioni 350 au kwenda jela, Wapelekwa Segerea

Moja ya hukumu ya ovyo kuwai kufanyika Tanzania.

Watu wamefanya ufisadi wa kutisha nchi hii wameachwa tu na wanatembea vifua mbele leo.

how come kosa la mauaji mtu apigwe faini? inaonyesha jinsi gani watanzania tunafanywa wapumbavu.
Sh 350m ni sawa na $ ngapi?
 
Viongozi wakihukumiwa, wanachama na wafuasi wanachanga. Je, wafuasi na wanachama wakihukumiwa viongozi wanachanga? Chezeeni biashara ya siasa. Zile za Lissu zilifikia kiasi gani?
 
Tutachanga kama wakitoa account lakini jambo kubwa moja kwangu ni kuwa nazidi kuichukia serikali kadri siku zinavyosonga mbele,kwasasa hata nikimkuta mwanaCCM anakufa hapo,mimi nitapita na kuendelea na shughuli zangu!Nimeufunga rasmi moyo wa huruma!
Kwani kuna mwanaccm anahitaji huruma yako? Pambana na hali yako mkuu!!
 
Waanbue tutapata tu

Don't make a promise you can't fulfill...
 
Hayakuhusugu weweeed shetwaun
Viongozi wakihukumiwa, wanachama na wafuasi wanachanga. Je, wafuasi na wanachama wakihukumiwa viongozi wanachanga? Chezeeni biashara ya siasa. Zile za Lissu zilifikia kiasi gani?

Don't make a promise you can't fulfill...
 
Tutachanga kama wakitoa account lakini jambo kubwa moja kwangu ni kuwa nazidi kuichukia serikali kadri siku zinavyosonga mbele,kwasasa hata nikimkuta mwanaCCM anakufa hapo,mimi nitapita na kuendelea na shughuli zangu!Nimeufunga rasmi moyo wa huruma!
Ni kweli kabisa Mkuu. Ukiona ule umati ulivyokuwa umejazana pale Mahakamani ni ujumbe tosha kwa watawala. Wengi walisikika wakisema "ukimkuta mwanaccm akipambana na nyoka basi piga kichwa chake kisha mwache nyoka aende zake""

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeleta uzi huu ili nipate michango ya wajuzi wa mambo. Hii ni baada ya hukumu ya viongozi wa chadema kutiwa hatiani leo hii hapa mahakama ya kisutu.

Najua watalipa faini ili kuepuka kifungo,je jinai itakuwa imefutika?ikizingatiwa tuna uchaguzi mkuu mwaka huu wa 2020 October.

Kwa anayejua lolote achangie maoni
 
Watoe bank accounts, tuchangie. Hatutaki watu wasio na hatia wateseke kwaajili ya kupigania haki yetu sote bila ya sisi kushiriki kwa namna nyingine.
Hili lingewezekana kufanyika lingekuwa jambo la msingi zaidi.

Huu ungekuwa ujumbe maalum kwa watawala waliolewa madaraka.

Kwa bahati mbaya hapa ndipo CHADEMA wanaonekana kuwa na 'disconnection' fulani na wananchi.
Hawajawa na njia bora za kushirikisha wananchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…