rip faza_nelly
JF-Expert Member
- Feb 19, 2018
- 5,749
- 7,038
Video : Kamanda Mbowe akitinga ndani ya Mahakama , msisimko ni mkubwa sana
wa akili maana wangetumia utaratibu wangepata haki yao wanaleta ushenzi wacha wanyee ndoo kidogo tu halafu wanatokaChanzo kilichofanya waandamane nini haswa wewe mwenzetu mwenye akili timamu tusaidie?
Sent using Jamii Forums mobile app
ushasema hao wanatoka mirani sasa huo ujinga mlikuwa mnaufata huko buibu kulikuwa na mpira auhakuna aliyeandamana. Ebu define kuandamana.... tukiwa tunatoka uwanja wa taifa baada ya mpira kuisha huwa watu wanaandamana?
Ukiona hivyo ujue kuna figisu figisu. Hii dalili sijaipenda
watu wakitawanyika kutoka kwenye mkutano, anakwenda mmoja mmoja?ushasema hao wanatoka mirani sasa huo ujinga mlikuwa mnaufata huko buibu kulikuwa na mpira au
nafikiri unajuwa wanaendaje kama hujui utakuwa na uungufu wa akili na unatakiwa kuwa milembewatu wakitawanyika kutoka kwenye mkutano, anakwenda mmoja mmoja?
pamoja na mama yako, kama huna hoja acha mtusinafikiri unajuwa wanaendaje kama hujui utakuwa na uungufu wa akili na unatakiwa kuwa milembe
acha ushabiki wa kijinga wewe mkurugenzi ndiye aliye andamana? hao wasio na akili timamu na akili za kushikiwa ndiyo chanzo wasingeandamana nani angekurupuka kupiga risasi hovyo hivi unaakilikweli mpaka unasema mkurugenzi? naona unafikiri kwa kutumia makalio
Unafurahia uonevu? Wakifungwa hawa au wakinyongwa itafuata zamu yetu na wewe ukiwemo. Ndivyo ilivyokuwa nchi zingine.Jamaa kila kona wanatia huruma
Pilato kama atakuwa mkuda nyundo moja moja wote ili iwe fundisho kwa wengine
Wakitoka itabidi wasubiri Mbaka 2025 ndio wagombea tena ubunge
Na mpunga kule kwa job ndugai unapigwa Ban.
Chezea ndevu sio serikali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wengine wanalipwa na CCM ili kushabikia uonevu, achana nae.Yaani sikujua nabishana na kubwa la wajinga na wapumbavu,ambae ufahamu wake upo kwenye makalio,hivi barua zingetolewa nani angeandaamana hapo,bwege na zuzu wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Katika mahojiano na Ayo tv, Mh Mnyika anasema anatamani hukumu ingemuhusu aliyemuua Akwilina. Yawezekana ye anamfahamu. Lakini asichojua Mnyika ni kuwa kama serikali isingefanya inachotaka kukifanya leo dhidi yao, kina Akwilina wengi wangekufa. Ni kama ilivyotokea Arusha 2010 baada ya uchaguzi wa meya.
Asichojua Mnyika ni kuwa serikali hii inaongozwa na mtu makini, na ndio maana toka Magu aingie hatujasikia vifo vya waanadamanaji kama ilivyokuwa miaka iliyopita. Serikali hii inadeal na chanzo cha tatizo maana ingekuwa inashughulika na tatizo tu hadi sasa tungesikia vifo vingi.
Wao ni chanzo cha kifo cha Akwilina, wao ni chanzo cha vifo vya watu kule arusha na maeneo mengine nchini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh! Pilato mkuda?Jamaa kila kona wanatia huruma
Pilato kama atakuwa mkuda nyundo moja moja wote ili iwe fundisho kwa wengine
Wakitoka itabidi wasubiri Mbaka 2025 ndio wagombea tena ubunge
Na mpunga kule kwa job ndugai unapigwa Ban.
Chezea ndevu sio serikali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu hawa ndio wote wale vimbelembele. Hapo kina prof J hawapo, kina Lijualikali hawapo, kina Joyce Mukya wabunge wa miaka nenda rudi hawapo. Ukiangalia wabunge wengi hapa ni walamba miguu wa mbowe. Hufanya vitu ili kumfurahisha mwenyekiti. Lema sijui kwa nini hakuwepo. Yule mzee wa machale sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama Kuna kuachiwa basi mashinji atakuwa sababu ya wote kuachiwaPsychological torture, kesi za kutengenezwa huwa ni ngumu sana kuzihukumu.Dalili zinaonyesha kuwa Mashinji ataachiwa huru ila hao wengine?
Mambo kama haya ndiyo huanzisha hasira dhidi ya watawala.Tujisahihishe.