Mahakama ya Kisutu imewatia hatiani Viongozi wa CHADEMA na kuwahukumu kulipa faini ya Tsh. Milioni 350 au kwenda jela, Wapelekwa Segerea

Mahakama ya Kisutu imewatia hatiani Viongozi wa CHADEMA na kuwahukumu kulipa faini ya Tsh. Milioni 350 au kwenda jela, Wapelekwa Segerea

sheiza,
Huu ni muda wenu wa kutambia madaraka, panga mistari yote ili kuficha ukweli. Lakini iko wazi, jiwe ndio anayechafua demokrasia ya nchi yetu, na anatumia madaraka yake kuagiza vyombo vya dola na mahakama kuficha ushenzi wake. Ni suala la muda tu atakaa nje ya hayo madaraka, na atapewa haki yake stahiki.
 
hakuna aliyeandamana. Ebu define kuandamana.... tukiwa tunatoka uwanja wa taifa baada ya mpira kuisha huwa watu wanaandamana?
ushasema hao wanatoka mirani sasa huo ujinga mlikuwa mnaufata huko buibu kulikuwa na mpira au
 
Jamaa kila kona wanatia huruma
Pilato kama atakuwa mkuda nyundo moja moja wote ili iwe fundisho kwa wengine
Wakitoka itabidi wasubiri Mbaka 2025 ndio wagombea tena ubunge
Na mpunga kule kwa job ndugai unapigwa Ban.
Chezea ndevu sio serikali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunaomba updates hatua kwa hatua. Kesi hii inasononesha sana. Lakini itasaidia kujua uhuru na weledi wa mahakama zetu. Yule jaji aliyeombwa ajitoe akakataa ni yupi? Yule jaji aliyetii maagizo ya polisi kufuta dhamani ni yupi? Return Of Undertaker,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani sikujua nabishana na kubwa la wajinga na wapumbavu,ambae ufahamu wake upo kwenye makalio,hivi barua zingetolewa nani angeandaamana hapo,bwege na zuzu wewe.
acha ushabiki wa kijinga wewe mkurugenzi ndiye aliye andamana? hao wasio na akili timamu na akili za kushikiwa ndiyo chanzo wasingeandamana nani angekurupuka kupiga risasi hovyo hivi unaakilikweli mpaka unasema mkurugenzi? naona unafikiri kwa kutumia makalio

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa kila kona wanatia huruma
Pilato kama atakuwa mkuda nyundo moja moja wote ili iwe fundisho kwa wengine
Wakitoka itabidi wasubiri Mbaka 2025 ndio wagombea tena ubunge
Na mpunga kule kwa job ndugai unapigwa Ban.
Chezea ndevu sio serikali.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unafurahia uonevu? Wakifungwa hawa au wakinyongwa itafuata zamu yetu na wewe ukiwemo. Ndivyo ilivyokuwa nchi zingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sikuelewi hivi CHANZO cha kutokea mauaji ni akina Mboe,hivi barua zingetolewa yangetokea maandamano na risasi zingepigwa kweli.sasa CHANZO nani hapo
Katika mahojiano na Ayo tv, Mh Mnyika anasema anatamani hukumu ingemuhusu aliyemuua Akwilina. Yawezekana ye anamfahamu. Lakini asichojua Mnyika ni kuwa kama serikali isingefanya inachotaka kukifanya leo dhidi yao, kina Akwilina wengi wangekufa. Ni kama ilivyotokea Arusha 2010 baada ya uchaguzi wa meya.

Asichojua Mnyika ni kuwa serikali hii inaongozwa na mtu makini, na ndio maana toka Magu aingie hatujasikia vifo vya waanadamanaji kama ilivyokuwa miaka iliyopita. Serikali hii inadeal na chanzo cha tatizo maana ingekuwa inashughulika na tatizo tu hadi sasa tungesikia vifo vingi.

Wao ni chanzo cha kifo cha Akwilina, wao ni chanzo cha vifo vya watu kule arusha na maeneo mengine nchini.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa kila kona wanatia huruma
Pilato kama atakuwa mkuda nyundo moja moja wote ili iwe fundisho kwa wengine
Wakitoka itabidi wasubiri Mbaka 2025 ndio wagombea tena ubunge
Na mpunga kule kwa job ndugai unapigwa Ban.
Chezea ndevu sio serikali.

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh! Pilato mkuda?
Inategemea mzee baba kutoka burigi kaminywa korodani kiasi gani na mabeberu.
 
Halafu hawa ndio wote wale vimbelembele. Hapo kina prof J hawapo, kina Lijualikali hawapo, kina Joyce Mukya wabunge wa miaka nenda rudi hawapo. Ukiangalia wabunge wengi hapa ni walamba miguu wa mbowe. Hufanya vitu ili kumfurahisha mwenyekiti. Lema sijui kwa nini hakuwepo. Yule mzee wa machale sana.

Sent using Jamii Forums mobile app

Wakifungwa Lema na Prof. Safari wataongoza mapambano
 
Back
Top Bottom