Cherenganya
JF-Expert Member
- Jan 21, 2018
- 2,309
- 1,785
Basi endeleeni kulalamika huku mitandaoni labda ndipo mtakapoikuta haki yenu imekaa inawasubiriUtamfungulia kesi muuaji aliyetumwa na jiwe? Kwa mahakama zipi? Hizi zinazoandikiwa hukumu hapo Magogoni?
Sent using Jamii Forums mobile app