Mahakama ya Kisutu imewatia hatiani Viongozi wa CHADEMA na kuwahukumu kulipa faini ya Tsh. Milioni 350 au kwenda jela, Wapelekwa Segerea

Mahakama ya Kisutu imewatia hatiani Viongozi wa CHADEMA na kuwahukumu kulipa faini ya Tsh. Milioni 350 au kwenda jela, Wapelekwa Segerea

Ikiwa leo ndio ile siku ilio kua imepangwa ya kuvaa vitambaa kichwan na kuhimiza wanachama wao waakikishe wanafika kwa wing ajabu ni kwamba hata Ile idad ya watu walio fika mliman haikufikiwa hata robo kusema kwel chadema bado Sana kwa watu mlio fika maakaman hamstail kabisa kujiita Wana mageuz mda bado Sana kile kikionekana nje kwa wahisan Kama mnavyo waita wataona hambebeki

Sent using Jamii Forums mobile app
Piglet
 
Back
Top Bottom