Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,051
Akili inawakaa sawa sasa wajinga hawa
Umeambiwa kesi zake zitaanza kusikilizwa Novemba 3. Hiyo ni baada ya Rais Magufuli kuapishwa na yeye kurudia maisha yake ya "makesi!"Akili inawakaa sawa sasa wajinga hawa
Uchaguzi huu utapandisha sukari ya jiwe.Ametoa maamri kwa miaka mitano ila hiki kipindi cha kampeni atakuwa amegundua hayasaidii kitu, watu bado ni vichwa ngumu sana!!
Rais wa bendi ya Twanga Pepeta,Sijui mahakam watafanyaje Lissu akiapishwa kuwa Rais wa JMT!!
Rais wa JMT!Rais wa bendi ya Twanga Pepeta,
Nimeweka screenshot ya utabiri wako, kabla jogoo hajawika mara tatu Octoba 2020 JPM kamanda wa vita, mbeba maono juu ya majanga yaliyopo na yajayo kuanzia corona hadi tetemeko atakuwa zake Ikulu mpya DodomaRais wa JMT!
Kwanini hawajatoa hati ya kumkamata?Akili inawakaa sawa sasa wajinga hawa
Kumbe wengi tumeliona hili,washanusa harufu fulani hivi.Ukitaka kuona Watanzania walivyo ndumilakuwili, hata TV ambazo zilimsusa mwanzoni, sasa zimeona upepo umebadilika nazo zimebadilika!
Mahakama wajinga?Akili inawakaa sawa sasa wajinga hawa
Lisu wenu ndiye akili itakaa sawa baada ya kushindwa kwa aibu uchaguzi, ataenda kunyea ndoo segerea na kuna wanaume huko
Kama wewe ilivyo mjinga mmoja tuuMahakama wajinga?
Hakika CHADEMA mna matatizo sana.
Wanahofia huo mtiti wake, ni kimbunga kizitoKwanini hawajatoa hati ya kumkamata?
Lisu anajijua na mfungwa tayari, epukeni asije anzisha fujo na kuwatumiaUtopolo mtupu.
Chadema imesema ikichukua madaraka haitaanza kulipiza visasi wala kudhulumu watu .Njama mlizompangia eti ashindwe uchaguzi ili afungwe gerezani kwa kesi hizo za uchochezi, akishafungwa Kamati Ya Maadili Ya Mawakili imfutie uwanachama wake (Permanent Removal) kwa kigezo amefanya kosa la jinai.
Ila kitu ambacho hamjafikiria, mungu mkubwa atakapo wadhalilisha na kumpa ushindi wa Urais. Halafu anakutana na Kinga Ya Kikatiba (Immune) ya kutoshtakiwa pamoja na kesi zote dhidi yake kufutwa kwa kinga hio. Mungu mkubwa sana.
Fatma Karume anaapishwa kuwa Waziri Wa Sheria, anaanza kufanya kazi na Wakili Mkuu Wa Serikali (Hapa atakuwa Kibatala) kuwashughulikia mafisadi wote wa CCM kimahakama. Mpaka wale walio dhulumu wananchi Kagera zile eka 25,000 za ardhi na kujimilikisha na wale waliotumia madaraka yao vibaya kwa kutumia silaha za moto kuvamia ofisi za watu na kuwabambikizia kesi wafanyabiashara/raia/waandishi wa habari na kutoa roho za watu bila hatia.
Kweli mungu mwema sana.
Nccr mageuzi tunasema ni jambo jema.Mahakama ya Kisutu imeahirisha kesi mbili zinazomkabili Tundu Lissu hadi baada ya uchaguzi mkuu mwezi Novemba.
Tundu Lissu anagombea urais wa JMT kupitia CHADEMA.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
=====
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeridhia kesi mbili zinazokabili Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu kusikilizwa baada ya kumalizika kwa mchakato wa Uchaguzi Mkuu
Akiwasilisha ombi hilo, Wakili wa utetezi ameomba Mahakama kutopanga kesi za Lissu tarehe za karibu wakati huu wa Uchaguzi kwasababu yupo nje ya Jiji la Dar na hawezi kufika Mahakamani
Wakili Mwandamizi wa Serikali amesema kutokana na Lissu kuendelea na Kampeni akizunguka maeneo mbalimbali, kuna kila sababu ya kupanga tarehe baada ya Uchaguzi ili aweze kufika Mahakamani
Hakimu Mkazi wa Mahakama hiyo, Augustina Mmbando amekubali ombi hilo na ameahirisha kesi hizo hadi Novemba 6 ambapo zitasikilizwa mfululizo